Ni muda wa kuambiana ukweli. Sisi watu weusi hapa duniani tatizo letu ni nini?

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,028
12,353
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
 
Mimi huwa naumia sana kuona hivi jinsi sisi tulivyo.

Nitikatazama hawa wanao onekana wenzetu jinsi waliyo katika mambo yao na walipo huwa naumizwa sana na hali zetu.

Sometimes huwa nahisi hivi sisi tuna laaana tumelaanika huko miaka ya nyuma au laaah ! Maana mimi siielewi kabisa ndugu zangu ni kipi kinacho tusibu sisi.


Je, mfumo wa kitumwa sisi ndio tuna uweza kutumikishwa kama watumwa ndio njia inayo tufaa sisi kuliko njia nyingine zote ?
 
Kwa Dunia ya sasa ni ngumu sana races nyengine ukiondoa watu weusi kuzipeleka utumwani na katika ukoloni lakini amini nakuambia ni rahisi sana watu weusi kurudishwa tena utumwani na katika ukoloni sisi ni dhaifu sana katika kila sekta.
 
Wakati wetu ni lini ? Wewe huumizwi na hali zetu na jinsi sisi tulivyo ukitazama na hawa wanao onekana wenzetu.

Wewe upo sawa tu na jinsi sisi tulivyo wala huumii ?
Ndiyo nipo sawa kabisa nishaisoma historia I'm okay with the situation
 
Dunia ilivyoumbwa kuna mamba, kenge na mijusi. Unachoshangaa wewe ni kwa nini mjusi hafanani na mamba? Unataka labda kuna kitu mjusi anaweza fanya nae akawa mamba.
Hayo ni maumbile bro sisi watu weusi genetically tumeumbwa wajinga na dunia hii hatuna mchango wowote wa maana kuifanya dunia iwe sehemu nzuri kuishi sisi tumeumbwa kuvuruga. Ukijengewa choo bado utakunya pembeni.
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Mtu ni Roho, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Mtu Hana RANGI, RANGI Iko kwenye Mwili,

Ingekuwa RANGI ni tatizo, mzungu asingewekewa Damu ya black na kusurvive.

Tatua matatizo Yako, usisingizie RANGI Yako au uafrika wako.
 
Dunia ilivyoumbwa kuna mamba, kenge na mijusi. Unachoshangaa wewe ni kwa nini mjusi hafanani na mamba? Unataka labda kuna kitu mjusi anaweza fanya nae akawa mamba.
Hayo ni maumbile bro sisi watu weusi genetically tumeumbwa wajinga na dunia hii hatuna mchango wowote wa maana kuifanya dunia iwe sehemu nzuri kuishi sisi tumeumbwa kuvuruga. Ukijengewa choo bado utakunya pembeni.
Huu ni udhalilishaji wa mtu mweusi
 
Huu ni udhalilishaji wa mtu mweusi
Sio udhalilishaji ni ukweli, sisi watu weusi ndio race ya hovyo kuliko zote hapa duniani na hatuna cha maana tulichoifanyia hii dunia zaidi ya kuleta matatizo.
Ngozi nyeusi awe Africa, awe Europa awe Haiti kote anakuwa yule yule mtu kiumbe mjinga asiyejua ustaarabu.
Niambie sisi tuna mchango upi kwenye hii dunia?
 
Dunia ilivyoumbwa kuna mamba, kenge na mijusi. Unachoshangaa wewe ni kwa nini mjusi hafanani na mamba? Unataka labda kuna kitu mjusi anaweza fanya nae akawa mamba.
Hayo ni maumbile bro sisi watu weusi genetically tumeumbwa wajinga na dunia hii hatuna mchango wowote wa maana kuifanya dunia iwe sehemu nzuri kuishi sisi tumeumbwa kuvuruga. Ukijengewa choo bado utakunya pembeni.

Bwana ako Dayamondi naye yupo kwenye Hilo kundi?

