Kwanini Mzee Mwinyi alijutia Uamuzi wake wa kumteua Augustine Mrema kuwa Naibu Waziri Mkuu?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,992
142,009
Nasoma muhtasari wa Kitabu cha Maisha ya Mzee Mwinyi "Rukhsa"

Mwinyi anaandika "Waswahili husema unadhani umepata kumbe Umepatikana. Niliukumbuka msemo huo miezi kadhaa baada ya kumteua Augustine Mrema kuwa Naibu Waziri Mkuu. Huo ni Uamuzi ambao baadae nilikuja kuujutia sana"

Haya maneno yamenitafakarisha sana na bado nayatafakari.

Jumaa Mubarak
 
Nasoma muhtasari wa Kitabu cha Maisha ya Mzee Mwinyi " Rukhsa"

Mwinyi anaandika "Waswahili husema unadhani umepata kumbe Umepatikana. Niliukumbuka msemo huo miezi kadhaa baada ya kumteua Augustine Mrema kuwa Naibu Waziri mkuu. Huo ni Uamuzi ambao baadae nilikuja kuujutia sana"

Haya maneno yamenitafakarisha sana na bado nayatafakari

Jumaa Mubarak
Hicho cheo anaweza akajilaumu mwingine. Tena kujilaumu kuliko kukubwa
 
Watu mmeshaanza!

Hicho kichwa cha habari hilo swali ilibidi aulizwe yeye mwenyewe afafanunue alichojutia lakini kabla hata ya 24hrs toka akate moto inabidi sisi tusiojua lolote tuanze kubahatisha majibu.
 
Bilashaka alikuja kuendekeza uchaga yaani upendeleo wa kikabila ndio maana mzee rukhusa alikuja kujutia kumpa nafasi labda😂😂😂

Kwani mzee rukhusa alitoa sababu zipi mkuu?
Inferior complex inakutesa bro,Mzee Mwinyi (Mungu amrehemu) ni damu ya kipemba yenye uchu wa hela asingeweza kuwa na mawazo kama uliyoandika hapa.

Fanya kazi kwa juhudi ukitumia rasilimali mwili ulizopewa akili viungo etc na wewe utafanana nao,nimefanikiwa kufika kwa hao jamaa na nilikowahi kuzunguka Tanzania nimegundua hawa wengi hamuwapendi kwa sababu wanatumia fursa vizuri.
 
Hicho cheo anaweza akajilaumu mwingine. Tena kujilaumu kuliko kukubwa

Kila mtu mwenye akili timamu anajutia makosa yake pale anapogundua aliboronga.

Hata Samia kwa kumpa Biteko cheo bandia, atajutia na kujiona mjinga. Na kama alishauriwa na mtu, atamlaani.

Japo katiba inampa Rais mamlaka ya kutengeneza nafasi za uteuzi, lakini mamlaka hizo hazihusishi nafasi ambazo katiba imeziweka wazi.

Ni sawa leo hii Rais aseme nimeamua kumteua mtu fulani kuwa makamu wa pili wa Rais (wakati katiba imetamka wazi kutakuwa na Rais na makamu wa Rais, hakuna makamu wa pili wa Rais), au makamu wa spika (wakati katiba inasema wazi kutakuwa na spika na naibu spika, hakuna makamu wa pili wa spika).

Hicho cheo cha Naibu Waziri mkuu, ni takataka. Ni matumizi mabaya na ya hovyo ya ofisi ya Rais. Provision ya kumpa Rais kuunda nafasi fulani, haihusishi nafasi kuu za kiutawala za kitaifa.
 
Jenerali Ulimwengu anasema alimuunga mkono Mkapa kwani hakuwahi kumuamini Mrema Kama yupo sawa Kichwani.
Aliwashangaa wasomi waliokuwa wakimuunga mkono Mrema kwani kwake yeye alikuwa mtu wa hovyo kupewa madaraka kutokana na matendo yake
 
Inferior complex inakutesa bro,Mzee Mwinyi (Mungu amrehemu) ni damu ya kipemba yenye uchu wa hela asingeweza kuwa na mawazo kama uliyoandika hapa.

