Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,716
- 36,187
Niko Dar es salaam hapa tangu Royal Tour itoke. Sijawahi kusikia mtu yeyote au kikundi cha watu mtaani wakihadithia filamu ya Royal Tour.
Mimi mwenyewe sijawahi kuiona, only kwenye vi clip vya sekunde 30 ndani ya safari channel ndo naviona.
Nilijaribu kuwauliza vijana wenzangu kazini kama wamewahi kuitazama angalau kwa lisaa limoja wote wanasema hapana. Wengine ndo kwanza hata main character hawamjui.
Hivi inawezekana Wazungu kushobokea filamu ya Kibongo ambayo hata wabongo wenyewe hatuijui?
Mimi mwenyewe sijawahi kuiona, only kwenye vi clip vya sekunde 30 ndani ya safari channel ndo naviona.
Nilijaribu kuwauliza vijana wenzangu kazini kama wamewahi kuitazama angalau kwa lisaa limoja wote wanasema hapana. Wengine ndo kwanza hata main character hawamjui.
Hivi inawezekana Wazungu kushobokea filamu ya Kibongo ambayo hata wabongo wenyewe hatuijui?