johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,112
Rais Samia amesema hayati Mwinyi alikuwa baba wa Demokrasia aliyeamini katika Uwajibikaji na Uzalendo
Mzee Mwinyi alisisitiza sana katika Uwajibikaji kila mmoja Eneo alipo badala ya kila Siku kuorodhesha Matatizo ambayo tayari Wananchi wanayajua
Source: Upendo TV
My take; Nadhani Chadema watajifunza
Mzee Mwinyi alisisitiza sana katika Uwajibikaji kila mmoja Eneo alipo badala ya kila Siku kuorodhesha Matatizo ambayo tayari Wananchi wanayajua
Source: Upendo TV
My take; Nadhani Chadema watajifunza