Tuliahidiwa kuwa mtambo namba utawashwa kati ya January mwishoni na February mwanzoni. Nawakubusha tu Tanesco kuwa muda wa kutimiza ahadi hii nayo ambayo ni kama ahadi ya 12 hivi kuhusiana na kuanza kupatikana kwa umeme kwenye bwawa la JNHPP nao ndio umefika. Kama kuna ahadi mpya watupe mapema tujiandae kisaikolojia kwenye akili zetu