Uteuzi wa Doto Biteko umeambatana na majukumu yake atakayofanya kama Naibu Waziri Mkuu. Majukumu hayo ni ya Waziri Mkuu kwa mujibu wa katiba na cheo cha Naibu Waziri Mkuu hakipo kwenye katiba hii...
Pindi mambo yatakamfika shingoni Mh Majaliwa na kuamua kung'atuka kama Ndugai huku naye akiimba wimbo wa NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANA nafasi hiyo itachukuliwa na Mzanzibar tena huenda atakuwa Ndugu...
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amekwenda Kituo cha Polisi cha Mwandoya Jimboni Kisesa na kuwashukuru kwa namna walivyomlinda yeye, Ujumbe wake na Mikutano yao muda wote...
TANTRADE yapokea vizimba vya mabanda ya kisasa kwa ajili ya maonesho ya 47 ya biashara ya kimataifa ya Dar es salaam (sabasaba)
Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya maendeleo ya biashara Tanzania...
Wakati serikali imesema inaingia hatua ya pili ya mkataba katika uwekezaji bandarini Dar kati yake na DP world,ningependa watu wote bila kujali kama mnaunga mkono au kupinga maudhui ya mkataba...
Rais Mstaafu awamu ya nne, Jakaya Kikwete, amesema anajivunia kuwa Mwafrika wa kwanza kuongoza bodi ya wakurugenzi ya taasisi ya Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE), ambalo liilianzishwa miaka 20...
Kwakweli hii ni ardhi ya watu wema sana, vigezo vya uwekezaji kwa wageni ni rafiki sana, kuna muda wa kutosha wa kufanya majaribio ya biashara mpya bila kulipa kodi.
Nawaomba mpunguze mlolongo...
Sote tunajua kuwa imani za dini (Ukristo na Uislam) vilikuwepo kabla ya utumwa. Umewahi kujiuliza wakati Waafrica wanauzwa kama Mbuzi kwenye masoko ya Ulaya, Marekani, Uarabuni, viongozi wa dini...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kilele cha siku ya Kizimkazi - Paje tarehe 31 Agosti, 2023 visiwani Zanzibar...
Ndugu wana JF wenzangu, kulingana na andiko hilo linalopatikana kwenye kitabu kitakatifu cha Biblia,
Napenda kuchukua fursa hii kumuomba radhi mtu yeyote ambaye nitakuwa nimemkwaza kwa namna moja...
MUSOMA VIJIJINI WAAMUA KUJENGA, "DAVID MASSAMBA MEMORIAL SECONDARY SCHOOL"
Leo, Jumatano, tarehe 30.8.2023 ilikuwa siku ya maziko ya Gwinji la Lugha ya Kiswahili, Prof David Massamba nyumbani...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Mwekezaji wa kimataifa, Mfanyabiashara Bilionea Joseph Mbilinyi ameingia Kyela na kuwasha moto wa Katiba mpya.
Baada ya kuanza kuwasomea wananchi yaliyo ndani ya...
Salam Dkt. Kusiluka,
Tafadhali naomba uwepo MWONGOZO wa kuwatumia wastaafu kama watu binafsi kwenye mambo ya serikali, la kama wana jambo au maoni yoyote mazuri kwa nchi washauriwe kuanzisha...
Kama tulivyosema hapo awali kwamba Chadema haitaacha kijiji chochote, ahadi hiyo inaendelea kutimia.
Leo 30/8/2023, Mwamba wa Siasa za Tanzania, Freeman Mbowe anaendelea kutoa elimu kuhusu...
Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA) limetoa sheria mbili za mfano kwa ajili ya mchakato wa kufanikisha Katiba Mpya ambapo wamedai kuwa uandaaji wa sheria hizo ulihusisha makundi mbalimbali kwenye...
Na Comrade Ally Maftah
Ndugu zetu wapinzani wamekosa sera kwa kipindi kirefu sana, kwa sasa wamebaki na mtaji mmoja tu ambao ni uvivu wa watanzania wenzangu kujisomea na kujiendeleza kielimu nje...
Ni Swali tu ndugu zangu , mwenye majibu anifahamishe
Kwamba Utendaji wake utagharamiwa na fungu gani ikiwa Bajeti ilishasomwa na kulenga Wizara zilizokuwepo ?
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe ameendelea na siasa zake za kilaghai za kudanganya wananchi kuwa mjadala wa bandari kuuzwa hauna mashiko kwani bandari haichimbwi na...
Huko nyuma walianza kuonekana kama waganga njaa ambao wanatumia siasa kujinufaisha.
Ndio maana wakiitwa Ikulu wanakimbia kula pilau na juice.
Leo hii wamekomaa na Sakata la Bandari. Wamechambua...
Kwenye sakata la TL karibu kila organ ya serikali imetoa tamko (tusizungumzie utofauti wake) kuna vitu si vya kupuuza! Huku kwenye mitandao ya kijamii kuna mengi ya kweli na ya kizushi, ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.