Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Na. Saidina Msangi, WF, Arusha. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Jukwaa la Kodi kitaifa lililoandaliwa na Wizara ya Fedha...
3 Reactions
3 Replies
790 Views
Binafsi namuunga mkono Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe aweze kumrejesha Chamani Dr Slaa Dr Slaa aliondoka Chadema kwa heshima kupisha maamuzi muhimu ya kihistoria ya Kamati kuu ya Chama Hata Mdee...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Shariff Ali Shariff, kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji visiwani humo. Anaripoti Mwandishi...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
ITATEGEMEANA NA MAJENERETA TULIYOLETA YATAISHA LINI. hiyo hakumalizia.
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Naomba kuuliza wanabodi kupitia picha hizi zinatoa tafsiri gani juu ya maandamano ya CHADEMA? Picha hizo ni taswira ya uwanjani kabla ya mvua kunyesha. Hizi ni baadhi ya picha za Barabara embu...
4 Reactions
74 Replies
5K Views
1. Mbeya Mwanza kumeonyesha - Umoja wetu utamng'oa nyoka pangoni: 2. Kwamba Slaa anasema: _______ "Katiba iliyopo ilitengenezwa na watu wasiozidi 20 Kwa siku chache sana. Haipo sababu yoyote...
8 Reactions
14 Replies
1K Views
CCM:wanaodai katiba mpya ni wanasiasa ili waingie madarakani. Wapinzani:CCM wanabaki madarakani kwa kwa kutumia katiba hoi mbovu. Sasa swali ni je,kuwa upinzani kunawaondolea haki ya kuwa kundi...
0 Reactions
0 Replies
360 Views
Habari zinazinifikia sasa hivi zinasema kuwa wamasai na waarusha wanapigana kugombea eneo huko Oldonyasambo, ambapo ndani ya eneo hilo kuna shule wanafunzi wameshindwa kutoka kutokana na mapigano...
3 Reactions
33 Replies
10K Views
Nadhani maamuzi magumu yanapaswa kufanywa na viongozi wakuu ktk Serikali zetu uswahiba na ukaribu na watuhumiwa nyangumi wa ufisadi ktk nishati ni kikwazo kikubwa sana cha maamuzi yenye tija Kwa...
1 Reactions
10 Replies
862 Views
Mbunge Stanslaus Mabula: Lini Serikali Itakamilisha Mchakato wa Kuanzisha Tarafa za Igoma na Mkolani - Nyamagana SERIKALI imesema kuwa Mchakato wa kuanzisha tarafa za Igoma na Mkolani Nyamagana...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Baada ya kebehi na dharula za muda mrefu kwa Arusha kukosa Standi Kuu na Bora ya Mabasi ya Mikoani Hatimaye Mama wa Vitendo Rais Samia amewapa wana Arusha furaha. Mamlaka za ujenzi zimetoa...
8 Reactions
99 Replies
6K Views
Swala hadi linaongelewa kwa msisitizo na kujibiwa kwa hisia ni maneno makali sana, ni dhahiri hii imekuwa changamoto sugu sasa. Hivi wanaosimamia hii Wizara ya Nishati, wanahisi nini wanapoona...
2 Reactions
6 Replies
882 Views
Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa. Majadiliano yao yamefuatia...
3 Reactions
61 Replies
6K Views
Juhudi za CHADEMA kuwasemea watanzania na kuwasaidia kujielewa na kuelewa hali zao zinaonekana kuzaa matunda. Ukweli ni kwamba watanzania wengi wanahitaji mtu anayeelewa mambo awafafanulie na...
7 Reactions
12 Replies
1K Views
Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Ukizungumza na baadhi ya wataalam wa TANESCO, wanasema mgao wa umeme ni wa kutengenezwa. Sababu za kutengeneza mgao huo zinatajwa ni ubinafsi wa baadhi ya watu, LAKINI nyingine inayotajwa ni...
26 Reactions
74 Replies
4K Views
Ukitaka soma, ukitaka acha lakini ukweli ni kwamba haya maandamano ya Freeman na washirika wake ni ya hovyo na sijawahi kushuhudia. Wanaojua kwa nini wanaandamana ni freemani na washirika wake...
7 Reactions
49 Replies
3K Views
Yesu alisema " Heri wanaolia sasa maana baadae Watacheka". Mawaziri wetu walipothibitishwa tu kuendelea na serikali ya awamu ya 6 walianza na kucheka yaani full mbwembwe lakini sasa tunaelekea...
1 Reactions
2 Replies
483 Views
Wengi wanadhani Nyerere alimkataa Lowasa kama Lowasa, hapana Nyerere hakuwakubali wote wenye fikra za kibepari kuanzia akina Tuntemeke Sanga, Edwin Mtei nk Nyerere aliukumbatia aina ya Ujamaa...
1 Reactions
2 Replies
477 Views
Back
Top Bottom