Hints kuhusu Makonda:-
(a). Anachukia dhuruma
(b). Anachukia watu wanaofanyakazi kwa mazoea
(c). Anapenda CDM waje CCM kuijenga nchi
(d). Ni mwalimu mwema kwa CCM, CDM na vyama vyote nchini,
(e)...
Habari,
Kama wabunge wameshindwa kutatua matatizo madogodogo ya wananchi na kumwachia muenezi Makonda.
Kuanzia ma DC, watendaji wa halmashauri wote wamemwachia Makonda.
Je, sisi tunathamani ipi...
Ni mtu Mwenye Akili tu ndio ataelewa thamani ya kuwa raia wa Dunia ya kwanza kama Marekani
Kibongo bongo Mtoto anarithishwa Ubunge ndio kilele cha mafanikio
Tundu Antipas Lisu apewe maua yake...
Kama mada ilivyo hapo juu kwa kuwa inadaiwa kuna 4R (Reconciliation, Resilience, Reforms and Rebuilding)
kwamba zinatibu vidonda vya kuumizwa kiakili, kimwili, kiuchumi na kijamii basi nafasi...
Huu ni ukweli ambao kuna watu Hawapendi kuusikia sio kwamba Samia hastahili Bali Kwa sababu wanaona wivu 😁😁
Aliyepewa kapewa,maneno machache kishindo kikubwa.👇👇
"Duniani heshma ya Rais Daktari...
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Paul Makonda amesema ataishawishi Serikali na Uongozi wa juu mara baada ya kukamilika kwa stendi mpya Iringa ili ipewe jina la aliyekuwa...
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , leo 09/02/2024 kuna Uchaguzi wa Viongozi wa Chadema Mbeya Mjini .
Habari zinadokeza kwamba Ni kama vile Mbeya Mjini leo ni siku ya Mapumziko , huku...
Makamu mwenyekiti wa chadema mh Tundu Lissu akiongea na diaspora wa Tanzania waishio Marekani kwenye suala la uraia pacha amegusia kuhusu maisha ya watoto wake wawili wanaosoma vyuo vikuu vya...
TBC wamekatisha matangazo wakati waziri wa mambo ya ndani akianza kutoa maelezo kuhusu hoja ya askofu Gwajima kuhusu kurejea kwa mambo ya utekaji na kupotea watu hivyo kuchafua setikali ya awamu...
Katika hali ya kushangaza kumetoka aidha mgomo au chama kimekosa Mvuto kabisa.
Wengine wanadai aaah wapi sio kukosa mvuto bali chama hakitoi maokoto kama zamani hivyo watu wanaovutwa na mafumba...
Serikali imesema miradi yote inayotekelezwa na TASAF (Mpango wa kunusuru kaya maskini) huibuliwa na jamii kwa kutumia utaratibu shirikishi unaohusisha na jamii yote na kwamba serikali itaendelea...
Miaka ya karibuni kumekua na wimbi kubwa la kampuni za asia kushinda tender hasa za barabara hii ni habari mbaya sana kwa sababu ubora wa miradi wanayojenga kampuni za asia ni mdogo sana baada ya...
Niite jina lolote, lakini mimi ni mojawapo ya watu ambao huwezi hata kabisa kunishawishi kwamba hii nguvu na mbwembwe ambazo Makonda amekuwa akizionyesha zinatokana na kuwa kwake na cheo cha...
Mwandiplomasia namba 1 wa Tanznaia na Rais wa JMT Samia SH anazidi kujipambanua kama Kiongozi mzito na mashuhuri kwenye nyanja ya Diplomasia Duniani akiiongoza Diplomasia ya Tanzania kwenda...
Mwenezi Makonda ameonesha kukasirishwa sana na kitendo Cha waliokuwa Wafanyakazi wa kiwanda Cha SPM Mgololo Kuzulumiwa Haki zao kwa.miaka 20.
Kilichomkasirisha zaidi ni baada ya kubaini Naibu...
1. Je, Mhe Wakili Msomi, Ng'wasi Damas Kamani, anadhani kuchapisha Noti mpyani sawa na kwenda kutoa kopi "Stationary"?
2. Je, Mhe Kamani anajua Mkwanja mrefu sana unatumika kuchapisha noti mpya...
Wasalaam Tanzania.
Nimekuwa mwingi wa kufuatilia mikutano ya ndugu Paul Makonda mwenezi wa CCM.
Amekuwa akipokelewa na wananchi kwa wingi na mabango mengi yenye malalamiko dhidi ya watumishi wa...
Kuna jambo linatia tafakari kidogo, CCM pamoja na awamu ya sita, kwa kweli wamefanya mengi sana ya kimaendeleo. Ili kuitendea haki CCM na uongozi wa serikali, lazima yasemwe mikutanoni.
Hii ya...
Kuna mambo yanaumiza sana, yanaathiri uchumi na maisha ya Watanzania wengi kutokana na uwajibikaji duni wa viongozi wetu na setikali.bKwa sasa tunarudi nyuma kwa kasi wakati tulishakuwa na...
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa.Bandari ya Dar imezidi kujaa meli zikipanga foleni Ili kusubiria kushusha mzigo.
Huu ni ushindi mkubwa Kwa sera za Rais Samia za kukuza biashara na Kuimarisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.