Polisi wanaporuhusu maandamano saa 48 kabla ya kuanza inaonyesha hakuna demokrasia Tanzania

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,102
2,717
Ni ushahidi kwamba hakuna demokrasia katika nchi hii. Inaonyesha kwamba nchi hii haithsmini demokrasia. People are laughing at democracy.
Watu wanataka wakodi mabasi waende Mwanza lakini siyo Polisi,sio Mkuu wa Mkoa wanaonekana kuwa na taarifa yoyote ya maandamano.
Kiongozi wa serikali anaonyesha loyalty yake kwa rais kwa kuyapuuzia maandamano.
Watu wanahitaji kupewa ruhusa mapema ili wafanye planning.
Lakini hii ni nchi ya vyama vingi. Mapalala alipopendekeza nchi hii iruhusu vyama vingi alikuwa na maana yake. Labda aliagizwa na Jibril kuanzisha vyama vingi Tanzania.
This is important. Tanzania is a democracy. There are many systems of government. Lakini Tanzania imechagua kuwa democratic country.
Sasa,watu wanabet,Kamanda wa Polisi Mwanza ataruhusu maandamano au vipi?
Itafika pahali watu wataona haya kuitwa Watanzania.
Mbunge katika Bunge anauliza maswali kuhusu utekaji wa raia,naambiwa tv ya taifa ilikata matangazo. Sasa tunafanya kazi ya Mungu au tunafanya kazi ya nani?
Demokrasi ndio maana yake kuheshimu hako za binadamu; kuruhusu upinzani wa kisiasa: alikuwa anasema Abraham Lincoln demokrasi maana yake usiwanyanyase Wapinzani wakoshindwa Uchaguzi.
Watu wametoka mbali,mpaka wakafikiria kwamba wanahitaji kuwa na democracy
 
Ni ushahidi kwamba hakuna demokrasia katika nchi hii. Inaonyesha kwamba nchi hii haithsmini demokrasia. People are laughing at democracy.
Watu wanataka wakodi mabasi waende Mwanza lakini siyo Polisi,sio Mkuu wa Mkoa wanaonekana kuwa na taarifa yoyote ya maandamano.
Kiongozi wa serikali anaonyesha loyalty yake kwa rais kwa kuyapuuzia maandamano.
Watu wanahitaji kupewa ruhusa mapema ili wafanye planning.
Lakini hii ni nchi ya vyama vingi. Mapalala alipopendekeza nchi hii iruhusu vyama vingi alikuwa na maana yake. Labda aliagizwa na Jibril kuanzisha vyama vingi Tanzania.
This is important. Tanzania is a democracy. There are many systems of government. Lakini Tanzania imechagua kuwa democratic country.
Sasa,watu wanabet,Kamanda wa Polisi Mwanza ataruhusu maandamano au vipi?
Itafika pahali watu wataona haya kuitwa Watanzania.
Mbunge katika Bunge anauliza maswali kuhusu utekaji wa raia,naambiwa tv ya taifa ilikata matangazo. Sasa tunafanya kazi ya Mungu au tunafanya kazi ya nani?
Demokrasi ndio maana yake kuheshimu hako za binadamu; kuruhusu upinzani wa kisiasa: alikuwa anasema Abraham Lincoln demokrasi maana yake usiwanyanyase Wapinzani wakoshindwa Uchaguzi.
Watu wametoka mbali,mpaka wakafikiria kwamba wanahitaji kuwa na democracy
Polisi hawakuruhusu maandamano. Walipewa amri toka juu wawaache Chadema waandamane, baada ya shinikizo la balozi za nje kwa serikali kusema watakata misaada yote wasiporuhusu maandamano ya amani. Ndio maana watu kama Kinana mwanzoni walibwatuka sana kuyapinga na wakaja wakaufyata. Watu kama huyu mkuu wa mkoa Dar hata walitaka kuwaingiza JWTZ kuyazuia.

Kimsingi, serikali ya CCM ilikuwa imeyakataa, kwa hiyo hata sifa ya kuruhusu maandamano haipaswi kwenda kwa uongozi wa Tanzania. Walishinikizwa.
 
Polisi hawakuruhusu maandamano. Walipewa amri toka juu wawaache Chadema waandamane, baada ya shinikizo la balozi za nje kwa serikali kusema watakata misaada yote wasiporuhusu maandamano ya amani. Ndio maana watu kama Kinana mwanzoni walibwatuka sana kuyapinga na wakaja wakaufyata.

