Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni dhahiri na wazi kuwa Waziri January Makamba imemshinda wizara yake kutokana na ukosefu na usumbufu wa huduma ya umeme nchi nzima. Ninachojiuliza kuwa ameshindikana vipi kuwajibishwa kwa jambo...
14 Reactions
94 Replies
7K Views
Nina wasiwasi na hawa CHADEMA kuwa ni tawi la CCM ,ukiangalia kwa undani utaona wananchi tumehamishiwa kwenye bandari,mbuga na mambo mengi ambayo mwisho wa siku tunapigwa na kufungwa bao la...
0 Reactions
5 Replies
827 Views
Wadau nawasabahi. Awamu ni vipindi vya Utawala wa Rais wa Nchi kwa Tanzania ni Miaka 5. Wahenga walisema kila Kitabu na zama zake na mimi nasema kila AWAMU na CHUKIZO lake.Leo nataka nitaje...
5 Reactions
36 Replies
1K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Hafla ya Kutambua Mchango wa wadau kwenye Sekta ya Elimu, leo Agosti 31, 2023 ambapo Rais Mstaafu wa Awamu ya 4, Jakaya Kikwete ni Mgeni rasmi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunakumbushana tu Kwani hadi sasa Wizara ya Mambo ya Nje ndio inaongoza kwa kutoa Marais Wawili waliongozana hayati Mkapa na mzee Kikwete Lakini MFA inatamba sana kwenye 3 Bora za Kura za Maoni...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Ndugu Rais Japo watu wanapenda kukuita rais wa awamu ya sita lakini mimi nakuona kuwa wewe ni rais wa sita kutawala nchi yetu anayekamilisha awamu ya tano. Haina mantiki kwa mfano eti Rais...
9 Reactions
46 Replies
4K Views
Hii nchi ya Vietnam ni wajamaa kama "tulivyokuwa" sisi (almaarufu Socialist Republic of Vietnam), waliingia kwenye vita miaka ya 1950s mpaka katikati ya 1970s. Leo hii, wana shirika imara la...
16 Reactions
97 Replies
15K Views
Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja. Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni...
20 Reactions
79 Replies
3K Views
Balozi mstaafu Ali Siwa amekuwa katika utumishi wa umma tangu mwaka 1977 na kuweza kushika nafasi mbalimbali za uongozi. Kati ya mwaka 2001 mpaka 2014, Balozi Mstaafu Ndugu Siwa alikuwa Afisa...
12 Reactions
80 Replies
30K Views
Ikumbukwe Viongozi Wakuu wa Chadema wako kanda ya Serengeti kwa ajili ya Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari zetu Inasemekana baada ya Dkt. Dotto Biteko kutangazwa kuteuliwa kuwa Naibu Waziri...
8 Reactions
43 Replies
4K Views
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007. Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi...
19 Reactions
197 Replies
16K Views
1. Equatorial Guinea Rais wake Teodoro Obiang Nguema; yuko madarakani kwa miaka 41 sasa. Mbili ya tatu ya wananchi wake wanaishi katika umaskini uliotopea licha ya kuwa nchi namba 3 kwa uzalishaji...
8 Reactions
41 Replies
4K Views
Wanabodi, Nimekutana na bandiko hili lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu.. Dotto Biteko unajua utaondoka Wizara ya Madini, ndo uibe kiasi hicho? Hizo pesa utakufa utaziacha. Madini ya...
47 Reactions
189 Replies
13K Views
Kuna rafiki yangu lawyer kwenye NGO moja hapa NY ambayo yule dada Lisa Rockefeller ni board member, amenidokeza kuhusu issue ya huyu dada na yule kijana wa Bumbuli –January Makamba. Hii issue...
1 Reactions
123 Replies
17K Views
Sijui ana gundu au anamshauri vibaya Rais au anamdanyanya ukute😄 Alipoingia alisema wanainginza data kwenye mfumo mpya wa HCMIS ili walipe! Ishapita mwaka sasa watu wanadai malimbikizo muda...
7 Reactions
61 Replies
5K Views
Sio dhambi wala jinai kuwa na ambitions za kuusaka uongozi wa juu wa nchi, lakini wengi wanakuwa consumed na ndoto hizo, wako distracted, wanafanya siasa zaidi kuliko kazi waliyopewa, wanahangaika...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Kila mtu anaona kabisa kuwa Mama anatamani kuachana na Majaliwa. Kwanini sasa asijiuzulu tu kama Ndugai yaishe!? Mwisho wa siku uje ulaumiwe kwa kila jambo bureee uwe mbuzi wa kafara. Miaka 8...
14 Reactions
36 Replies
7K Views
TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa hayati baba wa taifa (resty easy amen). TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa awamu ya 5, kupinga kiitwacho uminywaji wa haki za...
5 Reactions
102 Replies
6K Views
Marais saba wa nchi saba za Afrika ambao wamedumu kwa muda mrefu,Madarakani mpaka sasa. 1-Teodoro Obiang Nguema Mbasogo (Miaka-44 )Equatorial Guinea [emoji1119]. 2-Paul Biya (Miaka-42 ) Cameroon...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
NAIBU WAZIRI MASANJA AONGOZA KIKAO CHA TAASISI ZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja ameongoza kikao cha kimkakati cha kufanya mapitio ya...
0 Reactions
5 Replies
909 Views
Back
Top Bottom