johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,031
- 142,090
Yesu alisema " Heri wanaolia sasa maana baadae Watacheka".
Mawaziri wetu walipothibitishwa tu kuendelea na serikali ya awamu ya 6 walianza na kucheka yaani full mbwembwe lakini sasa tunaelekea kwenye Uchaguzi wamepotea.
CHADEMA wanaongea wanavyotaka kwenye maandamano yao hakuna Waziri wa kuwajibu.
Makonda kafanya ziara lakini kila anakokwenda anakutana na madudu matupu.
Nakubaliana na Dr Nchimbi kwamba Viongozi legelege hawana nafasi kwenye CCM inayokwenda kujengwa.
Ahsanteni 😀
Mawaziri wetu walipothibitishwa tu kuendelea na serikali ya awamu ya 6 walianza na kucheka yaani full mbwembwe lakini sasa tunaelekea kwenye Uchaguzi wamepotea.
CHADEMA wanaongea wanavyotaka kwenye maandamano yao hakuna Waziri wa kuwajibu.
Makonda kafanya ziara lakini kila anakokwenda anakutana na madudu matupu.
Nakubaliana na Dr Nchimbi kwamba Viongozi legelege hawana nafasi kwenye CCM inayokwenda kujengwa.
Ahsanteni 😀