Raisi Mstaafu wa Zanzibar Dr Shein akitoa salamu Kuaga Mwili wa Raisi Mstaafu wa Mwinyi uwanja wa Amani Zanzibar asema Mwinyi alipangiwa kufundisha shule haina wanafunzi ikabidi awe anapita...
Wanzanzibari hawataki Muungano wanalazimishwa tu na huu ndio ukweli na wengi wao wanatamani ivunjike hata kesho. Na siku ikitokea Rais hata wa CCM zanzibar akataka Muungano ivunjwe nina uhakikia...
Kwa niaba yangu binafsi na wana Bunju tunashukuru mno kwa kambi uliyoweka zaidi ya wiki kutatua migogoro ya ardhi na kubwa zaidi ni kubeba timu zima kuhakikisha wananchi wana rasimisha ardhi zao...
Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe amekuwa miongoni mwa Watanzania waliofika Kwenye Uwanja wa Amani , huko Zanzibar kwa ajili ya kushiriki maziko ya Aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya Pili ...
Nilikuwa darasa la pili mwaka 1992, Shule ya msingi Bungo pale Morogoro mjini, nilipomuona kwa mara ya kwanza Rais Ali Hassan Mwinyi akishuka kwenye helkopta viwanja vya Gymkhana kuelekea uwanja...
Serikali ya CCM imekuwa ikitoa huduma kwa Watanzania wote bila kujali rangi, kabila, dini au eneo hilo viongozi wanatokana na chama gani.
Kuna majimbo mengi Wabunge wake waliwahi toka vyama...
Sitasahau Mei 2015 uwanja mzima wa Sheikh Amri Abeid, Arusha ukiimba "Lowassa Lowassa, Lowassa Lowassa, sitasahau ile picha Dr. Emmanuel Nchimbi na wengi wa wanachama wa CCM wakiimba "Tuna imani...
Binaadam yoyote akifa hana thamani tena ndani ya jamii
Hakuna anaekubali kulala na maiti ktk chumba kimoja hasa hio maiti iwe ya tajiri au kiongozi mkuu
Wakiondoka viongozi basi sisi wa chini...
Taarifa zilizopo ni kwamba RPC KAGERA ambaye ametoka Pwani na kupelekwa mkoa Kagera ndugu Wankyo nadhani kauli ya jana ya kuhitaji ukuu wa Jeshi la Polisi imemuungiza matatani hii imeonesha hana...
Wana-Ruangwa Wamshukuru Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb)
"Kwa muungwana ukweli kwake ni ibada. Ni ukweli Usiopingika kwamba, kwetu Wana Ruangwa...
MREMA NA MAENDELEO YA VUNJO 2010 - 2015
UTANGULIZI
Awali ya yote napenda kumshukuru mwenyezi mungu aliyenipa uhai, afya na nguvu kuweza kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha...
Tutamkumbuka mzee wetu Ally Hassan Mwinyi kwa kulielezea tatizo kubwa lililoathiri wengi, AIDS au UKIMWI.
Katika kuliekezea tatizo hilo, Mzee Mwinyi alitumia lugha rahisi iliyoeleweka kwa kila...
Habari za wakti huu?
Moja kati ya changamoto tunazokabiliana nazo kama TAIFA ni Tatizo au KERO ya RUSHWA hasa zile RUSHWA kubwa kubwa. Katika Pitapita mitandaoni na tafakari zangu nikakutana aina...
Katika dunia hii kuna watu wamebarikiwa sana. Na mamlaka hutoka kwa Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu akiamua kukupa mamlaka, kipaji, riziki anakupa tu kwa kupenda yeye mwenyewe bila kujali wewe una...
Nilikuwa na maswali yangu machache ya msingi kuhusu nchi yangu Tanganyika.
1. Wakati yanafanyika makabidhiano ya uhuru kutoka kwa Muingereza kuja kwetu kwa Watanganyika ni masharti gani...
Kujali afya ya binadamu mwenzio hata kama unafanya biashara na unatafuta hela ni muhimu sana.
Wafanyabiashara mnatuua bila huruma sisi waja wema. Nimefika Mbezi mwisho barabara inayokwenda...
Mojawapo ya mambo ambayo Rais Ali Hassan Mwinyi amesifiwa nayo sana hadi na wapinzani ni mabadiliko makubwa ya uchumi na mageuzi ya kisiasa aliyofanya.
Historia iko wazi kwamba kuanzia miaka ya...
Mimi sio mwandishi mzuri bali mjitahidi kusoma hivyo hivyo
Baada ya vita vya kagera hali ilikua mbaya sana kiuchumi na ukizingatia kipindi hicho ussr inapumulia machine kiuchumi
Wale wenye akili...
Wadau ni bora kuuliza kuliko kukaa Kimya.
Awamu ya Tano ya Dikteta Magufuli wakati inaingia Madarakani kwa mbwembwe zote ilitutangazia kuwa Tanzania ni ya Viwanda na Waziri TAMISEMI Mh. Jaffo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.