Awamu ya jamaa yule hakuna mkuu wa taasisi kitengo au kaya aliyethubutu kutengeneza mkao wa kula jasho la wengine kupitia ofisi ya umma.
Leo hii katika hii awamu ya sita kila mbuzi kwenye ofisi...
Kupitia vugu vugu la Bandari nimegundua Viongozi wengi wa Dini na Wananchi hawana elimu. Mashehe ndio kabisaa hawana uelewa wa kuelewa na kudadavua mambo nyeti ya nchi hii.
Kwa karne hii kweli kwenye hadhira rasmi viongozi wanaruhusu huu ujinga?
Ni hofu?
Ni woga?
Ni matisho?
Ni mkwara ama ninini?
Wazee wa Paje wamejitokeza hadharani na kuchimba mkwara kwa yeyote...
Kwa mara ya mwisho nguvu ya Mikutano ya kisiasa niliiona pale Mwembeyanga kwenye ile list of shame ambayo hadi leo wajukuu wanarithishwa dhambi
Nawaona Chadema ni kama wako serious hivi kwenye...
Fuatilia yanayojiri kwenye mkutano wa waandishi wa habari unaoendelea muda huu ambapo Dkt. Slaa, Mwabukusi na Mbatia wanazungumza.
https://www.youtube.com/live/CpVkVel-IRM?si=kRb-q_tl6RKvlnne...
Kusema la kweli nchi hii ina wasomi wengi.
Nakumbuka Dkt. Ayub Rioba wa TBC enzi akiwa chuoni hakika alikuwa mwanazuoni na tishio la watawala enzi hizo.
Makala zake nzito ndizo zilizopelekea...
Ndugu zangu Watanzania,
Habari zinazoendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa petroli juu ya nyasi kavu ni kuhusu kutua kwa kishindo kwa Rais Samia Suluhu Hasssan katika Ardhi ya kenya. Imekuwa ni...
Hapa ni Utegi jimbo la Rorya hali ni tete kwa Chadema
Wananchi waeleza Mikutano kupata watu kidogo ni kutokana na kuhubiri udini, kukosa sera mbadala na kufanya ujasiriamali wa kisiasa kila...
Kichwa cha thread ni wakati Rais wa Awamu ya 5 Hayati Shujaa Magufuli akiwaapisha Prof Kabudi na Dr Mpango sambamba na Waziri mkuu
Sijajua Kwanini Waseminary wengi hupendelea kutumia neno "...
Wasalaam nyote,
Katika mikutano ya chadema hivi sasa ya +255 , swala la kuhamasisha umma kuhusu uhuni wa kuuzwa bandari zetu lipewe uzito kila sehemu, CCM hawana dhamira njema na dhati kwa nchi...
Mwabukusi ameyasema hayo katika mkutano na waandishi unaendelea wakati huu tar 5/9/2023 akiwa pamoja na Dr. Slaa, akisema wao watasimamia kwenye sheria na wanachotaka ni IGA kuondolewa.
Mwabukusi...
Hakika Mungu hadhihakiwi. Walioandika hicho kitabu sasa wana aibu kubwa na hakuna pa kuficha nyuso zao. Hii ni baada ya uozo anaofanya waliyetaka apate sifa. DPW imewaumbua.
Nasikia wameweka...
Mkuu wa mkoa wa DSM Albert Chalamila amesema yeye ni Mkatoliki na atafia Katoliki
RC Chalamila amesema Petro alimkatisha tamaa Yesu Kristo na Laiti Mwana wa Mungu angemsikiliza basi Ukombozi wa...
Tundu Lissu ameyasema hayo akizungumza muda na huu tar 9/22023 na Waandishi wa Habari Bariadi, akisema wakulima kila mahali wanalalamika hawapati faida kama awali na hili linasababishwa na watu...
Siku hizi kumekuwa na teuzi nyingi ambazo hazionyeshi, kuwa zimetokana na uwezo au weledi wa aliyeteuliwa. Chanzo kikuu kikiwa ni katiba inamruhusu mteuzi kufanya huo uteuzi, na matokeo yake...
Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt...
- Wabeba Mwenyekiti wa Kijiji na wajumbe wake
Na Mwandishi Wetu
FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho upande wa...
Rais WA Tanzania kutokea Kizimkazi usiku huu yupo Kenya.
Je ameenda kimya kimya Kwani nini?
======
Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Kenya kuhudhuria mkutano unaondelea kuhusu hali ya...
Mtwara - Tandahimba "Wanajeshi wanakagua vitambulisho na mizigo" Kama huna jiandae kuruka kichura chura!,kubebana na kukoana makwenzi.
Ni lazima ,kila mtu kubeba kitambulisho.
Wenyewe wanasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.