Habari great thinkers,
Labda nielezee kwa mifano hayati magufuli aliwahi kuwaagiza tanesco kupitia REA wawafungie wananchi umeme kwa 27000.
Lakini baadae ikaja kuonekana sio bei sahihi mfano...
Ni aibu kwa kiongozi mkubwa wa chama cha CCM.
kinachoiongoza na kuisimamia Serikali iliyoko madarakani kuzunguka nchini akitoa onyo kuzuia wale wanaotaka kujipanga kutafuta teuzi za kugombea...
Naibu Waziri Mkuu ni Waziri wa Nishati, sasa Leo SAA 12 asubuhi umeme umekatika, hii inaonyesha ni mgao WA umeme. Naomba ulishughulikie Hilo.
Na pia Kwa sababu umepewa hukumu la kuratibu, kuna...
Bajeti imeingilia maisha ya watu ambayo tayari ni magumu kuwahi kutokea katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita.
Bajeti imeweka kodi katika bidhaa ambazo bei zake ni kero kubwa kwa wananchi...
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ameipongeza Timu ya mpira wa Miguu ya Dodoma Jiji FC kwa kufungua duka la vifaa vya michezo na kupata mwekezaji WAZAWA NET SPORTS...
Nijuavyo Mimi ,Jimbo la Rungwe Magharibi ambako ni nyumbani Kwa Spika Dr Tulia ndio lilimfaa sana maana kule kwanza hakunaga upinzani Wala watu hawana shobo na upinzani.
Mbunge wa Sasa anaitwa...
Nawaza tu nanyi mnisaidie kuwaza pamoja.
Kuondolewa kwa kipara wizara ile na kuwekwa Biteko huenda ni bomu ametegeshewa ljmlipukie.
Baada ya kipara kuboronga pale na kupiga dili za kufa mtu...
Ukifuatilia teuzi za siku hizi katika ngazi zote, vigezo vikuu ambavyo vinaonekana kwa macho ya kawaida kabisa ni:-
1. Kuwa kada mtiifu wa CCM
2. Kuwa muongeaji mzuri wa kusifia sifia...
Mawaziri Wakuu wastaafu Mzee Warioba, mzee Msuya, Mzee Sumaye na Mzee Lowassa mara kadhaa wamekuwa wakiisifia Chadema kwamba ni Bora kuliko CCM
Tena Sumaye na Lowassa waliwahi kuhamia kabisa...
Ikiwa ni siku moja baada ya kuwasili ofisini Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Mhe. Dkt.Damas Ndumbaro ameanza kazi Wizarani hapo kwa kukutana na kuzungumza na watumishi na viongozi wa Idara ya...
Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.
Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara...
Utekelezaji wa ilani ya CCM 2020 - 2025 inatekelezwa Kwa vitendo na Mbunge wa jimbo la Mufindi kaskazini Mhe. Exaud Kigahe. Barabara ya kutoka Ugenza Kwenda Sinai Kilomita sita sasa imefunguliwa...
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Ndugu Abdulrahman Kinana, ameziagiza kamati za siasa za CCM, kuwafuatilia na kuwachukulia hatua wanachama walioanza kupitapita kusaka...
Salaam wanabodi,
Ndiyo, kumekuwako ukosefu wa mafuta katika baadhi ya vituo vya kuuzia mafuta nchini, ukifika hapo unaambiwa petrol imekwisha.
Mtazamo wangu ni kuwa hawa wafanya biashara aidha...
Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei...
1. Mafuta yapo, wanaoleta shida ni wenye vituo kuzuia kuuza stock ya mafuta wakisubiri bei mpya iende juu ili faida yao iwe kubwa.
2. Serikali ifanye msako na kutoa adhabu kwa vituo vinavyofanya...
Serikari haina umiliki halali yaani moja kwa moja wa mafuta ya hakiba hivyo hupelekea mlipuko wa bei.
Bei hupanda na kushuka hata kama kuna changamoto zinazo epukika mfano plani ya miaka kadhaa...
Mkurugenzi wa Ewura hatufai afunguliwe kesi kwa kulidanganya taifa
Jana tu kasema mafuta yapo ya kutosha na tunajitosheleza kwa siku 19 leo tena bei zinapanda
Huyu anapaswa kujiuzulu na...
Wadau nawasabahi.
Kumekuwa na Sintofahamu juu ya Upatikanaji wa Mafuta karibu sehemu KUBWA ya Nchi.Toka Mafuta yaanze kuadimika kumekuwa na TETESI kuwa Bei ya MAFUTA ZITAPANDA. Nimekuwa najiuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.