Fanya kazi kwa juhudi ukitumia rasilimali mwili ulizopewa akili viungo etc na wewe utafanana nao,nimefanikiwa kufika kwa hao jamaa na nilikowahi kuzunguka Tanzania nimegundua hawa wengi hamuwapendi kwa sababu wanatumia fursa vizuri.
Sio umefanikiwa sema wew pia ni mchaga ndio maana umepanic,aliyekwambia hafanyi kazi kwa juhudi nani? Unahisi mm sijafika chaga land na kwingineko? Kabla hujaanza kumjibu shombo usiyemjua tafakari kwanza
Nahisi uko kwa shemeji we kenge maana ungekua unajitambua usingeangaika kujibu mawazo ya comment ya mtu badala kujibu swali la mtoa mada😂😂😂 anyway utajibu comment za wangapi hapo kwenye thread?


Toa mawazo yako,sio ujibu comment ya mwingije ili ni jukwaa huru mdogo wangu
 
Sio umefanikiwa sema wew pia ni mchaga ndio maana umepanic,aliyekwambia hafanyi kazi kwa juhudi nani? Unahisi mm sijafika chaga land na kwingineko? Kabla hujaanza kumjibu shombo usiyemjua tafakari kwanza
Nahisi uko kwa shemeji we kenge maana ungekua unajitambua usingeangaika kujibu mawazo ya comment ya mtu badala kujibu swali la mtoa mada😂😂😂 anyway utajibu comment za wangapi hapo kwenye thread?


Toa mawazo yako,sio ujibu comment ya mwingije ili ni jukwaa huru mdogo wangu
Sawa yote niliyoya-bold ambayo wewe umeyaainisha hapo juu ktk post yako ni ya kweli yananihusu lakini nakusisitiza................

Wewe una inferior complex kudhani kila aliyekuzidi maisha ni mwizi/mjanja mjanja,kaza sana kutafuta hela hutakuwa na muda wa kukisia makabila au maisha ya watu usiowajua na kudhani ni wadogo zako au wanaishi kwa shemeji zao.

Sitakujibu tena ila lesson nimeshakupa.
 
Mwinyi mwenyewe hakuwa na Dhamira ya Dhati ya kuleta Mabadiliko ya Kisiasa ilikuwa ni Presha kutoka Nchi za Magharibi.
 
Sawa yote niliyoya-bold ambayo wewe umeyaainisha hapo juu ktk post yako ni ya kweli yananihusu lakini nakusisitiza................

Wewe una inferior complex kudhani kila aliyekuzidi maisha ni mwizi/mjanja mjanja,kaza sana kutafuta hela hutakuwa na muda wa kukisia makabila au maisha ya watu usiowajua na kudhani ni wadogo zako au wanaishi kwa shemeji zao.

Sitakujibu tena ila lesson nimeshakupa.
We kenge una matatizo ya akili nafikiri,labda useme ulikosea kunitag maana hakuna sehemu katika bandiko langu nimetaja mchaga ni mwizi,au aliyenizidi maisha ni mwizi,hakuna nilipotaja mwizi,ulisoma vizuri kabla ya kunitag kweli? hizo comment zipo kwa wengine labda, pitia vizuri comment za watu usikurupuke kujibu,bilashaka unawaza kwa kutumia matako
 
Mwinyi mwenyewe hakuwa na Dhamira ya Dhati ya kuleta Mabadiliko ya Kisiasa ilikuwa ni Presha kutoka Nchi za Magharibi.
Nyerere hakuwahi chemsha.

Mwinyi was very soft to the West.

Kama alivyo Samia tu hapa.

Samia anadhani kuwafurahisha wazungu ni sahihi.

Ila anakosea sana.
 
Umelewa Propaganda za Chama Nyerere mwenyewe amekiri mara nyingi kuwa alichemka.
Binadamu wanakosea nae alikiri kuwa kuna mambo alikosea.

Ila mabeberu yalimfinya ili kumuaibisha.

Ndio maana akaachia uongozi.

Akangatuka ili kukwepa aibu.

Kama wazungu wangemuacha Nyerere na mambo yake.

Tungekuwa mbali mno.
 
Back
Top Bottom