johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,018
- 142,058
Hili ni swali tu kwa wale wanaohusika na Utoaji wa vibali vya Maandamano
Kama ni kero wote tumeshuhudia Makonda akizikusanya na kama ni sheria za Uchaguzi Chadema walishapeleka malalamiko yao UN
Sasa Wananchi waachwe wachape KAZI
Sabato Njema 😄
Kama ni kero wote tumeshuhudia Makonda akizikusanya na kama ni sheria za Uchaguzi Chadema walishapeleka malalamiko yao UN
Sasa Wananchi waachwe wachape KAZI
Sabato Njema 😄