Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Aliyekuwa Mbunge wa Chadema mh Suzan Kiwanga amewaambia Wananchi wa Bunda kwamba kwa Wassira sasa yatosha anapaswa apumzishwe tena Makumbusho Aidha Kiwanga amesema Wanawake wameumbwa na...
8 Reactions
32 Replies
3K Views
Assignment ya kwanza kwako kubwa bwana Waziri January Makamba ni kutafsiri diplomasia y Uchumi Kwa vitendo. Wenzetu Kenya hapo wameweza wanatafutia Vijana wao ma jobless fursa za Ajira mfano...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Tumesema mara nyingi hapa kwamba hao DP world ni Wagalatia lakini Ndugu zetu akina The Boss na The Big Show hawakutuelewa kabisa Mimi siyo mwislamu lakini nitakuwa mtu wa mwisho kuamini ile IGA...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Heshima sana wanajamvi, Nayatazama mabadiliko madogo baraza la mawaziri kama sehemu ya mkakati wa kumwinua January Makamba kuelekea kileleni (IKULU) baada ya Wizara ya Nishati kumshinda...
36 Reactions
88 Replies
9K Views
Naomba kutumia jukwaa hili kuwaomba viongozi wa dini zote kuacha kabisa kulumbana kwasababu za mambo ya kisiasa. Badala yake viongozi hawa waungane kwa pamoja na kutoa tamko la kuliombea TAIFA...
0 Reactions
1 Replies
411 Views
Dar port's $357m upgrade bears fruit, topples Mombasa from perch Sunday May 28 2023 The East Africa Kenya and Tanzania have been competing as the preferred entry point by Uganda, Rwanda, Burundi...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Binafis siungani na suala la viongozi wetu wa kisiasa kuwa pia wafanya biashara. Nakumbuka 2021 nikiwa ofisinya mkuu wa Wilaya ya Magu nilifanikiwa kupata taarifa yakuwa MH Waziri Bashe Kwa...
5 Reactions
3 Replies
832 Views
Naona kuna umuhimu wa kuanzisha chama kipya cha kisiasa, hivi kuna ugumu gani? Au wasajili watatuzuia, au watapoteza kwa kutumia wasiojulikana! Najiuliza tu, kuna watu hapa Tanzania hawana hata...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Septemba 03, 2023 ameelekea nchini Zimbabwe kumuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uapisho wa Rais mteule wa...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wana jamvi. Hii ndio taarifa juu ya tukio na maamuzi yaliuochkuliwa baada ya watu/ mtu kjvunja , kukufuru na kunajisi kanisa katoliki lililoko Buzirayombo.
8 Reactions
131 Replies
11K Views
Kwa habari nilizozipata nikuwa ili kupunguza ghrama za ujenzi mkandarasi anayejenga barabara ya ITONI- LUSITU kwenye eneo la Kitulila anafanya MPANGO wa Kuchepusha Barabara ambako ni karibu sana...
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo amevurumisha mikutano 5 mfululizo kwenye jimbo moja tu la Bariadi Vijijini Kama Kawaida yake, Lissu amewaomba...
10 Reactions
36 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa, Kilio changu ni Hapa Mbeya Mjini maeneo ya iwambi, Iyunga na Mbalizi umeme unasumbua Sana. Pia hawatuambii tatizo, Rais Samia tunakuomba uwe mkali saaana watendaji wako...
1 Reactions
35 Replies
2K Views
Yule Dkt. Slaa 'mtabe' wa kujenga hoja sio Dkt. Slaa huyu anayepuyanga tu bila hoja. Na hapa ndio tunakumbushwa juu ya kuchana na baadhi ya mambo umri ukikutupa mkono, balozi dkt. Slaa kaamua...
-2 Reactions
25 Replies
2K Views
Kichwa cha Habari Chajieleza , Uongozi wowote wa Umma Duniani kote ni dhamana ya muda mfupi sana , tena ni dhamana ya kusaidia kuboresha maisha ya jamii husika (BOTTOM UP) , ni fursa kwa...
9 Reactions
17 Replies
2K Views
IV. LAWYER AND JUDGE Lawyers and judges owe each other respect, diligence, candor, punctuality, and protection against unjust and improper criticism and attack. Lawyers and judges are equally...
1 Reactions
2 Replies
620 Views
Hakuna mwajiriwa anayempa masharti Mwajiri. Katiba yetu hii mbaya iliyopo inatamka wazi kuwa mamlaka ya Serikali yatatoka kwa wananchi. Hii inamaanisha wazi kuwa mamlaka ya Rais yanatoka kwa...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Jinsi hali ilivyo mbaya hasa maeneo ya Kijijini na hata mijini pia, Serikali inajaribu kuweka mamba sawa - Unajiuliza utawalipaje watumishi mishahara. Uongeze ajira mpya mana wasio na Ajira ni...
0 Reactions
26 Replies
1K Views
Na. Emmanuel Magira Werema Ifahamike na ieleweke kuwa maamuzi yoyote yanayotakiwa kufanywa na serikali ya nchi yoyote ile duniani, ni lazima yawe yamefanyiwa uchambuzi wa kina kwasababu serikali...
0 Reactions
0 Replies
614 Views
SALAAM! # Wakulima wa tumbaku wa hapa Biharamulo (Kalenge) kutolipwa fedha za mauzo ya tumbaku musimu huu - ni takriban 100,000USD wanaidai KAMPUNI iitwayo Mkwawa Leave Tobacco Ltd; # Rushwa -...
0 Reactions
1 Replies
604 Views
Back
Top Bottom