Mkurugenzi mkuu wa EWURA Dr James Andilile amewataka hofu Wananchi kwa kusema Nchi ina hifadhi ya kutosha ya Nishati ya Mafuta
Dr Andilile amesema kuna Hifadhi ya Petrol ya kutosha siku 19 na...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Dr Slaa anapitia wakati Mgumu Sana, wakati wa majuto, mateso ya moyo na nafsi na upweke wa hali ya juu sana. Kwa sasa haaminiki na yeyote wala kukubalika na...
Ndugu zangu Watanzania,
Daraja na hatua iliyopo CCM Kisiasa kwa sasa hakuna chama kilichofikia wala kukaribia,Ni kama vile CCM inacheza uwanja wake na ligi yake ya pekee yake ambayo kwa vyama...
Katika hali iliyotabiriwa, na inayotabiriwa kuelekea 2025, wananchi wa Lushoto warudisha kadi za chama kwa madai ya kutoridhika na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya na vijiji.
-----
Hali hii...
Leo Jumatatu tar. 4. 9.2023 Saa 5:00 asubhhi Chama cha @ACTwazalendo kitatoa Uchambuzi, msimamo na Mapendekezo yake kuhusu sakata la #Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na @DPWorldUAE.
-----...
Dr Slaa amesema wao hawaogopi kukamatwa na kushtakiwa kwa Uhaini kwa sababu hata Yesu Kristo alishtakiwa kwa Uhaini ili kukwamisha Ukombozi wa Wana wa Israel
Hakuna kifo cha Heshima kama cha...
Waziri wa TAMISEMI mh Mchengerwa amewaambia Viongozi kuwa hivyo Vyeo walivyonavyo siyo vyao ni vya Wenye nchi ambao ni Wananchi Wao wamedhaminiwa tu
Mchengerwa amesema Taarifa alizonazo ni...
Kauli za kiongozi mwandamizi wa CCM ndugu A. Kinana kuwa Chadema wanakiuka misingi ya maridhiano ni picha kuwa Chadema wanashusha maneno mazito yanayoumiza umtima.
Sakata la bandari limeibua...
Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya...
Kibaka akiiba kuku wa jirani, unakuwa na uchungu sana na huyo kibaka hata kama kuku si wako. Ila Mtawala akigawa maliasili za nchi kwa wageni katika mazingira ya utatanishi, hutaki hata asemwe na...
Tanzania Association of Oil Marketing Companies (TAOMAC) ni shirika ambalo lilianzishwa tarehe 23 Machi 2000 chini ya Sheria ya Vyama, SURA 337.
TAOMAC inajitahidi kukuza sekta endelevu na yenye...
Kabla ya wakoloni kuja Africa tuliishi kwa namna yetu. Bahati mbaya historia ya Afrika imepotezwa kwa makusudi au kupotoshwa.
EAST AFRICA COMMUNITY KWA SASA
The Republic of Burundi
The...
Ifike mahali sasa Chadema nayo ipewe Nchi tu , hakuna namna yoyote tena ya kuwakwepa , Wana watu nyuma yao .
Naweza kuthibitisha kwamba hakuna kiongozi yoyote wa Tanzania aliyewahi kupata...
Moto umeanza kuwaka huko Tamisemi baada ya Waziri Mohammed Mchengerwa kuwasha moto Kwa kusema watu Wame relax hawafanyi kazi,awanyooshea kidole Ma DC.
---
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI...
Huu ni mtazamo wangu binafsi kuhusu hali ya kisasa nchini sijui ni nini kimetokea kwenye taifa letu. Hilo jambo litatokea si Kwa sababu watu wanamapenzi mema na CCM na wala si kwa sababu watu wana...
1. Eti msichanganye dini na siasa wakati kwenye misaafu tunasoma dini na siasa haviwezi kutenganishwa. Na ndiyo maana viongozi wetu huapa kwa misaafu hiyo.
2. Eti viongozi wa dini wanapaswa...
Mtu kaanza kazi 2005 analipwa laki 4 mfano level ya diploma kufikia 2015 kapata mabadiliko makubwa analipwa zaidi ya million 1 ila angalia mshahara wa mtumishi kutoka 2015 mpaka Leo 2023 aliyeanza...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 2023) Nairobi- Kenya tarehe 05 Septemba...
Pichani, Kipara anaonekana yupo na mama katika mkutano wa viongozi barani Africa wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea muda huu katika ukumbi wa KICC huko Nairobi Kenya
Naomba mnikumbushe tena...
Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee CLEOPA DAVID MSUYA akihojiwa na ITV kwenye kipindi cha dakika 45 amesema CHADEMA ni wazuri na mahiri wa kuchambua mambo kwa kina na lazima tujifunze kwao.
-
Hawa CHADEMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.