Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan amewasili Nchini Zambia kwa Ziara ya Kitaifa ya Siku tatu kuanzia leo tarehe 23-25 October 2023 kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri...
4 Reactions
48 Replies
3K Views
Wakati tunaendelea kumpongeza aliyekuwa RC wa Mkoa wa Dar Es salaam kwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu NEC CCM itikadi na Uenezi ni vema pia tukafikiria pande zote mbili. Bila kuanza kukumbushia...
9 Reactions
29 Replies
3K Views
Katikati ya mwaka huu yaani 2023 mwezi wa sita nilikwenda hospitali ya Aga Khan iliyopo Sea View Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu, kama taratibu zilivyo niliwasilisha kadi yangu ya bima ya afya...
31 Reactions
136 Replies
7K Views
Kama tulivyoahidi hapo awali , Oparesheni 255 yenye lengo la kuwakumbusha Wananchi umuhimu wa Katiba mpya ikiwa ni pamoja na kuwafungua macho wananchi hao ili wajionee ubovu wa Mkataba wa Bandari...
9 Reactions
11 Replies
978 Views
Kwa wale waliokuwapo wakati wa awamu ya kwanza, pili,na tatu kulikuwa na utaratibu ambao naweza kuuita uwazi. Katika sehemu mojawapo ilikuwa ni kutangaza orodha ya waliokuwa wakiandamana na rais...
8 Reactions
23 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu Hassan Nikiwa mmoja wa members wa JF nilyepinga sana mkataba wa awali kati ya nchi yetu na DP World, nachukua nafasi hii kumpongeza Mama Samia. Pongezi zangu zinazingatia...
5 Reactions
37 Replies
3K Views
Rais Samia Suluhu Hasan, kamwe hawezi kujilaumu kwa kutofanya jitihada, tokea mwanzo wa utawala wake kuona umuhimu wa kushawishi makundi mbalimbali katika jamii kuungana naye katika juhudi zake za...
0 Reactions
2 Replies
641 Views
Uwekezano wa kuingizwa mjini na Samia ni mkubwa sana. Tunahitaji tumpate Rais wazalendo 2025 akauchunguze huu mkataba wa Bandari. CCM Hawaaminiki na hawajawahi kuaminika kamwe. Mpaka 30 iishe...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Tumearifiwa wakubwa walioletwa na watawala bandarini wameanza kusambaa nchini kwa ajili ya kujenga mahusiano mema na Watanganyika. Wao dp world wanajua kuwa watanganyika waliwakataa ila watawala...
8 Reactions
69 Replies
5K Views
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto. Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la...
17 Reactions
126 Replies
11K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Zanzibar leo tarehe 24 Oktoba, 2023...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
"Tumechaguliwa na wananchi ili kuboresha maisha yao, tunatakiwa kushirikiana kama nchi ya Tanzania na Zambia ili kuinua uchumi wa wananchi wetu" Hii ni kauli ya Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kwenye hii dunia Kuna genge la wanafiki basi niamini Ndugu yangu, CCM ni baba wa Hilo Genge. Leo baada ya kutangazwa Kwa Uteuzi wa Makonda nimewasiliana na Wana CCM wengi Tena very...
27 Reactions
88 Replies
9K Views
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa anazungumza na viongozi wa dini mbalimbali kuhusu mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi na kijamii wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai...
11 Reactions
356 Replies
38K Views
Habari zilizopo kwa Tour Operator na hata Tour guide Arusha ni kwamba Mama ndie kawekeza kwenye hoteli ya Gran Melia Ngorongoro,hata Staffu wa Mamalaka ya Hifadhi ya Ngoronhoro hilo wanalijua...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Damu ya kijana mbichi kabisa iliyomwagwa na lizee la miaka 60 sasa imeanza kujibu mapigo. Dhihaka, dharau na kila aina ya madhila yanamuandama aliyeimwaga. Waliomuunga mkono kwa aina ya maisha na...
13 Reactions
84 Replies
6K Views
Kumekuwa na malalamiko hata baada ya kufanyika marekebisho ya mikataba ya HGA na IGA .na wengine wakifikia Kuilaumu TEC kwa kutokuwa na msimamo. Bila kujua kuwa TEC walisema kuwa kama mkataba...
21 Reactions
118 Replies
5K Views
Iko amri ya Mungu wa Mbinguni inayosema Usimshuhudie Jirani Yako Uwongo Ndio sababu hata kwenye Ule mkutano wa Waziri Mbarawa na Hamza wa kujadili IGA Padre Dr Kitima mara zote alikuwa akisema "...
10 Reactions
19 Replies
2K Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue. Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja...
20 Reactions
198 Replies
11K Views
Swala la Bandari limetamatika na jana mwenyekiti wa DP World alikuwa Makete Njombe yalipo Makao makuu ya mganga wa Utajiri Tanzania Dr Mwakipande Nakumbuka mjumbe wa kamati kuu ya ACT Wazalendo...
0 Reactions
1 Replies
470 Views
Back
Top Bottom