johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Akizungumza na waandishi wa Habari wilayani Monduli katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye magonjwa yake Makubwa ni matatu Kupenda Ukweli, Pili Kupenda Wachapakazi na Tatu Uzalendo kwa Nchi yetu
Katika haya mambo matatu Nimefanya Sana na Edward, amesema Dr Nchimbi
Katika haya mambo matatu Nimefanya Sana na Edward, amesema Dr Nchimbi