KWANINI GHARAMA ZA UJENZI WA RELI YA SGR KIGOMA - TABORA 506km ZIMEONGEZEKA BAADA YA RAIS SAMIA KURUHUSU TENDA YA MFUMO WA CHANZO KIMOJA ( Single source) BADALA YA USHINDANI open tender?
JE NI...
Wanabodi,
Naomba kuanza na angalizo, hii ni thread ya swali na sio statement.
Jee Bunge Letu Ni Bunge Butu?. Angalia Bunge la Uingereza Lenye Meno Linavyong'ata Serikali. Jee Kuna Ubaya Wowote na...
Wanabodi,
Wakati taifa likiwa bado limepigwa na butwaa ya kilichomtokea Mhe. Tundu Lisu, najiunga na kumtakia uponyaji wa haraka, japo nakiri mimi ni miongoni mwa wale wanao leave all options...
Maamuzi ya Bunge Kuhusu Ripoti ya CAG je, Mama ataweza kula vichwa (kushika sharubu za Simba) kuelekea uchaguzi mkuu 2025?
Asipowala vichwa waliokula nchi kwa urefu wa kamba zao je, hii...
Naona nguvu kubwa inatumika kukusugua kwa dodoki, nikuhakikshie Wizara ya fedha imekushinda totally, usilazimishe, wewe kama mtunza hazina umeshindwa kufanyia kazi priorities za nchi.
Imani...
Waziri Nape wakati akichangia ripoti ya CAG amesema Ripoti hiyo hufikishwa pia CCM na kufanyiwa Kazi hivyo yeye ameanza kushughulika Ripoti hizi kabla hajawa mbunge
Jamani tunaposema Katibu wa...
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili ya miradi ya...
Salaam, Shalom!!
Ulichokifanya ni WAJIBU wako kama kiongozi, ila Si vibaya kukupongeza sababu wamekuwapo wakuu wa mikoa wengi tangu uhuru lakini hawakupata mafanikio kama uliyofikia Hadi sasa...
Sijwahi kuona taifa lingine ambalo wizi/ufisadi wa mali za umma unatokea halafu Idara za ujasusi ndizo zinalaumiwa.
Ukosoma sheria ya kuundwa kwa TISS kazi ya inahusu usalama wa taifa "security"...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa alimpotembelea nyumbani kwake kumpa pole ya kufiwa na kaka yake Issa...
Teuzi ya Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa...
Kamati ya Kudumu ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Vincent Mbogo (Mb) imefanya ziara na kukagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba za makazi...
Chadema ni Chama Kikuu cha Upinzani kinachopokea mabilioni ya ruzuku kila mwaka
Hamieni kwenye ofisi mpya bhana kule Mikocheni, kule Ufipa st mvua unaleta changamoto Kubwa tu
Ni ushauri tu 😀
Salaam, shalom!!
Hapo bungeni, mpo Kwa ajili ya wananchi.
LUGHA YA WANANCHI.
Wananchi tunataka kuona wabadhirifu walioiba pesa za umma, walioguswa na Ripoti ya CAG , wananchi tunataka watu hao...
Kufuatia ripoti ya CAG kuonyesha upigaji mkubwa wa fedha za umma, Mh Rais Dokta Samia Suluhu Hassan anatarajia kutengua uteuzi wa mawaziri ambao wizara wanazozisimamia zilionyesha upigaji mkubwa...
Ofisi Nyingi za serikali zilizokamilika hazina watumishi badala yake watumishi wamerundikana kwenye ofisi zao za zamani wakisubiri hadi waelekezwe kuhamia.
Taasisi za fedha zimehamisha watendaji...
Mahakama ni chombo huru lakini hakitakiwi kuwa huru.
Mahakimu na majaji wengi wanautumia uhuru wa mahakama vibaya.
Fikiria jinsi pesa za halmashauri zinavyoibwa kila siku. Ushahidi hata wa...
Kwa mtazamo wangu kulingana na hali ya mambo na yanayoendelea Bungeni, hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi na mabadiliko haya yatakuwa ni ya kisiasa tu.
Mwigulu na Mbarawa, wanaweza...
MHE. NANCY NYALUSI AHOJI KADCO INASIMAMIA SHUGHULI ZA UWANJA WA NDEGE WA KIA KWA MKATABA UPI?
"Nampongeza sana CAG kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuweza kubaini madudu. Ucheleweshaji wa Malipo...
Nilidhani nimeona mengi, nimesikia mengi na nimeshuhudia mengi Kwa umri wangu 35+ kumbe bado Nina safari ndefu. Hivi Waliosema kua uyaone walimaanisha ukue Hadi ufikishe miaka mingapi ndo uanze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.