Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hints kuhusu Makonda:- (a). Anachukia dhuruma (b). Anachukia watu wanaofanyakazi kwa mazoea (c). Anapenda CDM waje CCM kuijenga nchi (d). Ni mwalimu mwema kwa CCM, CDM na vyama vyote nchini, (e)...
2 Reactions
43 Replies
2K Views
Habari, Kama wabunge wameshindwa kutatua matatizo madogodogo ya wananchi na kumwachia muenezi Makonda. Kuanzia ma DC, watendaji wa halmashauri wote wamemwachia Makonda. Je, sisi tunathamani ipi...
1 Reactions
0 Replies
401 Views
Ni mtu Mwenye Akili tu ndio ataelewa thamani ya kuwa raia wa Dunia ya kwanza kama Marekani Kibongo bongo Mtoto anarithishwa Ubunge ndio kilele cha mafanikio Tundu Antipas Lisu apewe maua yake...
3 Reactions
18 Replies
889 Views
Kama mada ilivyo hapo juu kwa kuwa inadaiwa kuna 4R (Reconciliation, Resilience, Reforms and Rebuilding) kwamba zinatibu vidonda vya kuumizwa kiakili, kimwili, kiuchumi na kijamii basi nafasi...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Huu ni ukweli ambao kuna watu Hawapendi kuusikia sio kwamba Samia hastahili Bali Kwa sababu wanaona wivu 😁😁 Aliyepewa kapewa,maneno machache kishindo kikubwa.👇👇 "Duniani heshma ya Rais Daktari...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Paul Makonda amesema ataishawishi Serikali na Uongozi wa juu mara baada ya kukamilika kwa stendi mpya Iringa ili ipewe jina la aliyekuwa...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , leo 09/02/2024 kuna Uchaguzi wa Viongozi wa Chadema Mbeya Mjini . Habari zinadokeza kwamba Ni kama vile Mbeya Mjini leo ni siku ya Mapumziko , huku...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Makamu mwenyekiti wa chadema mh Tundu Lissu akiongea na diaspora wa Tanzania waishio Marekani kwenye suala la uraia pacha amegusia kuhusu maisha ya watoto wake wawili wanaosoma vyuo vikuu vya...
17 Reactions
63 Replies
9K Views
TBC wamekatisha matangazo wakati waziri wa mambo ya ndani akianza kutoa maelezo kuhusu hoja ya askofu Gwajima kuhusu kurejea kwa mambo ya utekaji na kupotea watu hivyo kuchafua setikali ya awamu...
0 Reactions
5 Replies
976 Views
Katika hali ya kushangaza kumetoka aidha mgomo au chama kimekosa Mvuto kabisa. Wengine wanadai aaah wapi sio kukosa mvuto bali chama hakitoi maokoto kama zamani hivyo watu wanaovutwa na mafumba...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Serikali imesema miradi yote inayotekelezwa na TASAF (Mpango wa kunusuru kaya maskini) huibuliwa na jamii kwa kutumia utaratibu shirikishi unaohusisha na jamii yote na kwamba serikali itaendelea...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Miaka ya karibuni kumekua na wimbi kubwa la kampuni za asia kushinda tender hasa za barabara hii ni habari mbaya sana kwa sababu ubora wa miradi wanayojenga kampuni za asia ni mdogo sana baada ya...
2 Reactions
3 Replies
560 Views
Niite jina lolote, lakini mimi ni mojawapo ya watu ambao huwezi hata kabisa kunishawishi kwamba hii nguvu na mbwembwe ambazo Makonda amekuwa akizionyesha zinatokana na kuwa kwake na cheo cha...
43 Reactions
159 Replies
10K Views
Mwandiplomasia namba 1 wa Tanznaia na Rais wa JMT Samia SH anazidi kujipambanua kama Kiongozi mzito na mashuhuri kwenye nyanja ya Diplomasia Duniani akiiongoza Diplomasia ya Tanzania kwenda...
5 Reactions
39 Replies
3K Views
Mwenezi Makonda ameonesha kukasirishwa sana na kitendo Cha waliokuwa Wafanyakazi wa kiwanda Cha SPM Mgololo Kuzulumiwa Haki zao kwa.miaka 20. Kilichomkasirisha zaidi ni baada ya kubaini Naibu...
8 Reactions
76 Replies
7K Views
1. Je, Mhe Wakili Msomi, Ng'wasi Damas Kamani, anadhani kuchapisha Noti mpyani sawa na kwenda kutoa kopi "Stationary"? 2. Je, Mhe Kamani anajua Mkwanja mrefu sana unatumika kuchapisha noti mpya...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Wasalaam Tanzania. Nimekuwa mwingi wa kufuatilia mikutano ya ndugu Paul Makonda mwenezi wa CCM. Amekuwa akipokelewa na wananchi kwa wingi na mabango mengi yenye malalamiko dhidi ya watumishi wa...
1 Reactions
7 Replies
875 Views
Kuna jambo linatia tafakari kidogo, CCM pamoja na awamu ya sita, kwa kweli wamefanya mengi sana ya kimaendeleo. Ili kuitendea haki CCM na uongozi wa serikali, lazima yasemwe mikutanoni. Hii ya...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Kuna mambo yanaumiza sana, yanaathiri uchumi na maisha ya Watanzania wengi kutokana na uwajibikaji duni wa viongozi wetu na setikali.bKwa sasa tunarudi nyuma kwa kasi wakati tulishakuwa na...
4 Reactions
7 Replies
742 Views
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa.Bandari ya Dar imezidi kujaa meli zikipanga foleni Ili kusubiria kushusha mzigo. Huu ni ushindi mkubwa Kwa sera za Rais Samia za kukuza biashara na Kuimarisha...
5 Reactions
44 Replies
3K Views
Back
Top Bottom