Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mkoa wa Mbeya kuna viongozi waliopita hawataweza kufutika kwenye vichwa vya watu. Huwezi ukataja viongozi waliacha alama Mbeya ukamsahau Prof. Mark Mwandosya! Sijui amewatendea nini wana Mbeya...
3 Reactions
43 Replies
2K Views
Najikumbusha tu Watu waliowahi kuukataa Ubalozi na Waliowahi kuukataa Ubunge Zitto Kabwe alikataa Ubalozi wa Ujerumani alioahidiwa na Waziri Membe Pius Ngw'andu alikataa Ubalozi wa Japan...
1 Reactions
4 Replies
857 Views
Watawala wanazunguka sana, wanahangaika sana. Kwa muda mrefu Katiba yetu imekua ikitoa kinga kwa rais aliyemaliza muda wake kuja kushitakiwa kwa makosa aliyoyafanya alipokua madarakani. Kinga...
2 Reactions
6 Replies
569 Views
Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri. Kwa miezi 2 sasa kuna...
17 Reactions
228 Replies
10K Views
Haya kama mnaweza njooni muutengue na huu Ubalozi wa Kutukuka aliopewa na Rais wa Jamhuri ya wana JamiiForums wote duniani GENTAMYCINE. Kumpiga Teke Chura ni Kumuongezea mwendo hivyo mmemjenga...
16 Reactions
22 Replies
2K Views
Sijui Kiswahili chake fasaha kama ni haiba au hulka, au silka, n.k, ila waliotuletea vitabu wanaiita TEMPERAMENT. Kuna faida kujifahamu na kuwafahamu wengine. Kutakusaidia kuweza kushirikiana na...
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Je, wapinzani wajiandae kisaikoloji? Je, CCM imeanza kugawanyika kuanzia viongozi wake hadi wanachama wake?
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Fuatilia live yanayojiri kwenye Mkutano huo. https://www.youtube.com/live/y0U2V-2Uv4I?si=Zit9QTAINPq-6D-w
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Moto wa petroli una tabia kuu moja, unapoumwagia maji ili kuuzima unaibukia pembeni tena kwa nguvu zaidi ya ule wa mwanzo tena una tabia ya kulipuka. Deusdedith Soka kijana aliyeandamana kupinga...
25 Reactions
28 Replies
2K Views
Nikiwa mdau wa biashara inayotumia dola kwa malipo mbalimbali, nimekuwa mhanga wa upotevu wa dollar. Leo imenibidi nieleze niliyoyaona. Unaweza fika bureau change, na Kuna watu wengi...
4 Reactions
9 Replies
949 Views
Hii ndio Taarifa mpya ya leo kutoka kanda ya ziwa ambako oparesheni 255 inatimua vumbi. Muda wa lugha laini kwenye kudai Katiba mpya umekwisha, sasa lugha kali za kikakamavu zimeanza kutumika...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Haya kelele za Watanzania wengi zimesikilizwa, Wenye sifa waombe kazi hiyo, tupunguze lawama.
20 Reactions
288 Replies
25K Views
"The best is yet to come"(Obama ,2012) ni maneno yaliyotolewa na Rais Obama katika hotuba yake siku aliyotangazwa mshindi kuongoza Taifa hilo kubwa kabisa duniani kijeshi na kiuchumi kwa kipindi...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Huyu jamaa Tundu Antipas Lissu ukiweka uvyama pembeni ni Mtu Makini sana. Pamoja na Changamoto zote alizopitia ndio amezidi kuwa mwiba kwa wezi na Mafisadi. Hakika Jasiri ni Jasiri na kamwe...
28 Reactions
44 Replies
3K Views
Serikali iache kuwachekea wafanyabiashara wa petrol. Kama vipi wanyanganyeni leseni ijulikane Moja. Suala la ukosefu wa Petrol linajirudia mara Kwa mara huku Serikali ikikaa kimya. Matokeo yake...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Songombingo la kuvuliwa hadhi ya Ubalozi wa Dkt. Slaa, lilianzia pale kwenye kuvujishwa kwa mkataba wa hovyo kabisa kuwahi kutokea duniani, wa DPWORD na TPA kuhusu bandari za Tanganyika Kama...
0 Reactions
0 Replies
534 Views
TFF: Waziri Dkt. Ndumbaro hajafungiwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limesema kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro alishinda rufaa ya adhabu ya kufungiwa...
0 Reactions
0 Replies
770 Views
M. M. Mwanakijiji KUNA vitu sielewi; nimejaribu kuvielewa lakini vimenishinda; na vipo vingine ambavyo japo kwa wengine vinaeleweka kirahisi, kwangu vimekuwa vigumu kweli kweli. Inawezekana nina...
84 Reactions
177 Replies
24K Views
Huduma zimekwama kwenye halmashauri, wenyeviti wa vijiji viongozi wa kata hadi wilaya wapo ofisini hakuna anayekwenda kutatua kero za wananchi. Viongozi wengi wa vijiji awakuchaguliwa na wananchi...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom