Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,259
- 4,110
Dotto alikuja kwa kasi na kunakikao akazuia TANESCO wasiingie. Kwa hali inavokwenda ni dhahiri na yeye MFUPA umemshinda.
Nashauri wizara na TANESCO, shirikisheni wasomi, ombeni ushauri kwa wasomi watawasaidia. Dhambi ya kudharau wasomi ni kubwa.
Kinachonipa maswali ni enzi ya JPM , yule mwamba alistabilize ishu za umeme kabisa hakukuwa na shida watu wakasahau kabisa. Ilikuwa umeme ukikatika unajiuliza kuna nini ? Jeshi inapitisha mitambo ya siri au ?
ile Mama kuingia tu balaa likaanza; mafuta nayo yakapanda, by that time petrol was 1740 per liter , sijui kwa sasa ni kiasi !
Huyu jamaa aliweazaje?
Hayati Magufuli afufuliwe atupe funguo, usikute aliondoka nayo.
Huyu mwamba JPM ni kwamba was the most smartest and scientist president kuwahi kutokea?
Au ni baraka za ile PhD na udoctor wa kukaa darasani kabisa pasipo kutunukiwa !
Sielewi
Nashauri wizara na TANESCO, shirikisheni wasomi, ombeni ushauri kwa wasomi watawasaidia. Dhambi ya kudharau wasomi ni kubwa.
Kinachonipa maswali ni enzi ya JPM , yule mwamba alistabilize ishu za umeme kabisa hakukuwa na shida watu wakasahau kabisa. Ilikuwa umeme ukikatika unajiuliza kuna nini ? Jeshi inapitisha mitambo ya siri au ?
ile Mama kuingia tu balaa likaanza; mafuta nayo yakapanda, by that time petrol was 1740 per liter , sijui kwa sasa ni kiasi !
Huyu jamaa aliweazaje?
Hayati Magufuli afufuliwe atupe funguo, usikute aliondoka nayo.
Huyu mwamba JPM ni kwamba was the most smartest and scientist president kuwahi kutokea?
Au ni baraka za ile PhD na udoctor wa kukaa darasani kabisa pasipo kutunukiwa !
Sielewi