Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,304
Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.

20240218_131509.jpg


20240218_131513.jpg


20240218_131526.jpg


Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.

kigwangalla.jpg


Written by Mjanja M1 ✍️
 
Tanzania chini ya Uongo thabiti wa Mwl.Nyerere Ilimwaga damu ya watu wake(Wanajeshi walioenda kupiga Nchi zingine? Ilitumia Rasilimali Fedha na muda Kwa Ajili ya kufundisha na kusaidia Nchi mbalimbali ambazo zilikuwa zinapambana na Wakoloni.

On top of that tulihifadhi Hadi Wakimbizi wao na kuwalisha Bure lakini juhudi zetu hizo hazijawahi kutambuliwa na kuthaminiwa vya kutosha hapa Afrika.

Baada ya miaka Mingi baadae eti Leo AU ndio Wanakumbuka kujenga Sanamu ya Mwl.Nyerere kumpa heshima ambayo alistahili miaka Mingi iliyopita.

Nelson Mandela Kwa msukumo wa Wazungu ndio anaabudiwa hapa Afrika wakati hakuna chochote Cha maana alichosaidia Afrika zaidi ya kuwasamehe Wazungu.

Nchi ambazo Tanzania imezisaidia Moja kwa Moja ni South Africa,Namibia,Angola, Mozambique, Zimbabwe, Zambia, DR Congo, Uganda, Burundi na Rwanda.

Hata Sasa tunaendelea kuzisaidoa Nchi nyingi tuu kwenye masuala mbalimbali.

20240218_125604.jpg
20240218_125151.jpg
20240218_125153.jpg


My Take
Tanzania tunastahili Zaidi na ilitakiwa hata AU HQ iwe Tanzania sio Ethiopia.

Ni vyema AU Secretariet ikafikiria kuweka Makao Makuu ya baadhi ya taasisi zake Tanznaia Ili kuenzi mchango wa Nchi yetu.

Hakuna Nchi nyingine iliyojitolea kuzidi Tanzania.
 
Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.

View attachment 2907853

View attachment 2907854

View attachment 2907855

Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.

View attachment 2907856

✍️Mjanja M1
Huyo ni mbowe maana si kwa hizo gwanda za chadema!
 
Sio Nyerere kabisa boraahata Ile ya Kingwangala😁😁😁😁

Hivi huwa hawazikagua kabla????????

Mambo ya ajabu sana
 
Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.

View attachment 2907853

View attachment 2907854

View attachment 2907855

Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.

View attachment 2907856

✍️Mjanja M1
Aliyepewa tender na AU atakuwa yuleyule fundi wa kinyago cha Kigwangalla Burigi
 
Back
Top Bottom