Edward Lowassa amefariki na leo tumempunzisha. Pole sana kwa Taifa na familia yake.
Nimekaa, nimewaza kwa kuwa Hayati Lowassa amefanya mengi sana hapa Tanzania ninashauri yafuatayo. Baadhi ya Taasisi ziitwe Kwa jina lake. Mfano:-
Chuo cha Ualimu Monduli ambapo Hayati Lowassa alisoma kiitwe Monduli Edward Lowassa Teachers College. Au Chuo cha CDTI cha Monduli, kiitwe Edward Lowassa CDTI. Au hata Ukumbi wa Mikutano wa Arusha (AICC) uitwe Ukumbi wa Mikutano wa Edward Lowassa ikizingatiwa kuwa amewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ukumbi huo
Ninawasilisha. Mama Samia Rais wetu kwa kuwa huwa anapitia humu Jf ikimpendeza, basi tufanye hivyo.
Nimekaa, nimewaza kwa kuwa Hayati Lowassa amefanya mengi sana hapa Tanzania ninashauri yafuatayo. Baadhi ya Taasisi ziitwe Kwa jina lake. Mfano:-
Chuo cha Ualimu Monduli ambapo Hayati Lowassa alisoma kiitwe Monduli Edward Lowassa Teachers College. Au Chuo cha CDTI cha Monduli, kiitwe Edward Lowassa CDTI. Au hata Ukumbi wa Mikutano wa Arusha (AICC) uitwe Ukumbi wa Mikutano wa Edward Lowassa ikizingatiwa kuwa amewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ukumbi huo
Ninawasilisha. Mama Samia Rais wetu kwa kuwa huwa anapitia humu Jf ikimpendeza, basi tufanye hivyo.