Makonda: CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa. Lissu hawezi kuwa Rais wa Tanzania, anaishi nje na kuja nchini kimatukio

mwanamwana

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,076
4,113
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa mkoani singida Makonda Januari 25, 2024 amesema kuwa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuna mgawanyiko unaochochewa na uwepo wa makundi mawili ambayo yote yanataka kumuweka Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa

Kundi la kwanza ni lile linalomuhusisha Mwenyekiti aliyepo madarakani Freeman Mbowe na kundi la pili linaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu.

Makonda ameongeza kuwa hata Lissu anajua hakuna chama chochote kinachoweza kuongoza nchi zaidi ya CCM, ndio maana ameamua kuishi nje ya nchi na kuja Tanzania kimatukio, uchaguzi ukiwadia anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Haijulikani makazi yake yapo Tanzania au nje ya nchi.

''Kwenye kuongoza nchi anajua pia hawezi na ndio maana ameamua kuishi huko na kuja Tanzania kimatukio. Akisikia uchaguzi anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Sasa sijajua makazi yake yapo wapi kwamba yapo Tanzania halafu kule ni ofisi au kule ni ofisi makazi ni Tanzania!"
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa mkoani singida Makonda Januari 25, 2024 amesema kuwa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuna mgawanyiko unaochochewa na uwepo wa makundi mawili ambayo yote yanataka kumuweka Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa

Kundi la kwanza ni lile linalomuhusisha Mwenyekiti aliyepo madarakani Freeman Mbowe na kundi la pili linaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu.

Makonda ameongeza kuwa hata Lissu anajua hakuna chama chochote kinachoweza kuongoza nchi zaidi ya CCM, ndio maana ameamua kuishi nje ya nchi na kuja Tanzania kimyakimya, uchaguzi ukiwadia anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Haijulikani makazi yako Tanzania au nje ya nchi.
Makonda hajui anacho fanya. Amekuwa kama wavaa vigodoro
Ccm imemtuma kuelezea mambo ya vyama vingine au kueneza siasa za Ccm iliyo feli?
Hivi chama kiko madarakani miaka 63 hadi leo kina ulizia kero za wananchi? Kama sio sanaa ni kitu gani hiki?
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa mkoani singida Makonda Januari 25, 2024 amesema kuwa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuna mgawanyiko unaochochewa na uwepo wa makundi mawili ambayo yote yanataka kumuweka Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa

Kundi la kwanza ni lile linalomuhusisha Mwenyekiti aliyepo madarakani Freeman Mbowe na kundi la pili linaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu.

Makonda ameongeza kuwa hata Lissu anajua hakuna chama chochote kinachoweza kuongoza nchi zaidi ya CCM, ndio maana ameamua kuishi nje ya nchi na kuja Tanzania kimatukio, uchaguzi ukiwadia anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Haijulikani makazi yake yapo Tanzania au nje ya nchi.

''Kwenye kuongoza nchi anajua pia hawezi na ndio maana ameamua kuishi huko na kuja Tanzania kimatukio. Akisikia uchaguzi anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Sasa sijajua makazi yake yapo wapi kwamba yapo Tanzania halafu kule ni ofisi au kule ni ofisi makazi ni Tanzania!"
jamaa ana rusha makombora ya Alqas right, left and center 🤣

lazima hawa majamaa wapoteane politically speaking 🐒

come 2025 wako nyang'anyang'a wako nyukunyuku,

wanaishia kumjibu muenezi tu na kujitetea engagements na wananchi 0🐒
 
jamaa ana rusha makombora ya Alqas right, left and center

lazima hawa majamaa wapoteane politically speaking

come 2025 wako nyang'anyang'a wako nyukunyuku,

wanaishia kumjibu muenezi tu na kujitetea engagements na wananchi 0
Nani umeona anamjibu? Vitendo ndio vinajibu na wananchi wanaelewa kuwa hilo jamaa ni punguani na wanapata mashaka aliyemteua kuwa msemaji wake anajitambua kweli au anafunikwa na cheo chake tuu lakini kumbe naye ni walewale!
Bashite kakusanya watu Moshi akisema Lissu kakimbilia Ivory Coast kukacha maandamano ghafla huyo akayaongoza, MUONGO. Kasema watu wameyadharau maandamano ghafla yakafana na ujumbe kufika, MUONGO.
Sasa kiongozi gani huyo kila asimamapo ni uongo wa wazi tuu? Ni kwa vile maccm ni kama zombies, vinginevyo angekuwa anatandikwa mayai viza na nyanya mbovu.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Makonda hanui anacho fanya. Amekuwa kama wavaa vigodoro
Ccm imemtuma kuelezea mambo ya vyama vingine au kueneza siasa za Ccm iliyo feli?
Hivi chama kiko madarakani miaka 53 hadi leo kina ulizia kero za wananchi? Kama sio sanaa ni kitu gani hiki?

CCM hawana sera tena zaidi ya ahadi tu kila uchaguzi ukifika. Kwa sasa wako busy anajipanga kuja ahadi nyingine ... utekelezaji ni 0 % ..... wamebaki kuwasumbua watendaji wa serikali majukwaani.
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa mkoani singida Makonda Januari 25, 2024 amesema kuwa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuna mgawanyiko unaochochewa na uwepo wa makundi mawili ambayo yote yanataka kumuweka Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa

Kundi la kwanza ni lile linalomuhusisha Mwenyekiti aliyepo madarakani Freeman Mbowe na kundi la pili linaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu.

Makonda ameongeza kuwa hata Lissu anajua hakuna chama chochote kinachoweza kuongoza nchi zaidi ya CCM, ndio maana ameamua kuishi nje ya nchi na kuja Tanzania kimatukio, uchaguzi ukiwadia anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Haijulikani makazi yake yapo Tanzania au nje ya nchi.

''Kwenye kuongoza nchi anajua pia hawezi na ndio maana ameamua kuishi huko na kuja Tanzania kimatukio. Akisikia uchaguzi anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Sasa sijajua makazi yake yapo wapi kwamba yapo Tanzania halafu kule ni ofisi au kule ni ofisi makazi ni Tanzania!"
Rais kamteua Makonda ili azunguruke Tanzania kwa ajili ya kuwasema Mbowe, Lissu na Chadema tu! Kama ni hivyo Rais hakuwa na haja ya kwenda Indonesia.
 
Back
Top Bottom