johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Rais Samia amesema baada ya Rais Mwinyi kuingia madarakani Gazeti la Economist la UK liliandika " Rais Mwinyi hawezi kuleta nafuu yoyote kwenye Uchumi dhaifu sana wa Tanzania kwa sababu Mwinyi ni Mtu wa Nyerere"
Ambacho The Economist hawakukijua ni kwamba Nyerere aling'atuka ili kuruhusu Mageuzi ya Kiuchumi na hayati Mwinyi alipewa Kazi hiyo, amesema Rais Samia
Source:TBC
Ambacho The Economist hawakukijua ni kwamba Nyerere aling'atuka ili kuruhusu Mageuzi ya Kiuchumi na hayati Mwinyi alipewa Kazi hiyo, amesema Rais Samia
Source:TBC