Thadei Ole Mushi; The Hero of Freethinking

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
21,838
38,729
ULIMWENGU ni jukwaa la mateso kwa watu huru kifikra. Wenye kutumia akili zao kupokea, kutafsiri na kujenga hoja. Wanaounda mitazamo na misimamo baada ya kujiridhisha kwa tafakuri binafsi.

"The essence of the independent mind lies not in what it thinks, but in how it thinks." - "Msingi wa fikra huru hauegemei katika nini unafikiri, bali kwa jinsi unavyofikiri." Ndivyo alisema mwandishi wa UK, Chris Hitchens.

Watu wenye kujitegemea kifikra na kuamua kufuata jambo kwa utashi wa fikra binafsi, mara nyingi hugeuka wapweke. Upo wakati utafikiri tofauti na wengine. Utajikuta upo peke yako. Si ajabu ukazodolewa, hivyo kuifanya dunia kuwa ngumu upande wako.

Dunia ni nyepesi kwa wafuata mkumbo. Upepo unapovuma na wao wanaunga. Hawaumizi kichwa, wakisikia mayowe wanafuata. Akisema fulani, naye anaamini hata kama huyo msemaji ni Kizabizabina.

Thadei Ole Mushi. Mwalimu kitaaluma. Mwandishi na mmoja wa wajenga hoja huru ninaowafahamu na kuwatambua. Soma makala za Thadei. Andiko kwa andiko. Posti zake. Alivyojenga hoja na misingi aliyosimamia. Thadei ni mantiki ya fikra huru.

Hakuona aibu kujisema yeye ni kada wa CCM. Hata sare za chama alivaa. Shughuli za CCM alishiriki waziwazi. Kisha, ungemsoma Thadei akiikosoa serikali, vilevile chama chake. Ni kwa sababu msingi wa fikra zake, haukuegemea alichofikiri, bali jinsi alivyofikiri.

Tembelea akaunti zake, soma posti kwa posti. Kuna mahali aliandika, watu kwa wingi wao, walimpongeza. Kwingine alijenga hoja, watu kwa wingi kabisa walimshambulia, walimpinga na kumpa majina mabaya. Hiyo ndiyo gharama ya kuushughulisha ubongo kwa utofauti.

Abraham Lincoln, alifundisha kusimamia unachokiamini, hata kama kila mtu anafuata mkumbo. Ni somo zuri, ila linaweza kusababisha ugonjwa wa moyo. Fikiria unauona ukweli ambao kila mtu hauoni. Halafu wewe mwenye ukweli, unaitwa majina mabaya.

Nilifahamu Thadei alikuwa katika hali ya kupigania maisha yake kutokana na maradhi ya moyo. Nilijua angenyanyuka akiwa imara. Leo nikapokea habari kuwa Thadei amepumzika. Sikuamini. Binadamu hatujawahi kukikubali kifo.

Kwangu, Thadei ni shujaa wa ufikiri huru. He's a freethinking hero!

Ndimi Luqman MALOTO.
 
FB_IMG_17070549172381634.jpg
 
ULIMWENGU ni jukwaa la mateso kwa watu huru kifikra. Wenye kutumia akili zao kupokea, kutafsiri na kujenga hoja. Wanaounda mitazamo na misimamo baada ya kujiridhisha kwa tafakuri binafsi.

"The essence of the independent mind lies not in what it thinks, but in how it thinks." - "Msingi wa fikra huru hauegemei katika nini unafikiri, bali kwa jinsi unavyofikiri." Ndivyo alisema mwandishi wa UK, Chris Hitchens.

Watu wenye kujitegemea kifikra na kuamua kufuata jambo kwa utashi wa fikra binafsi, mara nyingi hugeuka wapweke. Upo wakati utafikiri tofauti na wengine. Utajikuta upo peke yako. Si ajabu ukazodolewa, hivyo kuifanya dunia kuwa ngumu upande wako.

Dunia ni nyepesi kwa wafuata mkumbo. Upepo unapovuma na wao wanaunga. Hawaumizi kichwa, wakisikia mayowe wanafuata. Akisema fulani, naye anaamini hata kama huyo msemaji ni Kizabizabina.

