johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,989
- 142,006
Tundu Antipas Lissu amesema Maandamano ya jana ni mwanzo tu na hawatakubali tena kuburuzwa na kulaghaiwa na serikali
Lissu amesema hakuna alitewahurumia na kuwaruhusu kuandamana kwani haki ya kuandamana imetolewa na Katiba ya JMT
Source BBC news
Lissu amesema hakuna alitewahurumia na kuwaruhusu kuandamana kwani haki ya kuandamana imetolewa na Katiba ya JMT
Source BBC news