wankuru nyankuru
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 491
- 763
Kutokana na utendaji kazi mzuri wa Lengai Ole Sabaya wakati akiwa Mkuu wa Wilaya Hai mkoani Kilimanjaro kuna haja ya mheshimiwa rais kumteua kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ili akapige kazi
Lakini pia wananchi wengi wametokea kumpenda Ole Sabaya kutokana na matendo na kazi nzuri aliyoifanya akiwa Mkuu wa Wilaya Hai.
Lakini pia wananchi wengi wametokea kumpenda Ole Sabaya kutokana na matendo na kazi nzuri aliyoifanya akiwa Mkuu wa Wilaya Hai.