Thadei Ole Mushi. Mwalimu kitaaluma. Mwandishi na mmoja wa wajenga hoja huru ninaowafahamu na kuwatambua. Soma makala za Thadei. Andiko kwa andiko. Posti zake. Alivyojenga hoja na misingi aliyosimamia. Thadei ni mantiki ya fikra huru.

Hakuona aibu kujisema yeye ni kada wa CCM. Hata sare za chama alivaa. Shughuli za CCM alishiriki waziwazi. Kisha, ungemsoma Thadei akiikosoa serikali, vilevile chama chake. Ni kwa sababu msingi wa fikra zake, haukuegemea alichofikiri, bali jinsi alivyofikiri.

Tembelea akaunti zake, soma posti kwa posti. Kuna mahali aliandika, watu kwa wingi wao, walimpongeza. Kwingine alijenga hoja, watu kwa wingi kabisa walimshambulia, walimpinga na kumpa majina mabaya. Hiyo ndiyo gharama ya kuushughulisha ubongo kwa utofauti.

Abraham Lincoln, alifundisha kusimamia unachokiamini, hata kama kila mtu anafuata mkumbo. Ni somo zuri, ila linaweza kusababisha ugonjwa wa moyo. Fikiria unauona ukweli ambao kila mtu hauoni. Halafu wewe mwenye ukweli, unaitwa majina mabaya.

Nilifahamu Thadei alikuwa katika hali ya kupigania maisha yake kutokana na maradhi ya moyo. Nilijua angenyanyuka akiwa imara. Leo nikapokea habari kuwa Thadei amepumzika. Sikuamini. Binadamu hatujawahi kukikubali kifo.

Kwangu, Thadei ni shujaa wa ufikiri huru. He's a freethinking hero!

Ndimi Luqman MALOTO.
Mmh jamani thadei amekuwa MWENDA ZAKE tyr
 
ULIMWENGU ni jukwaa la mateso kwa watu huru kifikra. Wenye kutumia akili zao kupokea, kutafsiri na kujenga hoja. Wanaounda mitazamo na misimamo baada ya kujiridhisha kwa tafakuri binafsi.

"The essence of the independent mind lies not in what it thinks, but in how it thinks." - "Msingi wa fikra huru hauegemei katika nini unafikiri, bali kwa jinsi unavyofikiri." Ndivyo alisema mwandishi wa UK, Chris Hitchens.

Watu wenye kujitegemea kifikra na kuamua kufuata jambo kwa utashi wa fikra binafsi, mara nyingi hugeuka wapweke. Upo wakati utafikiri tofauti na wengine. Utajikuta upo peke yako. Si ajabu ukazodolewa, hivyo kuifanya dunia kuwa ngumu upande wako.

Dunia ni nyepesi kwa wafuata mkumbo. Upepo unapovuma na wao wanaunga. Hawaumizi kichwa, wakisikia mayowe wanafuata. Akisema fulani, naye anaamini hata kama huyo msemaji ni Kizabizabina.

Thadei Ole Mushi. Mwalimu kitaaluma. Mwandishi na mmoja wa wajenga hoja huru ninaowafahamu na kuwatambua. Soma makala za Thadei. Andiko kwa andiko. Posti zake. Alivyojenga hoja na misingi aliyosimamia. Thadei ni mantiki ya fikra huru.

Hakuona aibu kujisema yeye ni kada wa CCM. Hata sare za chama alivaa. Shughuli za CCM alishiriki waziwazi. Kisha, ungemsoma Thadei akiikosoa serikali, vilevile chama chake. Ni kwa sababu msingi wa fikra zake, haukuegemea alichofikiri, bali jinsi alivyofikiri.

Tembelea akaunti zake, soma posti kwa posti. Kuna mahali aliandika, watu kwa wingi wao, walimpongeza. Kwingine alijenga hoja, watu kwa wingi kabisa walimshambulia, walimpinga na kumpa majina mabaya. Hiyo ndiyo gharama ya kuushughulisha ubongo kwa utofauti.

Abraham Lincoln, alifundisha kusimamia unachokiamini, hata kama kila mtu anafuata mkumbo. Ni somo zuri, ila linaweza kusababisha ugonjwa wa moyo. Fikiria unauona ukweli ambao kila mtu hauoni. Halafu wewe mwenye ukweli, unaitwa majina mabaya.

