Kila mtu anaona kabisa kuwa Mama anatamani kuachana na Majaliwa. Kwanini sasa asijiuzulu tu kama Ndugai yaishe!? Mwisho wa siku uje ulaumiwe kwa kila jambo bureee uwe mbuzi wa kafara.
Miaka 8...
TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa hayati baba wa taifa (resty easy amen).
TEC walipata kutoa waraka kipindi cha utawala wa awamu ya 5, kupinga kiitwacho uminywaji wa haki za...
Marais saba wa nchi saba za Afrika ambao wamedumu kwa muda mrefu,Madarakani mpaka sasa.
1-Teodoro Obiang Nguema Mbasogo (Miaka-44 )Equatorial Guinea [emoji1119].
2-Paul Biya (Miaka-42 )
Cameroon...
NAIBU WAZIRI MASANJA AONGOZA KIKAO CHA TAASISI ZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja ameongoza kikao cha kimkakati cha kufanya mapitio ya...
Mabadiliko ya mawaziri ambayo yamekuwa yakifanywa tangu rais Samia aingie madarakani, yamelenga kupunguza wale wenye umri mkubwa (Senior Citizens) katika nafasi hizo ili kuwapisha au kuwaingiza...
Jf members!
SALAAM!
Ifahamike kwamba tunaishi ktk dunia inayokabiriwa na changamoto mbalimbali za kimaisha - kwamba changamoto hizi hutokana na kasi na mabadiliko ya ukuaji wa kiuchumi, kijamii...
wanabodi, si mnakumbuka bunge hilihili lilipitisha ule mkataba wa makubaliano ya awali ya DP world tena kwa kuupa promo kibao na kuusafisha, ili hali mkataba niwa hovyo.
Sasa najiuliza je...
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema , John Mnyika , leo tarehe 29/8/2023 , amefika nyumbani kwa Mufti Zuberi kwa lengo la kuhani Msiba.
Ikumbukwe kwamba Mufti amepata...
WENZETU WAMEFUNGUKA KUZIONA FURSA, SISI BADO TUPO USINGIZINI, DP WORLD WANASHIKA HATAMU
Na Comrade Ally Maftah
Wakati wenzetu wanajiunganisha na dunia na kufurahia mema ya Dunia, sisi bado tupo...
Wanaharakati wa Katiba na Haki za Binadamu wamekosoa kauli ya Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro juu ya kutoa elimu ya Katiba kwa kipindi cha miaka mitatu, wakidai mpango huo unalenga...
MAELFU ya wananchi wa mji wa Mwanhuzi, wilayani Meatu, mkoani Simiyu, wamehudhuria kwa wingi katika mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), huku aliyewahi kuwa mbunge wa...
Wanaomlilia Makamba Wanasema ameweza kusambaza Mitungi ya Gesi ya Majumbani nchi nzima hadi Vijijini
Ameendeleza ujenzi wa Bwawa la Nyerere hadi kufikia 93%
Ameondoa mgao wa Umeme na...
Dotto Biteko unajua utaondoka Wizara ya Madini, ndo uibe kiasi hicho? Hizo pesa utakufa utaziacha.
Madini ya Tanzanite yanasafisishwa kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara na...
Nilinunua kifurushi cha wiki cha Airtel nikiwa safarini Marangu Moshi, nilipofika nikakuta Airtel haipatikani hivyo kifurushi kikaisha kwa muda niliokuwepo hapo! TCRA wao wanajionea sawa tu...
Katibu Mkuu wa wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa masuala ya ushirikiano kimataifa kutoka kampuni ya vinywaji vya Heineken Bw. Frank...
Wakuu ni kwa nini nchini kwetu waziri mkuu akijiuzulu na Baraza la Mawaziri linavunjika na hali yeye siyo kiongozi wa baraza la mawaziri wala aliyewateua kama kwa nchi kama Uingereza?
RIP waandishi walio fariki kwenye ajari ya msafara wa mkuu wa Mkoa.
Turudi kwenye Maada, huwa sielewi inawezekana vipi waandishi wanadandia usafiri wa Viongozi na kwenda kureport habari zao.
Kwa...
Akihojiwa na mwandishi wa habari, Mwenyekiti wa Chama cha CHAUMA ameshangazwa sana na namna DP World walivyopewa bandari zetu.
Mzee Rungwe amesema bandari zetu zilishauzwa tangu day one rais...
Mh, kwanza nakupongeza kwa kuwa Waziri mpya wa Nishati. Nina imani na wewe!
Mhe, kutokana na imani niliyonayo kwako.. nisingependa kuona unaharibu kama alivyofanya mtangulizi wako. Hivyo basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.