Mimi sikubaliani na wanasiasa wanaotaka kutuyumbisha kwa kutaka kutengeneza katiba mpya huu ni usanii, upuuzi na ufujaji wa mapato.
Tujikite kwenye katiba iliyopo tuboreshe maisha ya Watanzania...
Kwenye ukweli tuseme ukweli bora Mbowe kuliko mtu mwenye emotions za hovyo kama Heche asiye na staha, asiyefanya uchaguzi kabla ya kutamka, mtu mwenye jazba.
Heche hajui kiinua mgongo kinatoka na...
Huo ndio ukweli. survival ya Ccm inategemea katiba mbovu waliojifungia wenyewe wakaiandika. Leo wamekiri wenyewe kupitia mwenyekiti wao kuwa watu hatuijui katika ya sasa (japo twaijua).
CCM...
Siyo rahisi Watanzania kusubiri kuelemishwa kuhusu katiba. Wengi wetu tunajijua.....yaani tuache Ajira ya kubeti kweli. Kama ni kusubiri Kila mmoja kuelewa katiba basi ccm watatawala milele.
Basi...
Katika hotuba yake leo, miongoni mwao mambo aliyoyasema rais ni kuwa kuna watu wametumia mikutano ya kisiasa kuchambua dini za wengine, jambo ambalo lilimkera sana rais.
Je, ni kweli hilo...
Mpendwa Sizonje habari za siku, natumaini u buheri wa afya kibaiolojia japokuwa kiroho u tofauti.
Rafiki yangu Sizonje nakumbuka enzi zile tukijadili mpira ulivyokua hodari kumlaumu kocha...
Brazil ambayo ni Nchi Tajiri imetumia takribani miaka 30 Kukamilisha Ujenzi wa Sgr yake yenye urefu wa zaidi ya km 2200 ,Wakati huo huo Tanzania ambayo ni LDC eti inajitutumua kujenga Sgr ya...
Rais Samia! Alisema ameamua kukaa kimya kuhusu mkataba wenye utata wa Bandari na DP-WORLD. kulingana na tamko lake kwa umma wa Watanzania akiwa kanisani huko Arusha.
Ukweli ni kwamba ukimya wake...
Naungana kabisa na mheshimiwa Rais, kwenye suala la katiba hatupaswi kuwa na haraka kwa kujilinganisha na nchi nyingine.
Vivyo hivyo hata kwenye masuala ya ukusanyaji wa kodi hatupaswi...
Rais wa JMT,Mh Samia! Alisema ameamua kukaa kimya kuhusu mkataba wenye utata wa Bandari na DP-WORLD.kulingana na tamko lake kwa umma wa Watanzania akiwa kanisani huko Arusha.
Ukweli ni kwamba...
Leo jumatatu, Septemba 11, 2023 nimemsikia Rais wa Tanzania akisema hivi;
1. Anadai wanaotaka katiba mpya hawajui ni vifungu gani vibadilishwe
2. Anadai katiba haiwezi kuleta maendeleo
3. Kwa...
"Yaani leo Umfunge Baba yangu Gerezani,kisha Kesho Nije kukupigia Makofi?"
Nimeshangaa kwa kumsikia Rais Samia akiwapiga vijembe Chadema, ikiwa pia ni ishara ya kuonyesha kukerwa kwake na hatua...
Sote tuanelewa kwamba nchi yetu Rais ni kila kitu kwetu, hahojiwi na mbaya zaidi huwezi kumshtaki mahakama yoyote nchini, akiwa madarakani au baada ya kuachia madaraka.
Wananchi wa nchi hii...
Nilikuwa namaikiliza mzee Msuya kwenye mahojiano. Amekubali kuwa Chadema wanaweza kujenga hoja kwa sasa kuliko CCM. Huu mtindo wa kugeuza udini na matusi ni mbinu za CCM ambazo hazina ushahidi...
UKAWA walisusia Bunge la Katiba 2014 wakiwa wameshatia mfukoni kodi za Walalahoi wa nchi
Swali ni: Kama Katiba Mpya haiwezekani hadi Wananchi wote waelimishwe ilikuwaje UKAWA na ile Tume ya...
TUNDU LISSU AWASIFIA POLISI
Makamu mwenyejiti baada ya kupata dhamana jana, leo ameripoti kituo kikuu cha polisi jijini Arusha kama masharti ya dhamana yalivyotaka.
Makamu mwenyekiti Tundu...
Imekuwa kawaida sasa wanasiasa wa upinzani hasa CHADEMA wakikamatwa na polisi kwa makosa wanaihusisha CCM na kukamatwa kwao. Naona ipo haja ya kuwapeleka hawa watu mahakamani ili wathibitishe...
Raisi Samia sasa ameanza kuwa myeyushaji na mpotoshaji na hili ni la kusikitisha sana. Watanzania wamekuwa na hii katiba zaidi ya miaka 30 lakini ni zaidi ya miaka 10 sasa tunaongelea katiba mpya...
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ambaye amekuwa akikabiliwa mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na kuongoza genge la...
Rais Samia hivi hao waarabu walikushawishi na nini kiasi ukakubali kusaini mkataba mbovu wa IGA kati ya nchi yetu na kikampuni cha Dubai na kuweka rehani bandari zetu zote?
Wenzetu Idia kampuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.