Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Chakula cha Mawazo: Unafikiri ni kwa kiasi gani ubunifu (creativity) una nafasi katika kubadilisha maisha mtu, kikundi cha watu, jamii au hata taifa kwa ujumla. Unafikiri Watanzania kama mtu mmoja...
3 Reactions
52 Replies
5K Views
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.   Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha...
1 Reactions
90 Replies
4K Views
https://www.youtube.com/watch?v=SH9ks-0_wQ8 Mimi ni mmoja wa watu tulobahatika kuhudhuria msiba wa marehemu Edward Ngoyai Lowassa na nikawa na shauku kubwa ya kusikia historia ya mwanasiasa huyu...
8 Reactions
56 Replies
6K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika hakuna chama cha upinzani kwa sasa wala kiongozi wala mtu yeyote yule kutoka upinzani ,anayeweza kufanya mkutano mkubwa ambao ukahudhuriwa na maelfu ya wananchi...
5 Reactions
178 Replies
8K Views
Sukari kizungumkuti, umeme kizungumkuti, maji kizungumkuti, huduma za jamii(Afya, Elimu, Miundombinu nk.) kizungumkuti. Kwa ujumla karibu mambo yote ni kizungumkuti. Je, atagombea tena 2025?
12 Reactions
58 Replies
3K Views
Nani nauliza tu, ni nani anaweza kuwa Rais na Watanzania wakawa hawana wasiwasi nae! Niwaonavyo viongozi wa CHADEMA nyuma ya pazia ni wabinafsi. Ukweli wana ueledi wa kufoka ila ukikusanya...
2 Reactions
17 Replies
964 Views
Hii ni Mbeya + viongozi wote wa kitaifa + waandishi wa habari+kwa yeyote anayejisikia
4 Reactions
44 Replies
2K Views
Kichwa cha habari kinajieleza. Nina mshauri Kwa moyo mkujufu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi , afuatilie utendaji kazi wa Katibu wa CCMwilaya ya Hai, huko...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, kwamba ikiwa iko wazi na dhahiri kabisa kwamba raisi wa Tanzania anaekuwa madarakani, anaamua kwa makusudi na huku akijua hilo, au kwa kushauriwa vibaya, au...
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Ni kama vile tumeshaifikia Babeli mnarani na kila mtu ananena kwa Lugha ya kule alikozaliwa, hatuelewani yani Naibu waziri anasema Umeme Machi, Spika anasema tufanye June, Doto anasema...
10 Reactions
24 Replies
1K Views
Nimesikiliza wasilisho la Ansbert Ngurumo kwenye Online TV akidai kuwa Rostam aliwapa mkono waombolezaji wote waliokaa mbele na kumruka Kikwete kwenye msiba wa Lowasa huko Monduli. Mliokuwepo ni...
8 Reactions
92 Replies
12K Views
CHAMA Cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) kinaungana na Chama cha Waandishi wa Habari mkoa Simiyu (SMPC), kulaani tukio la Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Simon Simalenga...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Uwakilishi wa kisiasa ni nguzo muhimu katika demokrasia, ambapo vyama vya siasa vinapaswa kuwakilisha mahitaji na maslahi ya idadi kubwa ya wananchi. Hata hivyo, katika mazingira mengi, kuna utata...
1 Reactions
9 Replies
669 Views
Alianza Kugwangala kudai kuna waziri amenunua hekalu Dubai Akaja Lucas akasema Mbowe ana ghorofa kijijini kwao Machame Leo Watu wanajadili Saa Hizi zote ni dalili za hali Ngumu Sana ya Maisha...
16 Reactions
56 Replies
3K Views
Habari, wanajamvi kutokana kutokua na tija na ufanisi kwa nafasi ya Naibu Waziri Mkuu , ninamshauri Mh Rais atengue nafasi ya Naibu Waziri Mkuu na kwa mamlaka yake na katiba nafasi hiyo ifutwe...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Nimekutana na MZAZI mmoja anaongea kwa kuonyesha uchungu na HUZUNI kubwa kwa Yale yanayowakabili Wazazi walio na Watoto wenye kusoma shule hii kongwa ya enzi za mkoloni. Tangu mwaka Jana 2023...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Halafu huko Majukwaani tunaambiwa tusichanganye Dini na Siasa Mbunge wa Kilosa mh Kabudi amesema shule ya kwanza ya Sekondari mkoani Singida ilijengwa na Mchungaji wa KKKT aliyetafuta wafadhili...
5 Reactions
80 Replies
8K Views
Wengi tunaamini Chadema Ndio Chama tawala mbadala lakini cha ajabu Wakongwe wake waliohamia CCM wanafeli sana. Waziri wa sasa wa Uchumi Ndio alikuwa think tank wa Chadema na baadae ACT wazalendo...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Nimeweka list ya viwanda ninavyoweza kumbuka, ambavyo ilikuwa ni mkombozi wa ajira kwa TZ. Vingi viliajili zaidi ya watu 1000. Mbali na viwanda hivi, kuna mashirika ambayo sikuyaweka. Lakini hii...
9 Reactions
79 Replies
9K Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda amewasihi Watanzania kuwa na desturi ya kuzungumza mazuri ya mtu akiwa bado yupo hai badala ya kusubiri afariki. Makonda ameyasema hayo kwenye...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Back
Top Bottom