Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa TAMISEMI mh Mchengerwa amewaambia Viongozi kuwa hivyo Vyeo walivyonavyo siyo vyao ni vya Wenye nchi ambao ni Wananchi Wao wamedhaminiwa tu Mchengerwa amesema Taarifa alizonazo ni...
13 Reactions
44 Replies
3K Views
Kauli za kiongozi mwandamizi wa CCM ndugu A. Kinana kuwa Chadema wanakiuka misingi ya maridhiano ni picha kuwa Chadema wanashusha maneno mazito yanayoumiza umtima. Sakata la bandari limeibua...
8 Reactions
53 Replies
4K Views
Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya...
68 Reactions
560 Replies
40K Views
Kibaka akiiba kuku wa jirani, unakuwa na uchungu sana na huyo kibaka hata kama kuku si wako. Ila Mtawala akigawa maliasili za nchi kwa wageni katika mazingira ya utatanishi, hutaki hata asemwe na...
1 Reactions
3 Replies
635 Views
Tanzania Association of Oil Marketing Companies (TAOMAC) ni shirika ambalo lilianzishwa tarehe 23 Machi 2000 chini ya Sheria ya Vyama, SURA 337. TAOMAC inajitahidi kukuza sekta endelevu na yenye...
13 Reactions
44 Replies
9K Views
Kabla ya wakoloni kuja Africa tuliishi kwa namna yetu. Bahati mbaya historia ya Afrika imepotezwa kwa makusudi au kupotoshwa. EAST AFRICA COMMUNITY KWA SASA The Republic of Burundi The...
7 Reactions
58 Replies
3K Views
Ifike mahali sasa Chadema nayo ipewe Nchi tu , hakuna namna yoyote tena ya kuwakwepa , Wana watu nyuma yao . Naweza kuthibitisha kwamba hakuna kiongozi yoyote wa Tanzania aliyewahi kupata...
13 Reactions
32 Replies
2K Views
Moto umeanza kuwaka huko Tamisemi baada ya Waziri Mohammed Mchengerwa kuwasha moto Kwa kusema watu Wame relax hawafanyi kazi,awanyooshea kidole Ma DC. --- Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI...
9 Reactions
85 Replies
5K Views
Huu ni mtazamo wangu binafsi kuhusu hali ya kisasa nchini sijui ni nini kimetokea kwenye taifa letu. Hilo jambo litatokea si Kwa sababu watu wanamapenzi mema na CCM na wala si kwa sababu watu wana...
0 Reactions
0 Replies
399 Views
1. Eti msichanganye dini na siasa wakati kwenye misaafu tunasoma dini na siasa haviwezi kutenganishwa. Na ndiyo maana viongozi wetu huapa kwa misaafu hiyo. 2. Eti viongozi wa dini wanapaswa...
0 Reactions
0 Replies
267 Views
Mtu kaanza kazi 2005 analipwa laki 4 mfano level ya diploma kufikia 2015 kapata mabadiliko makubwa analipwa zaidi ya million 1 ila angalia mshahara wa mtumishi kutoka 2015 mpaka Leo 2023 aliyeanza...
2 Reactions
4 Replies
576 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 2023) Nairobi- Kenya tarehe 05 Septemba...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Pichani, Kipara anaonekana yupo na mama katika mkutano wa viongozi barani Africa wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea muda huu katika ukumbi wa KICC huko Nairobi Kenya Naomba mnikumbushe tena...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee CLEOPA DAVID MSUYA akihojiwa na ITV kwenye kipindi cha dakika 45 amesema CHADEMA ni wazuri na mahiri wa kuchambua mambo kwa kina na lazima tujifunze kwao. - Hawa CHADEMA...
14 Reactions
82 Replies
9K Views
Akizungumzia kuhusu malalamiko yaliyopo kwenye kikokotoo katika ufunguzi wa Kikao kazi cha Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi, Oysterbay, leo Septemba 4, 2023, Rais Samia amesema Serikali...
9 Reactions
69 Replies
6K Views
Niseme kutoka moyoni, mimi ninamkubali sana Mhe. Mbunge wa Nkasi kwa hoja zake Bungeni. Japo ni Mbunge mmoja ambaye yuko pale kihalali upande wa CHADEMA lakini hoja zake zina mashiko. Ameeleza...
7 Reactions
9 Replies
926 Views
DC huyu haonekani ofisini, hasikiliza kero za wananchi, Kinyume chake amebadili gia angani sasa ni mchimbaji mdogo na anamiliki maduara na makarasha ya kusaga dhahabu kwenye maeneo ya...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndio kama tulivyosema hapo awali kwamba , usimpe mtu cheo kutokana na uchawa wake , ni vema ukiangalia rekodi yake . Aliyeshindwa Umeya unampaje Wizara ? Hata wiki haijaisha , kishaanza kashfa...
6 Reactions
45 Replies
4K Views
Hili amenidokeza rafiki yangu mmoja mwenye Vituo vya mafuta. Walishakaa na Waziri wakawekana sawa na sasa ni utekelezaji. Kwa kweli jamaa anasema mama anaupiga mwingi mpaka unamwagika. Watanzania...
19 Reactions
77 Replies
8K Views
Kwa maono yangu kwa nchi kama TANZANIA ili kuluusu katiba mpyaa ni lazima iingie kwenye misingi ya dictator action na sio democracy kama hii ya sasa
0 Reactions
0 Replies
360 Views
Back
Top Bottom