NB: Bwana ni boss.
 
system mkuu, nadhan ukoloni ulituadhiri sana, kila chetu tulikiacha, tukaanza kufuata mifumo waliyotupangia wao, bahat mbaya hata baada ya Uhuru, waafrica waliopaswa kutuongoza na kutuvusha ili kuzalisha taifa lenye uwezo wa kuwaza na kutenda mpaka kujitegemea (kama walivyo wachina kwa sasa ) ..... viongozi hao wamekuwa wabaya kuliko wakoloni, wamepandikiza mfumo unauzid kudumaza nguvu na akili hatimaye waafrica tumekuwa useless popote duniani, wachache wanaobahatika kutoboa wanatoboa ila wengi tuko kama sub human.
mfano hai ni serikali ya tanu kisha ccm ambao wanajisifu kutawala milele, kwa miaka 60 ya madarakani na mema yote MUNGU aliyotupa, ila tz bado ina masikini wengi, magonjwa yanatutandika kweli na ujinga ndo umepitiliza tukiongozwa na wapumbavu wanaoitwa CHAWA.
katika mazingira ya kutawaliwa na mifumo hii hata ukizaliwa genius, vikwazo na changamoto za kimifumo utaishia kutafuta elimu ya kuajiriwa au kujiajiri kwa lengo tu la kupata hela ya kujikimu, huwezi kuwa mkubwa zaidi ya hapo unless uko kwenye mfumo... leo kina KIPARA, kina NAPE, kina RIDHIWANI ni ma prince wa nchi...
tungekuwa na mifumo smart tungetoboa kama uchina ila tunafanywa mazezeta kwa manufaa ya watawala.
 
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.

Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.

Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.

Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.

Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.

Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.


Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?

Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Mkuu ukiumiza kichwa utachanganyikiwa. Sisi tumewapa waarabu bandari waisimamie maana serikali haiwezi.
 
system mkuu, nadhan ukoloni ulituadhiri sana, kila chetu tulikiacha, tukaanza kufuata mifumo waliyotupangia wao, bahat mbaya hata baada ya Uhuru, waafrica waliopaswa kutuongoza na kutuvusha ili kuzalisha taifa lenye uwezo wa kuwaza na kutenda mpaka kujitegemea (kama walivyo wachina kwa sasa ) ..... viongozi hao wamekuwa wabaya kuliko wakoloni, wamepandikiza mfumo unauzid kudumaza nguvu na akili hatimaye waafrica tumekuwa useless popote duniani, wachache wanaobahatika kutoboa wanatoboa ila wengi tuko kama sub human.
mfano hai ni serikali ya tanu kisha ccm ambao wanajisifu kutawala milele, kwa miaka 60 ya madarakani na mema yote MUNGU aliyotupa, ila tz bado ina masikini wengi, magonjwa yanatutandika kweli na ujinga ndo umepitiliza tukiongozwa na wapumbavu wanaoitwa CHAWA.
katika mazingira ya kutawaliwa na mifumo hii hata ukizaliwa genius, vikwazo na changamoto za kimifumo utaishia kutafuta elimu ya kuajiriwa au kujiajiri kwa lengo tu la kupata hela ya kujikimu, huwezi kuwa mkubwa zaidi ya hapo unless uko kwenye mfumo... leo kina KIPARA, kina NAPE, kina RIDHIWANI ni ma prince wa nchi...
tungekuwa na mifumo smart tungetoboa kama uchina ila tunafanywa mazezeta kwa manufaa ya watawala.
Kabla ya kuja mkoloni wewe muafrica ulikuwa na nini cha maana zaidi ya kulala kwenye mapango na kitafuna mizizi....kusoma na kuandika kakufundisha mtu mweupe wewe ukuwa na maarifa yoyote hata yaekuunda stuli na meza ulikuwa unakunya porini unajipangusa na majani kama ngedere
 
Back
Top Bottom