Nilifahamu Thadei alikuwa katika hali ya kupigania maisha yake kutokana na maradhi ya moyo. Nilijua angenyanyuka akiwa imara. Leo nikapokea habari kuwa Thadei amepumzika. Sikuamini. Binadamu hatujawahi kukikubali kifo.

Kwangu, Thadei ni shujaa wa ufikiri huru. He's a freethinking hero!

Ndimi Luqman MALOTO.
Kazi ya mwenezi mpya inaendelea
 
Acha kufananisha bulldozer na spatula. Lucas Mwashambwa hawezi kuwa kama Thadei Ole Mushi, hawakaribiani.
Mkuu

Ukifa utasifiwa..

Umeanza lini kumfuatilia jamaa thadei ole mushi

Falsafa ya kuandika namba ya simu unajua jamaa ni muasisi japo Kuna wengi wali ianzisha

R.I.P FATHER KARUGENDO
 
Mkuu

Ukifa utasifiwa..

Umeanza lini kumfuatilia jamaa thadei ole mushi

Falsafa ya kuandika namba ya simu unajua jamaa ni muasisi japo Kuna wengi wali ianzisha

R.I.P FATHER KARUGENDO
Anamaanisha kuwa Lucas mwashambwa huyu ni chawa hana fikra huru ndani ya kichwa chake,kazi yake ni kusifia tuu tofauti na Ole Mushi alikuwa na fikra huru penye kusifia anasifia na kwenye kukosoa anakosoa.
 
ULIMWENGU ni jukwaa la mateso kwa watu huru kifikra. Wenye kutumia akili zao kupokea, kutafsiri na kujenga hoja. Wanaounda mitazamo na misimamo baada ya kujiridhisha kwa tafakuri binafsi.

"The essence of the independent mind lies not in what it thinks, but in how it thinks." - "Msingi wa fikra huru hauegemei katika nini unafikiri, bali kwa jinsi unavyofikiri." Ndivyo alisema mwandishi wa UK, Chris Hitchens.

Watu wenye kujitegemea kifikra na kuamua kufuata jambo kwa utashi wa fikra binafsi, mara nyingi hugeuka wapweke. Upo wakati utafikiri tofauti na wengine. Utajikuta upo peke yako. Si ajabu ukazodolewa, hivyo kuifanya dunia kuwa ngumu upande wako.

Dunia ni nyepesi kwa wafuata mkumbo. Upepo unapovuma na wao wanaunga. Hawaumizi kichwa, wakisikia mayowe wanafuata. Akisema fulani, naye anaamini hata kama huyo msemaji ni Kizabizabina.

Thadei Ole Mushi. Mwalimu kitaaluma. Mwandishi na mmoja wa wajenga hoja huru ninaowafahamu na kuwatambua. Soma makala za Thadei. Andiko kwa andiko. Posti zake. Alivyojenga hoja na misingi aliyosimamia. Thadei ni mantiki ya fikra huru.

Hakuona aibu kujisema yeye ni kada wa CCM. Hata sare za chama alivaa. Shughuli za CCM alishiriki waziwazi. Kisha, ungemsoma Thadei akiikosoa serikali, vilevile chama chake. Ni kwa sababu msingi wa fikra zake, haukuegemea alichofikiri, bali jinsi alivyofikiri.

Tembelea akaunti zake, soma posti kwa posti. Kuna mahali aliandika, watu kwa wingi wao, walimpongeza. Kwingine alijenga hoja, watu kwa wingi kabisa walimshambulia, walimpinga na kumpa majina mabaya. Hiyo ndiyo gharama ya kuushughulisha ubongo kwa utofauti.

Abraham Lincoln, alifundisha kusimamia unachokiamini, hata kama kila mtu anafuata mkumbo. Ni somo zuri, ila linaweza kusababisha ugonjwa wa moyo. Fikiria unauona ukweli ambao kila mtu hauoni. Halafu wewe mwenye ukweli, unaitwa majina mabaya.

Nilifahamu Thadei alikuwa katika hali ya kupigania maisha yake kutokana na maradhi ya moyo. Nilijua angenyanyuka akiwa imara. Leo nikapokea habari kuwa Thadei amepumzika. Sikuamini. Binadamu hatujawahi kukikubali kifo.

Kwangu, Thadei ni shujaa wa ufikiri huru. He's a freethinking hero!

Ndimi Luqman MALOTO.
Ukiwapinga CCM jiandae
 
Back
Top Bottom