troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,429
- 2,264
Nilifuatilia kuagwa kwa mwili wa Hayati Edward Lowassa pale kalimjee hall sikuweza kumuona muheshimiwa Pinda na pale ndio ilikuwa sehemu sahihi ya viongozi mashuhuri na wastaafu kumuaga hayati Lowassa.
Je, kulikoni mzee wangu Pinda?
Anaejua alipo huyu mzee wetu atujuze
Je, kulikoni mzee wangu Pinda?
Anaejua alipo huyu mzee wetu atujuze