comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,227
- 5,950
Uhuru wa kuandamana ni stahiki ya kikatiba kama stahiki ya kwenda kokote na kufanya kazi. Maandamano ya CHADEMA yanapaswa yaandaliwe vyema. Mfano Mwanza ina njia kuu tatu- barabara ya Nyerere ambako walianzaia Igoma, barabara ya Kenyatta- ambako walianzia Buhongwa, na barabara ya Makongoro ambako walianzia Ilemela kanisani.
Kimsingi kuruhusiwa kutumia barabara hizo maana yake walizuia watu wengi kufanya sughuli zao. Wapo watu walichelewa ndege, kufika ofisin au kwenda hospitali na shughuli zingine.
Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?
Kimsingi kuruhusiwa kutumia barabara hizo maana yake walizuia watu wengi kufanya sughuli zao. Wapo watu walichelewa ndege, kufika ofisin au kwenda hospitali na shughuli zingine.
Je, hatuna njia nyingine ya kuondoa kadhia hii bila kuathiri stahiki za watu?