Kwa wale waliokuwapo wakati wa awamu ya kwanza, pili,na tatu kulikuwa na utaratibu ambao naweza kuuita uwazi. Katika sehemu mojawapo ilikuwa ni kutangaza orodha ya waliokuwa wakiandamana na rais...
Rais Samia Suluhu Hassan
Nikiwa mmoja wa members wa JF nilyepinga sana mkataba wa awali kati ya nchi yetu na DP World, nachukua nafasi hii kumpongeza Mama Samia.
Pongezi zangu zinazingatia...
Rais Samia Suluhu Hasan, kamwe hawezi kujilaumu kwa kutofanya jitihada, tokea mwanzo wa utawala wake kuona umuhimu wa kushawishi makundi mbalimbali katika jamii kuungana naye katika juhudi zake za...
Uwekezano wa kuingizwa mjini na Samia ni mkubwa sana. Tunahitaji tumpate Rais wazalendo 2025 akauchunguze huu mkataba wa Bandari.
CCM Hawaaminiki na hawajawahi kuaminika kamwe. Mpaka 30 iishe...
Tumearifiwa wakubwa walioletwa na watawala bandarini wameanza kusambaa nchini kwa ajili ya kujenga mahusiano mema na Watanganyika.
Wao dp world wanajua kuwa watanganyika waliwakataa ila watawala...
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Zanzibar leo tarehe 24 Oktoba, 2023...
"Tumechaguliwa na wananchi ili kuboresha maisha yao, tunatakiwa kushirikiana kama nchi ya Tanzania na Zambia ili kuinua uchumi wa wananchi wetu"
Hii ni kauli ya Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan...
Kama kwenye hii dunia Kuna genge la wanafiki basi niamini Ndugu yangu, CCM ni baba wa Hilo Genge. Leo baada ya kutangazwa Kwa Uteuzi wa Makonda nimewasiliana na Wana CCM wengi Tena very...
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anazungumza na viongozi wa dini mbalimbali kuhusu mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi na kijamii wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai...
Habari zilizopo kwa Tour Operator na hata Tour guide Arusha ni kwamba Mama ndie kawekeza kwenye hoteli ya Gran Melia Ngorongoro,hata Staffu wa Mamalaka ya Hifadhi ya Ngoronhoro hilo wanalijua...
Damu ya kijana mbichi kabisa iliyomwagwa na lizee la miaka 60 sasa imeanza kujibu mapigo.
Dhihaka, dharau na kila aina ya madhila yanamuandama aliyeimwaga. Waliomuunga mkono kwa aina ya maisha na...
Kumekuwa na malalamiko hata baada ya kufanyika marekebisho ya mikataba ya HGA na IGA .na wengine wakifikia Kuilaumu TEC kwa kutokuwa na msimamo.
Bila kujua kuwa TEC walisema kuwa kama mkataba...
Iko amri ya Mungu wa Mbinguni inayosema Usimshuhudie Jirani Yako Uwongo
Ndio sababu hata kwenye Ule mkutano wa Waziri Mbarawa na Hamza wa kujadili IGA Padre Dr Kitima mara zote alikuwa akisema "...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.
Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja...
Swala la Bandari limetamatika na jana mwenyekiti wa DP World alikuwa Makete Njombe yalipo Makao makuu ya mganga wa Utajiri Tanzania Dr Mwakipande
Nakumbuka mjumbe wa kamati kuu ya ACT Wazalendo...
Watanzania sasa tufike hali tukubaliane na hali tu, ya kuwa tunapobweka sana tunasikika, na walio madarakani wanaelewa na kusikia vibweko vyetu.
Siamini ya kuwa tumefika hali au wakati wa...
Na Mwl, John Pambalu
Waswahili wanao msemo usemao kuwa, "Asiyejua aendako, njia yoyote itamfikisha anakokwenda". Ndiyo maneno mafupi ninayoweza kuyatumia kumuelezea Rais Samia ambaye mwanzoni...
Serikali ilisema inasikiliza maoni ya watanzania wote kuhusu mkataba wa bandari na viongozi wa dini walikuwa na nafasi kubwa ya kusikilizwa maoni yao
Ikumbukwe Kanisa katoliki walitoa waraka wa...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya sekta ya michezo ambayo imewasilishwa na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.