HUSSEN KAMBI
Senior Member
- Dec 4, 2023
- 175
- 212
Mfano mdogo leo hii Makonda, anazunguluka nchi nzima, kuwauliza watu matatizo yao, matatizo ambayo yamesababisha na serikali , serikali ambayo inasimamiwa na chama chao, yani mfano. Wake ,mwizi kamuibia mtu, halafu yule yule mwizi anamu uliza, yule aliemuibia, nani kakuibia, halafu yule alieibiwa, ana amini yule, aliye muibia ajui, kama yy ndio kamuibi, na ana amini kweli yule mwizi ana muhurumia, bila ya shaka huyu alieibiwa kapoteza uwezo wa kufikiria, makonda na hao anawao watuhumu wote lao moja halafu watu kwa kupeteza uwezo wa kufikiri , wana amini kweli kwamba, Makonda na hao watu wanao walalamikia, kwenye mikutano yake ni wa haina mbili tofauti ,kweli ukiwa ccm unapoteza uwezo wakufikiria hongera. Sana ccm kwakuwafanya raia watanzania wengi wao kwaku poteza uwezo wa kufikiri