Kimsingi, serikali ya CCM ilikuwa imeyakataa, kwa hiyo hata sifa ya kuruhusu maandamano haipaswi kwenda kwa uongozi wa Tanzania. Walishinikizwa.
Yes, kwa hili inawezekana hata chedema na wao wanashindikizwa na hao mabalozi kutoka nje kufanya hayo maandamano
 
Yes, kwa hili inawezekana hata chedema na wao wanashindikizwa na hao mabalozi kutoka nje kufanya hayo maandamano
Chadema hawahitaji kushinikizwa, hapo unaenda mbali. Maandamano ni kitu wamekidai siku nyingi na ni jambo la kawaida katika utawala wa demokrasia ambao CCM hawautaki.

Nadhani kulikuwa na tishio kwamba watu wa balozi mbalimbali wangeenda "kushuhudia" maandamano, sio kuandamana. Kwa hiyo mabomu yakipigwa na wao watakuwapo. Hilo ndio liliwatisha kabisa serikali wakaona waache tu wasitengeneze shari zisizo na lazima na wazungu, maana vyombo vya habari vya nje vingekuwapo.

Mara nyingine serikali inabidi ishinikizwe na hawa wazungu kufanya mambo fulani, sio kuwa wanayafanya kwa akili yao wenyewe. Unakumbuka wakati fulani wazungu walimsindikiza Lisu hadi airport? Hawakukubaliana na ubabe wa serikali wa kutaka kumkamata tena.
 
Katiba ya JMT inasemaje kuhusu Maandamano?🐼
Inasema yaarifa ya kuandamana itolewe saa 48 kabla ya siku ya maandamano.

Katiba wala sheria haielezi kwamba ruhusa itolewe.

Kwa hiyo mtu hazuiliwi kufanya mipango ya kuandamana.
 
Bado unapita m
Chadema hawahitaji kushinikizwa, hapo unaenda mbali. Maandamano ni kitu wamekidai siku nyingi na ni jambo la kawaida katika utawala wa demokrasia ambao CCM hawautaki.

Nadhani kulikuwa na tishio kwamba watu wa balozi mbalimbali wangeenda "kushuhudia" maandamano, sio kuandamana. Kwa hiyo mabomu yakipigwa na wao watakuwapo. Hilo ndio liliwatisha kabisa serikali wakaona waache tu wasitengeneze shari zisizo na lazima na wazungu, maana vyombo vya habari vya nje vingekuwapo.

Mara nyingine serikali inabidi ishinikizwe na hawa wazungu kufanya mambo fulani, sio kuwa wanayafanya kwa akili yao wenyewe. Unakumbuka wakati fulani wazungu walimsindikiza Lisu hadi airport? Hawakukubaliana na ubabe wa serikali wa kutaka kumkamata tena.
Bado una pita njia ile ile ninayopita mimi hao wazungu wanafanya yote hayo kwa maslahi yao kumshindikiza lisu airport sio kama wanampenda ni basi tu washaona inawezekana chadema au lisu ni njia ya kuwapeleka kule wanapokutaka juu ya tz
 
Chadema hawahitaji kushinikizwa, hapo unaenda mbali. Maandamano ni kitu wamekidai siku nyingi na ni jambo la kawaida katika utawala wa demokrasia ambao CCM hawautaki.

Nadhani kulikuwa na tishio kwamba watu wa balozi mbalimbali wangeenda "kushuhudia" maandamano, sio kuandamana. Kwa hiyo mabomu yakipigwa na wao watakuwapo. Hilo ndio liliwatisha kabisa serikali wakaona waache tu wasitengeneze shari zisizo na lazima na wazungu, maana vyombo vya habari vya nje vingekuwapo.

Mara nyingine serikali inabidi ishinikizwe na hawa wazungu kufanya mambo fulani, sio kuwa wanayafanya kwa akili yao wenyewe. Unakumbuka wakati fulani wazungu walimsindikiza Lisu hadi airport? Hawakukubaliana na ubabe wa serikali wa kutaka kumkamata tena.
Hao wazungu hawakukata misaada kwa JPM ndo wakate kwa Samia kisa maandamano? Hiv unadhan mzungu chizi ?
 
