johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,088
Mashirika yasiyokuwa na hospital zao walitibiwa kwa Dr Mvungi, Dr Mtawali,Burhani, Ibrahim Haji nk
Nakumbuka pale Samora avenue kwa Dr Mtawali mapokezi yake tu unaanza kupona
Siku Hizi ukiwa na Bima za Umma utaona jinsi ushirikiano unavyokuwa mdogo kuanzia Mapokezi hadi Chumba cha sindano
Nawatakieni Sabato Njema 😀
Nakumbuka pale Samora avenue kwa Dr Mtawali mapokezi yake tu unaanza kupona
Siku Hizi ukiwa na Bima za Umma utaona jinsi ushirikiano unavyokuwa mdogo kuanzia Mapokezi hadi Chumba cha sindano
Nawatakieni Sabato Njema 😀