Tunapoelekea siasa zitaangamiza taifa na machawa kufanikiwa

Baba jayaron

JF-Expert Member
Jun 29, 2015
4,007
5,446
Wasaalam ndugu zangu watanzania,

Nina machache kuwaeleza kutoka vyanzo vya ndani vinavyoona vya mbali.

Mkakati ulisukwa ukasukika japo hawakutegemea kama utatiki kiasi hiki... pepo imeamia nchini wachache ndo wanaoiona na kuishi.

Miungu inaongezeka yote inadai sifa ikimsifia mungu mtu mmoja mioyoni wakiutaka uungu.

Raia kususia siasa, wamekata tamaa, maamuzi na mustakabali wa taifa lao hawana, wanapitia magumu huku wakiwangalia wanaowapitisha na kudhihakiwa.

Malaika wa sifa wana mda mchache saana yata warudi vita ya miungu itawaangamiza na kuawamaliza...
Itawamaliza kiuchumi na kijamii
Itawagharimu mpaka maisha...

Wote wakisha elekea kibra hukuna wakugeuza shingo... yajayo yanatisha ukiweza amua sasa.
 
Wasaalam ndugu zangu watanzania,

Nina machache kuwaeleza kutoka vyanzo vya ndani vinavyoona vya mbali.

Mkakati ulisukwa ukasukika japo hawakutegemea kama utatiki kiasi hiki... pepo imeamia nchini wachache ndo wanaoiona na kuishi.

Miungu inaongezeka yote inadai sifa ikimsifia mungu mtu mmoja mioyoni wakiutaka uungu.

Raia kususia siasa, wamekata tamaa, maamuzi na mustakabali wa taifa lao hawana, wanapitia magumu huku wakiwangalia wanaowapitisha na kudhihakiwa.

Malaika wa sifa wana mda mchache saana yata warudi vita ya miungu itawaangamiza na kuawamaliza...
Itawamaliza kiuchumi na kijamii
Itawagharimu mpaka maisha...

Wote wakisha elekea kibra hukuna wakugeuza shingo... yajayo yanatisha ukiweza amua sasa.
Imefika Mahali Chawa wanalinganisha Prof wa SUA na Mwijaku.

Na wanaona Mwijaku ni wa maana kuliko Maprof Wetu.

Uchawa imekuwa Tunu ya Taifa kwa hisani ya CCM
 
Wasaalam ndugu zangu watanzania,

Nina machache kuwaeleza kutoka vyanzo vya ndani vinavyoona vya mbali.

Mkakati ulisukwa ukasukika japo hawakutegemea kama utatiki kiasi hiki... pepo imeamia nchini wachache ndo wanaoiona na kuishi.

Miungu inaongezeka yote inadai sifa ikimsifia mungu mtu mmoja mioyoni wakiutaka uungu.

Raia kususia siasa, wamekata tamaa, maamuzi na mustakabali wa taifa lao hawana, wanapitia magumu huku wakiwangalia wanaowapitisha na kudhihakiwa.

Malaika wa sifa wana mda mchache saana yata warudi vita ya miungu itawaangamiza na kuawamaliza...
Itawamaliza kiuchumi na kijamii
Itawagharimu mpaka maisha...

Wote wakisha elekea kibra hukuna wakugeuza shingo... yajayo yanatisha ukiweza amua sasa.
dah aise,
hadi huruma,
inaonekana una uchungu sana kwa ajili ya kufanikiwa kwa wengine 🐒

siri ni moja tu...
Bidii katika kazi na moyo wa kuto kukata Tamaa.

Mungu ni wa wote hajawahi kumtupa mja wake ...
Don't panic, you can also do better, what others do. work hard. Hakuna namna ingine 🐒
 
dah aise,
hadi huruma,
inaonekana una uchungu sana kwa ajili ya kufanikiwa kwa wengine 🐒

siri ni moja tu...
Bidii katika kazi na moyo wa kuto kukata Tamaa.

Mungu ni wa wote hajawahi kumtupa mja wake ...
Don't panic, you can also do better, what others do. work hard. Hakuna namna ingine 🐒
Tafuta bwana akuo mm sioa magasho
 
Raia kususia siasa, wamekata tamaa, maamuzi na mustakabali wa taifa lao hawana, wanapitia magumu huku wakiwangalia wanaowapitisha na kudhihakiwa.
Hapo kwenye watu kususia siasa pana janga kubwa sana. Inatakiwa kidemokrasia uamuzi wa kisiasa ukifanyika, kila mwananchi ajihisi yeye ndo ameamua hicho. Kwa neno moja 'ushirikishwaji'

Nini kifanyike!?

Ili kurudisha imani kwamba ni wote tunahusika na siasa:
Tuoneshwe mifano miwili mitatu ya watu kuchaguliwa kushika nyadhifa nyeti na za kawaida ghafla!. Na hawakuwa machawa wala watoto wa viongozi. Aani ghafla tu😳.
20240216_211150.jpg


Hint: Nimependa hapo waliposema 'kabla ya kuteuliwa alikuwa kijana tu kama wewe hapo'😆😆😅. Kiukweli vijana wanahitaji tumaini. HOPE.
Tumaini kama walilopewa na kampuni za kubeti kwamba ipo siku watatusua, wataliona tobo na WATATOBOA!

Nafasi kama mshauri wa rais zinahitaji watu wa 'background' mbalimbali mtoto wa waziri awemo sawasawa na mtoto wa mkulima na mtoto wa mfanyakazi na mfanyabiashara ili kubalansi akili watu wangu. Msomi hadi yule anayejua kusoma na kuandika tu.

Mradi tu hivi vitatu au vinne vizingatiwe; 1. Pragmatism, 2. Meritocracy na cha tatu nimesahau na vetting ya maana kwa usalama wa taifa letu
 
Hapo kwenye watu kususia siasa pana janga kubwa sana. Inatakiwa kidemokrasia uamuzi wa kisiasa ukifanyika, kila mwananchi ajihisi yeye ndo ameamua hicho. Kwa neno moja 'ushirikishwaji'

Nini kifanyike!?

Ili kurudisha imani kwamba ni wote tunahusika na siasa:
Tuoneshwe mifano miwili mitatu ya watu kuchaguliwa kushika nyadhifa nyeti na za kawaida ghafla!. Na hawakuwa machawa wala watoto wa viongozi. Aani ghafla tu😳.
View attachment 2911014

Hint: Nimependa hapo waliposema 'kabla ya kuteuliwa alikuwa kijana tu kama wewe hapo'😆😆😅. Kiukweli vijana wanahitaji tumaini. HOPE.
Tumaini kama walilopewa na kampuni za kubeti kwamba ipo siku watatusua, wataliona tobo na WATATOBOA!

Nafasi kama mshauri wa rais zinahitaji watu wa 'background' mbalimbali mtoto wa waziri awemo sawasawa na mtoto wa mkulima na mtoto wa mfanyakazi na mfanyabiashara ili kubalansi akili watu wangu. Msomi hadi yule anayejua kusoma na kuandika tu.

Mradi tu hivi vitatu au vinne vizingatiwe; 1. Pragmatism, 2. Meritocracy na cha tatu nimesahau na vetting ya maana kwa usalama wa taifa letu
Watu muhimu ka wewe katika wapumbavu wengi hua hamueleweki mola atusaidie
 
Back
Top Bottom