ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,083
- 49,787
Huu ni ukweli ambao kuna watu Hawapendi kuusikia sio kwamba Samia hastahili Bali Kwa sababu wanaona wivu ππ
Aliyepewa kapewa,maneno machache kishindo kikubwa.ππ
"Duniani heshma ya Rais Daktari Samia Suluhu Hassan ni kubwa sana,... Tukiwa kwenye Mikutano mbalimbali inafika wakati watu wana scramble (wanagombea) kwaajili ya kupata picha na Rais Samia Suluhu Hassan." -Waziri Dkt. Seleman Jafo, Bungeni Feb. 9, 2024.alisema Waziri Jafo
Kuna wale hujifanya ni waumini sana ila Sasa hawajawahi pata mualiko na Mkuu wa Wao ila kapata Samia ambae sio wa dini Yao.ππ
- Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili
Aliyepewa kapewa,maneno machache kishindo kikubwa.ππ
"Duniani heshma ya Rais Daktari Samia Suluhu Hassan ni kubwa sana,... Tukiwa kwenye Mikutano mbalimbali inafika wakati watu wana scramble (wanagombea) kwaajili ya kupata picha na Rais Samia Suluhu Hassan." -Waziri Dkt. Seleman Jafo, Bungeni Feb. 9, 2024.alisema Waziri Jafo
Kuna wale hujifanya ni waumini sana ila Sasa hawajawahi pata mualiko na Mkuu wa Wao ila kapata Samia ambae sio wa dini Yao.ππ
- Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili