fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,417
- 7,970
Huyu bwana anastahili pole kubwa sana, humu kila mtu anadai eti ni mnafiki kwakuwa alimsaliti Lowassa kuwa rais wa nchi, hivi naomba kuuliza, JK alikuwa na mamlaka yepi ya yeye peke yake, kumkatalia Lowassa kuwa rais? Kwani CCM ingekuwa inataka Lowassa awe rais, JK angeweza kuizuia CCM. Acheni unafiki, JK hajamsaliti rafiki yake, ni CCM ndio ilikataa.