Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,260
Katika Historia yetu sioni mawaziri wa fedha na wa viwanda na biashara waliofanya makubwa sana kuibadilisha nchi hii.
Wahindi wamekuwa wanafanya vizuri sana huko duniani hasa katika sekta ya biashara na teknolojia kiasi cha kufanywa wakuu wa makampuni makubwa ya kidunia, World Bank na hata kuutwaa uwaziri mkuu wa Uingereza.
Sisi pia nchi yetu ina Wahindi wazalendo sana ambao tunaweza kuwatumia kutusaidia kupiga hatua kubwa sana za maendeleo. Tutafute wawili au watau tu tuwape wizara za Fedha na Biashara na viwanda watuchangamshie uchumi wa nchi kibiashara.
Wahindi wamekuwa wanafanya vizuri sana huko duniani hasa katika sekta ya biashara na teknolojia kiasi cha kufanywa wakuu wa makampuni makubwa ya kidunia, World Bank na hata kuutwaa uwaziri mkuu wa Uingereza.
Sisi pia nchi yetu ina Wahindi wazalendo sana ambao tunaweza kuwatumia kutusaidia kupiga hatua kubwa sana za maendeleo. Tutafute wawili au watau tu tuwape wizara za Fedha na Biashara na viwanda watuchangamshie uchumi wa nchi kibiashara.