johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,975
- 141,986
Ndio sababu maeneo mengine akifariki kiongozi Wasifu wa Marehemu husomwa na Wanafamilia baada ya kukusanya taarifa za maisha yake binafsi kuanzia alipozaliwa na Historia ya Utumishi wake husomwa na Taasisi husika
Kwa kawaida Wasifu unaweza kubeba taarifa zote za muhusika lakini historia ya Utumishi itajikita kwenye Utumishi wake tu
Historia ya Utumishi wa Lowassa imeandaliwa na kusomwa na Serikali na siyo CCM hivyo kukosekana baadhi ya taarifa za Utumishi wa Lowassa kwenye Siasa siyo jambo la kushangaza sana
Na ndio sababu familia waliliona hilo na kulifanyia Kazi
Lakini kuna mambo mengi Lowassa amelifanyia Kanisa hayajasemwa, aliwafanyia Wasanii hayajasemwa nk..nk na yalipaswa kuwemo kwenye Historia ya Utumishi japo Mbowe aliyagusia alipozungumzia Wasifu wa Lowassa
Edward Lowassa RIP
Kwa kawaida Wasifu unaweza kubeba taarifa zote za muhusika lakini historia ya Utumishi itajikita kwenye Utumishi wake tu
Historia ya Utumishi wa Lowassa imeandaliwa na kusomwa na Serikali na siyo CCM hivyo kukosekana baadhi ya taarifa za Utumishi wa Lowassa kwenye Siasa siyo jambo la kushangaza sana
Na ndio sababu familia waliliona hilo na kulifanyia Kazi
Lakini kuna mambo mengi Lowassa amelifanyia Kanisa hayajasemwa, aliwafanyia Wasanii hayajasemwa nk..nk na yalipaswa kuwemo kwenye Historia ya Utumishi japo Mbowe aliyagusia alipozungumzia Wasifu wa Lowassa
Edward Lowassa RIP