Bima kwa watu wote sio mchezo mchezo kama huu. Watu wetu wanaugua sana kutokana na mbu wengi, funza wengi, ajali nyingi, takataka nyingi mitaani na majumbani, ukosefu wa chakula, ukosefu wa maji...
Ni kutokana na hofu ya kusambaratika.
Ishara za kumegwa na kumeguka kwa chadema left, right and center ni dhahiri. Mathalani kwa upande ule kuna kundi la wanaojiita sauti ya wananchi, upande huu...
Wazalendo ambao hawakutaka kutaja Majina yao wameamua kuingia mitaani kukarabati barabara zilizopuuzwa na viongozi wa ccm ambao ndio wanapokea tozo zote za serikali.
Wakihojiwa na Erythrocyte wa...
CCM ukifika msimu wa kuelekea uchaguzi huwa wanazika tofauti zao na kuungana ili kushinda uchaguzi. Wakati Upinzani ukikaribia uchaguzi ndipo huanza kugombana na kufarakana.
Upinzani acheni uzwazwa.
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari amesema kuwa bado anashangaa kuendelea kuwaona ofisini viongozi ambao aliowataja kwenye ushahidi wa kutumia rushwa kununua madiwani wa Chadema mkoani...
Je mmekubali wezi wanyongwe?
Je mmekubali Siro aitwe ahojowe na Bunge?
Je mmekubali yule aliyetaka kumpiga Mchemb na Rais kwenye ununuzi sa ndege aendelee kusubilia kuchukuliwa hatua?
Tunataka...
WAZIRI ASHATU KIJAJI AAHIDI KUTATUA KERO YA UTOZAJI USHURU KWA WAFANYABIASHARA WADOGO MKOA WA MANYARA
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amewaahidi...
Nichukue fursa hii kuwapongeza Spika Tulia na Mawaziri Mchengerwa na Bashe kwa kuutendea Haki Mjadala wa Taarifa za Kamati za Bunge kuhusu Ripoti ya CAG.
Niwe mkweli Mawaziri wagalatia walijikita...
Huyu mkurugenzi alie tumbuliwa leo na Waziri wa Tamisemi,
Aliteuliwa na Rais akapelekwa kigoma akafanya kazi baadae akaamishiwa Tabora nina swali hapo
Mh Rais akiwa anawaamisha wateule wake huwa...
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa Mohamed O. Mchengerwa (Mb), amemsimamisha kazi aliyekua Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji ambaye...
Dec 20, 2022 serikali ilisaini mkataba wa ujenzi wa SGR Tabora-Kigoma kilometa 506km. $2.7bn (Sh6.34 trilioni) na ujenzi huu unatarajiwa kuchukua miezi 48. Kwa kusaini kipande hiki, Serikali...
Leo hii CCM hawajibu hoja za wapinzani(Labda ni nyepesi) wako bize "Kuijibu" serikali ya awamu ya tano.
Kwa sasa mpinzani mkubwa wa CCM ni serikali ya awamu ya tano, na kidogo wanaharakati...
Picha ya Pamoja ikimwonyesha Mhe. Halima Mdee na wenzake 19 mara tu baada ya kuapishwa na Spika Job Ndugai (hayupo pichani) JIjini Dodoma Juzi
Nimepata fursa ya kusikiliza maelezo ya Halima James...
Ripoti ya CAG ikiendelea kusomwa Bungeni na wabadhilifu kutajwa huku kwetu wananchi wanachukuliwa hatua kali kwa mujibu wa sheria. Najiuliza yule bwana aliyeongeza bei ununuzi wa ndege anafanya...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewashukuru marafiki na wanafunzi aliosoma nao katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Mwanza (SAUT) na kuwataka kufanya kazi kwa bidii...
=======================================
FUATILIA MAJIBU YA SERIKALI HAPA;Majibu ya serikali kuhusu ripoti ya PAC (click)
===============================
Habari wakuu,
Baada ya jana ripoti...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku saba kuanzia leo (Alhamisi, Desemba 17, 2020) kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, maofisa wanaochambua maombi ya ununuzi wa magari Ofisi ya Waziri Mkuu na...
Nilikuwa namsikiliza mwenyekiti wa maisha wa chadema anaongea na wazee wa chadema huko Unguja. Nimecheka na kusikitika sana, yaani anawapiga porojo tu, hakuna sera kabisa.
Amesema wao ni vitu...
Sisi wananchi tunasikitika sana kuona Wabunge nao wanalalamika kuhusu wizi/ubadhilifu unaotekelezwa makusudi na watendaji wa serikali.
Kila mwaka mafuru yaleyale, bunge linalalamika bila kuchukua...
Hivi mtu uko kwenye safari zako sijui umetokea wapi mi nakuona kama jirani/rafiki au ndugu napaki gari pembeni mimi ndo naelekea upande wa mjini wewe ndo unarudi unavuka barabara unakuja upande wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.