Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mbunge wa Mbozi George Mwenesongole amelitaka Bunge liazimie Wezi wote wa Kuku waliofungwa Waachiliwe Mwenisongole anesema hatuwezi kuwa tunawafunga Wezi wa Kuku na kuwaacha Mafisadi wakitamba...
1 Reactions
0 Replies
368 Views
Habari zenu wanaJF wenzangu, Kama ilivyo desturi ya watanzania wenzetu ambao 90% ni ya wale waliokimbia shule, hivyo kujikuta wanaangukia katika mikono ya wanasiasa uchwara ambao sasa hivi...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Hongereni kwa kurejea kwa nidhamu chamani. "Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama" Kwamba hii ni kwa maelekezo yenu au ni kwa heshima au kuhofiwa kwa majina yenu? Hilo wala...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema taifa linajivunia utendaji kazi wa Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu, ambaye ni zao la...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua...
66 Reactions
471 Replies
37K Views
Kwa kweli pasipo kupoteza muda, ninayo furaha ya dhati toka moyoni kwa hiki ambacho nimekiona kwa bunge la leo! Yaani ni kama mgonjwa mahututi ambaye ghafla ameanza kupiga chafya! Chafya ni...
12 Reactions
111 Replies
6K Views
NAIBU Waziri TAMISEMI Mhe. Dkt. Festo Dugange amesema Halmashauri ya Mwanga imeandaa andiko lenye thamani ya Sh.bilioni 3.2 na kuliwasilisha Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa ajili ya ujenzi wa stendi...
0 Reactions
0 Replies
528 Views
Leo nikiwa napita maeneo mbalimbali nikitokea Dodoma hadi nafika Dar es Salaam naona watoto wadogo njiani wakiwa wameshika viatu huku wakitembea kwenye njia zilizojaa maji, wakinyeshewa...
25 Reactions
97 Replies
10K Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewapongeza Viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Chini ya Mwenyekiti...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema Wizara anayoiongoza itaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa Kituo Cha Michezo katika Chuo Cha Maendeleo ya Michezo Malya...
0 Reactions
2 Replies
630 Views
Tunakumbushana tu muda wa kampeni bado ndio sababu tunakemea Bavicha kuingia uwanjani na Bango linalomnadi Mbowe kwa Uchaguzi mkuu wa 2025 Ni hilo tu Mbarikiwe sana 😂
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Waziri Mkuu wa Ethiopia Dkt. Abiy Ahmed uliowasilishwa kwake na Waziri na Mshauri – Sera wa...
0 Reactions
0 Replies
496 Views
Serikali imeeleza kuwa itaanza ujenzi wa Hospitali ya Rufaa Kanda ya Magaharibi ifikapo mwezi Januari mwaka 2024 Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalu, Zainab Katimba, aliyeuliza ni lini...
1 Reactions
1 Replies
694 Views
Zitambue tofauti hizi mpakani mwa Tanzania na Rwanda katika boda ya Rusumo: 1. Miundo mbinu upande wa Rwanda ni bora zaidi. Barabara, taa za barabarani, security cameras, majengo, fencing...
19 Reactions
148 Replies
10K Views
Kumpamba mtu ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili , achilia mbali Netball, ni sawa na kumkejeli . Mwenyekiti wa CCM ana maeneo mengi sana ya kumsifia, UWT, UVCCM, LUMUMBA, CHIMWAGA na...
14 Reactions
87 Replies
4K Views
Jana ni mara ya pili kumekuwa na Mjadala mkali kuhusu nani anamiliki KADCO na nani anamiliki Uwanja wa KIA. AG Feleshi akasema Mkataba wa Uendeshaji wa KIA kwa KADCO umeisha June 2023. Feleshi...
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Kiukweli heshima iliyojijengea Tanzania katika kulikomboa Bara la Afrika leo hii baadhi ya viongozi wetu wangekuwa kwenye Timu za Usuluhishi huko Mashariki ya Kati lakini ndio hivyo tena tumemezwa...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Baadhi ya Wakazi Kijiji cha Kimani, Kata ya Ugala Halmashauri ya Nsimbo Mkoani Katavi wametoa malalamiko yao ambayo yanawataka kuhama katika eneo wanaloishi. Grace Julius na Simon Daluso wametoa...
0 Reactions
8 Replies
815 Views
Mh Lissu alisema sana bungeni juu ya huu wizi lkn Serikali yetu ilikaa kimya. Leo hii wabunge wachache wa CCM iwe kwa kupanga au wameamua kujipambanua ndiyo wanaanza kuona huu wizi? CHADEMA...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala za kwa maslahi ya taifa. Makala ya leo ni jinsi Watanzania wanavyoishadadia Ripoti ya CAG ya mwaka huu kushangalia ufisadi, as...
17 Reactions
46 Replies
3K Views
Back
Top Bottom