Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nilikuwa na mafuta kidogo kwenye gari. Nimezunguka vituo kibao mafuta hakuna, nimeahirisha safari muhimu. Afadhali mzuge zuge mafuta yapatikane wiki ijayo. Kama endapo mafuta yatapatika kesho...
8 Reactions
43 Replies
3K Views
Habari great thinkers, Labda nielezee kwa mifano hayati magufuli aliwahi kuwaagiza tanesco kupitia REA wawafungie wananchi umeme kwa 27000. Lakini baadae ikaja kuonekana sio bei sahihi mfano...
1 Reactions
9 Replies
530 Views
Ni aibu kwa kiongozi mkubwa wa chama cha CCM. kinachoiongoza na kuisimamia Serikali iliyoko madarakani kuzunguka nchini akitoa onyo kuzuia wale wanaotaka kujipanga kutafuta teuzi za kugombea...
0 Reactions
0 Replies
478 Views
Naibu Waziri Mkuu ni Waziri wa Nishati, sasa Leo SAA 12 asubuhi umeme umekatika, hii inaonyesha ni mgao WA umeme. Naomba ulishughulikie Hilo. Na pia Kwa sababu umepewa hukumu la kuratibu, kuna...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Bajeti imeingilia maisha ya watu ambayo tayari ni magumu kuwahi kutokea katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita. Bajeti imeweka kodi katika bidhaa ambazo bei zake ni kero kubwa kwa wananchi...
0 Reactions
3 Replies
820 Views
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ameipongeza Timu ya mpira wa Miguu ya Dodoma Jiji FC kwa kufungua duka la vifaa vya michezo na kupata mwekezaji WAZAWA NET SPORTS...
0 Reactions
1 Replies
890 Views
Nijuavyo Mimi ,Jimbo la Rungwe Magharibi ambako ni nyumbani Kwa Spika Dr Tulia ndio lilimfaa sana maana kule kwanza hakunaga upinzani Wala watu hawana shobo na upinzani. Mbunge wa Sasa anaitwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nawaza tu nanyi mnisaidie kuwaza pamoja. Kuondolewa kwa kipara wizara ile na kuwekwa Biteko huenda ni bomu ametegeshewa ljmlipukie. Baada ya kipara kuboronga pale na kupiga dili za kufa mtu...
1 Reactions
7 Replies
955 Views
Ukifuatilia teuzi za siku hizi katika ngazi zote, vigezo vikuu ambavyo vinaonekana kwa macho ya kawaida kabisa ni:- 1. Kuwa kada mtiifu wa CCM 2. Kuwa muongeaji mzuri wa kusifia sifia...
7 Reactions
16 Replies
986 Views
Mawaziri Wakuu wastaafu Mzee Warioba, mzee Msuya, Mzee Sumaye na Mzee Lowassa mara kadhaa wamekuwa wakiisifia Chadema kwamba ni Bora kuliko CCM Tena Sumaye na Lowassa waliwahi kuhamia kabisa...
10 Reactions
66 Replies
4K Views
Ikiwa ni siku moja baada ya kuwasili ofisini Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Mhe. Dkt.Damas Ndumbaro ameanza kazi Wizarani hapo kwa kukutana na kuzungumza na watumishi na viongozi wa Idara ya...
0 Reactions
3 Replies
634 Views
Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla. Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara...
40 Reactions
360 Replies
34K Views
Utekelezaji wa ilani ya CCM 2020 - 2025 inatekelezwa Kwa vitendo na Mbunge wa jimbo la Mufindi kaskazini Mhe. Exaud Kigahe. Barabara ya kutoka Ugenza Kwenda Sinai Kilomita sita sasa imefunguliwa...
3 Reactions
9 Replies
728 Views
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Ndugu Abdulrahman Kinana, ameziagiza kamati za siasa za CCM, kuwafuatilia na kuwachukulia hatua wanachama walioanza kupitapita kusaka...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Salaam wanabodi, Ndiyo, kumekuwako ukosefu wa mafuta katika baadhi ya vituo vya kuuzia mafuta nchini, ukifika hapo unaambiwa petrol imekwisha. Mtazamo wangu ni kuwa hawa wafanya biashara aidha...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei...
19 Reactions
35 Replies
4K Views
1. Mafuta yapo, wanaoleta shida ni wenye vituo kuzuia kuuza stock ya mafuta wakisubiri bei mpya iende juu ili faida yao iwe kubwa. 2. Serikali ifanye msako na kutoa adhabu kwa vituo vinavyofanya...
2 Reactions
14 Replies
788 Views
Serikari haina umiliki halali yaani moja kwa moja wa mafuta ya hakiba hivyo hupelekea mlipuko wa bei. Bei hupanda na kushuka hata kama kuna changamoto zinazo epukika mfano plani ya miaka kadhaa...
0 Reactions
0 Replies
382 Views
Mkurugenzi wa Ewura hatufai afunguliwe kesi kwa kulidanganya taifa Jana tu kasema mafuta yapo ya kutosha na tunajitosheleza kwa siku 19 leo tena bei zinapanda Huyu anapaswa kujiuzulu na...
4 Reactions
9 Replies
915 Views
Wadau nawasabahi. Kumekuwa na Sintofahamu juu ya Upatikanaji wa Mafuta karibu sehemu KUBWA ya Nchi.Toka Mafuta yaanze kuadimika kumekuwa na TETESI kuwa Bei ya MAFUTA ZITAPANDA. Nimekuwa najiuliza...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom