Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kila mtu anaona kabisa kuwa Mama anatamani kuachana na Majaliwa. Kwanini sasa asijiuzulu tu kama Ndugai yaishe!? Mwisho wa siku uje ulaumiwe kwa kila jambo bureee uwe mbuzi wa kafara. Miaka 8...
14 Reactions
36 Replies
7K Views
TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa hayati baba wa taifa (resty easy amen). TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa awamu ya 5, kupinga kiitwacho uminywaji wa haki za...
5 Reactions
102 Replies
6K Views
Marais saba wa nchi saba za Afrika ambao wamedumu kwa muda mrefu,Madarakani mpaka sasa. 1-Teodoro Obiang Nguema Mbasogo (Miaka-44 )Equatorial Guinea [emoji1119]. 2-Paul Biya (Miaka-42 ) Cameroon...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
NAIBU WAZIRI MASANJA AONGOZA KIKAO CHA TAASISI ZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja ameongoza kikao cha kimkakati cha kufanya mapitio ya...
0 Reactions
5 Replies
909 Views
Mabadiliko ya mawaziri ambayo yamekuwa yakifanywa tangu rais Samia aingie madarakani, yamelenga kupunguza wale wenye umri mkubwa (Senior Citizens) katika nafasi hizo ili kuwapisha au kuwaingiza...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Jf members! SALAAM! Ifahamike kwamba tunaishi ktk dunia inayokabiriwa na changamoto mbalimbali za kimaisha - kwamba changamoto hizi hutokana na kasi na mabadiliko ya ukuaji wa kiuchumi, kijamii...
0 Reactions
8 Replies
781 Views
wanabodi, si mnakumbuka bunge hilihili lilipitisha ule mkataba wa makubaliano ya awali ya DP world tena kwa kuupa promo kibao na kuusafisha, ili hali mkataba niwa hovyo. Sasa najiuliza je...
13 Reactions
40 Replies
3K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , leo tarehe 29/8/2023 , amefika nyumbani kwa Mufti Zuberi kwa lengo la kuhani Msiba. Ikumbukwe kwamba Mufti amepata...
16 Reactions
25 Replies
4K Views
WENZETU WAMEFUNGUKA KUZIONA FURSA, SISI BADO TUPO USINGIZINI, DP WORLD WANASHIKA HATAMU Na Comrade Ally Maftah Wakati wenzetu wanajiunganisha na dunia na kufurahia mema ya Dunia, sisi bado tupo...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanaharakati wa Katiba na Haki za Binadamu wamekosoa kauli ya Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro juu ya kutoa elimu ya Katiba kwa kipindi cha miaka mitatu, wakidai mpango huo unalenga...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
MAELFU ya wananchi wa mji wa Mwanhuzi, wilayani Meatu, mkoani Simiyu, wamehudhuria kwa wingi katika mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), huku aliyewahi kuwa mbunge wa...
9 Reactions
11 Replies
3K Views
Wanaomlilia Makamba Wanasema ameweza kusambaza Mitungi ya Gesi ya Majumbani nchi nzima hadi Vijijini Ameendeleza ujenzi wa Bwawa la Nyerere hadi kufikia 93% Ameondoa mgao wa Umeme na...
12 Reactions
62 Replies
4K Views
Sinior kibwengo wasalaamu nakusalimu nikiwa kijijini kwetu kyabakari Wilaya ya Muleba kijiji cha kisana hapa ndo chimbuko langu. Jana nilikutahadhalisha yakuwa MH Mbowe akiwa. Ujuremani alikula...
13 Reactions
28 Replies
3K Views
Dotto Biteko unajua utaondoka Wizara ya Madini, ndo uibe kiasi hicho? Hizo pesa utakufa utaziacha. Madini ya Tanzanite yanasafisishwa kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara na...
10 Reactions
126 Replies
12K Views
Nilinunua kifurushi cha wiki cha Airtel nikiwa safarini Marangu Moshi, nilipofika nikakuta Airtel haipatikani hivyo kifurushi kikaisha kwa muda niliokuwepo hapo! TCRA wao wanajionea sawa tu...
6 Reactions
11 Replies
975 Views
Katibu Mkuu wa wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa masuala ya ushirikiano kimataifa kutoka kampuni ya vinywaji vya Heineken Bw. Frank...
0 Reactions
0 Replies
436 Views
Wakuu ni kwa nini nchini kwetu waziri mkuu akijiuzulu na Baraza la Mawaziri linavunjika na hali yeye siyo kiongozi wa baraza la mawaziri wala aliyewateua kama kwa nchi kama Uingereza?
3 Reactions
3 Replies
1K Views
RIP waandishi walio fariki kwenye ajari ya msafara wa mkuu wa Mkoa. Turudi kwenye Maada, huwa sielewi inawezekana vipi waandishi wanadandia usafiri wa Viongozi na kwenda kureport habari zao. Kwa...
32 Reactions
81 Replies
7K Views
Akihojiwa na mwandishi wa habari, Mwenyekiti wa Chama cha CHAUMA ameshangazwa sana na namna DP World walivyopewa bandari zetu. Mzee Rungwe amesema bandari zetu zilishauzwa tangu day one rais...
15 Reactions
28 Replies
4K Views
Mh, kwanza nakupongeza kwa kuwa Waziri mpya wa Nishati. Nina imani na wewe! Mhe, kutokana na imani niliyonayo kwako.. nisingependa kuona unaharibu kama alivyofanya mtangulizi wako. Hivyo basi...
19 Reactions
30 Replies
5K Views
Back
Top Bottom