Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naanika huu uozo hapa najua kuna usalama wa taifa ambao ni wazalendo au watu wa kwenye system wana uchungu na hii nchi.... Kuna hujuma zinafanywa kwa maagizo ya wakubwa fulani ipo hivi...
26 Reactions
59 Replies
5K Views
Machi 13, 2023 Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, iliendesha Mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa Wilaya wote nchi nzima, hii ni kutoka na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kufanya uteuzi...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Mbunge Stella Ikupa: Hatua Gani Zimechukuliwa kwa Halmashauri Zisizonunua Mafuta ya Watu Wenye Ualbino. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Festo Dugange...
0 Reactions
1 Replies
745 Views
Leo kuna threads nyingi sana za vibwengo wa uvccm kuponda maandamano ya Chadema yaliyofanyika leo kuliko threads walizoanza kuhusiana na maandamano ya awali yaliyofanyika Dar na Mwanza. Kusema...
31 Reactions
70 Replies
6K Views
Akizungumza na waandishi wa Habari wilayani Monduli katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye magonjwa yake Makubwa ni matatu Kupenda Ukweli, Pili Kupenda Wachapakazi na Tatu Uzalendo kwa Nchi...
8 Reactions
55 Replies
3K Views
Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi...
7 Reactions
112 Replies
11K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa Mkuu wa mkoa wa Mbeya Juma Homera amekuwa akiandaa njama za kudhoofisha maandamano ya chama hicho yaliyopangwa kufanyika jijini Mbeya...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Hakika RPC wa Mbeya anapaswa kupongezwa kwa kuepusha maafa ambayo yangeweza kutokea leo mjini Mbeya kama angemuendekeza RC Homera na DC Malisa. Aidha pongezi ziwaendee viongozi wa Chadema kwa...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Hakika kila mwenye Macho haambiwi tizama Ili tukio ni la kwanza kutokea Haiwezekani Mh Rais Mstaafu apewe nafasi ya kuzungumza kwenye Msiba wa Membe na atoe ya moyoni dhidi ya uhusiano wake na...
31 Reactions
241 Replies
18K Views
Huhitaji kuvaa miwani ya uoni mkubwa kuweza kuona dhahiri shahiri kuwa nchi yetu imefeli, tena imefeli kila idara. Hakuna jambo lenye nafuu katika nchi yetu. Kila kitu ni bora liende, nchi...
13 Reactions
54 Replies
3K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini , Bilionea Joseph Mbilinyi, amemuonya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Bwana Benno Mallissa kuacha kuhujumu Chadema , na kwamba...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nyinyi ndugu zangu humu jukwaani ni mashahidi. Kijana wetu leo ametulia sana humu jukwaani. Bila shaka alisafiri kutoka kwao Mbozi, mpaka Mbeya Mjini ili kwenda kuwaona Makamanda wa Chadema live...
22 Reactions
43 Replies
3K Views
Siku zote nilikuwa nikikutana na Prof. Kabudi ninamhusisha moja kwa moja na Wanayaturu kwa yale macho yake. Wanayaturu wengi niliosoma nao pale Mwenge Sekondari na hata Mazengo Sekondari walikuwa...
6 Reactions
34 Replies
5K Views
  • Poll Poll
kuna tofauti kubwa kati ya hotuba za jk na zile za bm. kwa kweli hotuba za jk unaweza kusema zimeandikwa na mtoto wa shule ya sekondari. jk anapaswa kujirekebisha katika hili. hotuba ya kikwete...
0 Reactions
686 Replies
79K Views
Inasemekana eneo la Uyole mara zote nyakati za usiku huwa na watu wengi, hii ni kutokana na eneo hilo kuwa njia panda ambayo Magari mengi hupita, Magari ya kwenda Malawi na yale ya kwenda zambia...
9 Reactions
61 Replies
4K Views
Hivi kweli kama CHADEMA ni chama chenye nia nzuri na wananchi kinaweza kuratibu maandamano miji tofauti kwani ujumbe uliofikishwa pale Dar haukufika sehemu zngine za nchi haukufika. Waache...
5 Reactions
71 Replies
2K Views
Kwa namna demokrasia inavyokandamizwa dhahiri Kabisa pale ACT Wazalendo ni Wazi katika Vyama Vyote vya Siasa nchini Chadema Ndio ina Mfumo wa kidemokrasia kwenye chaguzi za Viongozi wake Chadema...
7 Reactions
11 Replies
748 Views
Kiongozi wa Israeli ajulikanae kama Bibi au Netanyahu ameapa kuwa wapalestina chini ya Hamasi hawatakuwa na nchi na watabaki chini ya utawala wa kiyaudi milele. Na Zanzibar nayo ndio hivyo...
2 Reactions
12 Replies
829 Views
Miezi michache ijayo kipute cha uchaguzi wa serikali za mitaa kitaanza, Chadema inatakiwa ikamilishe chaguzi za ndani na pia ijiandae kwa uchaguzi Serikali za Mitaa, cha kushangaza uongozi kwa...
4 Reactions
46 Replies
2K Views
Chadema inayo mambo madogo madogo ya kujirekebisha hasa kupitia wafuasi wake ambao hujikuta wakitoa maneno yaliyokosa hekima, busara, wala mwelekeo huo wa kukubalika Niliandika uzi...
6 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom