johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,018
- 142,058
Wengi wanadhani Nyerere alimkataa Lowasa kama Lowasa, hapana Nyerere hakuwakubali wote wenye fikra za kibepari kuanzia akina Tuntemeke Sanga, Edwin Mtei nk
Nyerere aliukumbatia aina ya Ujamaa alioubuni yeye Mwenyewe na kila aliyeenda Kinyume naye alimuona ni adui
Hata ukiangalia Azimio la Arusha ni Kweli tulitaifisha viwanda lakini viko wapi leo hii? Tunawafuata wale wale tuliowapora tukiwaomba waje wawekeze tena
Nyerere alimleta Mkapa akiamini ataendeleza Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea lakini ikawa tofauti na Mkapa akamchukua Lowasa kwenye Baraza la Mawaziri
Tunakumbushana tu
Nyerere aliukumbatia aina ya Ujamaa alioubuni yeye Mwenyewe na kila aliyeenda Kinyume naye alimuona ni adui
Hata ukiangalia Azimio la Arusha ni Kweli tulitaifisha viwanda lakini viko wapi leo hii? Tunawafuata wale wale tuliowapora tukiwaomba waje wawekeze tena
Nyerere alimleta Mkapa akiamini ataendeleza Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea lakini ikawa tofauti na Mkapa akamchukua Lowasa kwenye Baraza la Mawaziri
Tunakumbushana tu