Ni ushahidi kwamba hakuna demokrasia katika nchi hii. Inaonyesha kwamba nchi hii haithsmini demokrasia. People are laughing at democracy.
Watu wanataka wakodi mabasi waende Mwanza lakini siyo Polisi,sio Mkuu wa Mkoa wanaonekana kuwa na taarifa yoyote ya maandamano.
Kiongozi wa serikali anaonyesha loyalty yake kwa rais kwa kuyapuuzia maandamano.
Watu wanahitaji kupewa ruhusa mapema ili wafanye planning.
Lakini hii ni nchi ya vyama vingi. Mapalala alipopendekeza nchi hii iruhusu vyama vingi alikuwa na maana yake. Labda aliagizwa na Jibril kuanzisha vyama vingi Tanzania.
This is important. Tanzania is a democracy. There are many systems of government. Lakini Tanzania imechagua kuwa democratic country.
Sasa,watu wanabet,Kamanda wa Polisi Mwanza ataruhusu maandamano au vipi?
Itafika pahali watu wataona haya kuitwa Watanzania.
Mbunge katika Bunge anauliza maswali kuhusu utekaji wa raia,naambiwa tv ya taifa ilikata matangazo. Sasa tunafanya kazi ya Mungu au tunafanya kazi ya nani?
Demokrasi ndio maana yake kuheshimu hako za binadamu; kuruhusu upinzani wa kisiasa: alikuwa anasema Abraham Lincoln demokrasi maana yake usiwanyanyase Wapinzani wakoshindwa Uchaguzi.
Watu wametoka mbali,mpaka wakafikiria kwamba wanahitaji kuwa na democracy
Halafu wtu km hawa ndio wanalalamika maisha magum tu hawana jema hata moja fanya kz kwa bidii ujipnge maisha yk usikubali kuwa ngazi ya w/siasa hao watakukimbia baada ya uchaguzi utabakia ww mwehu wa kulalamika mfia maandamano mjinga wa siasa usubir matamko ya chama hapo unakua toilet paper tu vimada vyao wanawapelek bungini wt km nyny msubir kupangiwa tarehe tu ya maandamano
 
Ni ushahidi kwamba hakuna demokrasia katika nchi hii. Inaonyesha kwamba nchi hii haithsmini demokrasia. People are laughing at democracy.
Watu wanataka wakodi mabasi waende Mwanza lakini siyo Polisi,sio Mkuu wa Mkoa wanaonekana kuwa na taarifa yoyote ya maandamano.
Kiongozi wa serikali anaonyesha loyalty yake kwa rais kwa kuyapuuzia maandamano.
Watu wanahitaji kupewa ruhusa mapema ili wafanye planning.
Lakini hii ni nchi ya vyama vingi. Mapalala alipopendekeza nchi hii iruhusu vyama vingi alikuwa na maana yake. Labda aliagizwa na Jibril kuanzisha vyama vingi Tanzania.
This is important. Tanzania is a democracy. There are many systems of government. Lakini Tanzania imechagua kuwa democratic country.
Sasa,watu wanabet,Kamanda wa Polisi Mwanza ataruhusu maandamano au vipi?
Itafika pahali watu wataona haya kuitwa Watanzania.
Mbunge katika Bunge anauliza maswali kuhusu utekaji wa raia,naambiwa tv ya taifa ilikata matangazo. Sasa tunafanya kazi ya Mungu au tunafanya kazi ya nani?
Demokrasi ndio maana yake kuheshimu hako za binadamu; kuruhusu upinzani wa kisiasa: alikuwa anasema Abraham Lincoln demokrasi maana yake usiwanyanyase Wapinzani wakoshindwa Uchaguzi.
Watu wametoka mbali,mpaka wakafikiria kwamba wanahitaji kuwa na democracy
Dah

Ulitaka waruhusu wakati gani
 
Halafu wtu km hawa ndio wanalalamika maisha magum tu hawana jema hata moja fanya kz kwa bidii ujipnge maisha yk usikubali kuwa ngazi ya w/siasa hao watakukimbia baada ya uchaguzi utabakia ww mwehu wa kulalamika mfia maandamano mjinga wa siasa usubir matamko ya chama hapo unakua toilet paper tu vimada vyao wanawapelek bungini wt km nyny msubir kupangiwa tarehe tu ya maandamano

Ila ukiishabikia ccm wanakupa nafasi ya kwenda bungeni ww na familia yako
 
Polisi hawakuruhusu maandamano. Walipewa amri toka juu wawaache Chadema waandamane, baada ya shinikizo la balozi za nje kwa serikali kusema watakata misaada yote wasiporuhusu maandamano ya amani. Ndio maana watu kama Kinana mwanzoni walibwatuka sana kuyapinga na wakaja wakaufyata. Watu kama huyu mkuu wa mkoa Dar hata walitaka kuwaingiza JWTZ kuyazuia.

Kimsingi, serikali ya CCM ilikuwa imeyakataa, kwa hiyo hata sifa ya kuruhusu maandamano haipaswi kwenda kwa uongozi wa Tanzania. Walishinikizwa.
Umetumia kinywaji gn endelea kujitekenya
 
Back
Top Bottom