johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,110
Hii nchi haitawaliwi Kijeshi bali inatawaliwa kidemokrasia kwa maana hiyo Chama kilichoshinda Uchaguzi Ndio chenye dhamana ya kuunda serikali na kuisimamia
Katibu wa Itikadi na Uenezi ndiye anayesimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM na Mawaziri Ndio Vijana wa Chama wanaotekeleza Ilani
Mawaziri Mizigo Chama kinawatupa kule 🔥
Katibu wa Itikadi na Uenezi ndiye anayesimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM na Mawaziri Ndio Vijana wa Chama wanaotekeleza Ilani
Mawaziri Mizigo Chama kinawatupa kule 🔥