Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Soma Shairi ilo Mlikuwa wapi? Enyi wasomi Mlikuwa wapi? Uhuru wetu ukiminywa Mlikuwa wapi? Mliosoma kwa jasho letu Mliopanda ngazi kupitia mabega zetu Mlikuwa wapi? Ardhi yetu ikiporwa...
2 Reactions
1 Replies
657 Views
Ni kweli CHADEMA kunafukuta Chadema Kuna Mgogoro Kati ya Lissu na Mbowe !! Lakini pia tusisahau kuwa kuna migogoro mingine [emoji116] Kuna mgogoro kati ya Lema na Mbowe, hali inamfanya Lema...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Kiongozi mmoja wa CCM amesema taarifa za kiintelejensia ya Siasani zimethibitisha kuwa Chadema imemeguka Vipande Viwili yaani Chadema Ufipa st na Chadema Mikocheni Kiufupi Chadema si Wamoja tena...
6 Reactions
66 Replies
4K Views
Na ieleweke hivyo,ameyasema hayo tena kwa kurudia.wakati akijibu maswali mbalimbali kutoka kwa washiriki wa Club House jana. Ni baada ya tangazo la la serikali kumvua hadhi ya ubalozi...
8 Reactions
24 Replies
2K Views
SERIKALI ya Marekani imeahidi kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, kama Tanzania itakubali kupokea msaada huo. Taarifa hiyo imetolewa leo Alhamisi, tarehe 12 Mei...
13 Reactions
150 Replies
13K Views
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material. Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa...
15 Reactions
160 Replies
8K Views
Askofu Bagonza: Kuhusu Katiba mpya tayari maoni ya Wananchi yalishakusanywa na Tume ya Jaji Warioba na Kikosi Kazi cha Prof Mkandala kimejazilizia, tuanzie hapo. Askofu Mwamakula: Ni muhimu...
15 Reactions
21 Replies
3K Views
Wengine wamechipuka tu, wakaona dunia ndio hii hapa, wakawa kama kipofu kaona jogoo, kila unachomwambia, kama jogoo? Kama jogoo? Kumbe aliona jogoo macho yakafumba tena, kwa hiyo anachokijua...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Akichangia Mjadala Katika Kipindi cha Minzani Kilichorushwa mubashara na TBC Kilichowajumuisha pia Shehe Salim Aliyekuwa Shehe mkuu Wa Dsm, Hamadi Rashid M/kiti Wa ADC na Mkongwe Steven Wasira...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Mmewakamata asubuhi kwa makosa ya usalama barabarani, Yes ni sahihi kabisa, lakini kwanini mnafanya oparesheni kwa matukio. Leo mmeendesha oparesheni ya kihuni kwa kisingizio kwamba mwenzao Jana...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Kodi za Mtanzania hazijawahi kuheshimiwa na hii kwa kuwa kitabu alichokiita mama kinatoa Mwanya huo. Ukiangalia katiba ya JMT ibara ya 137.-(1) Rais atatoa maagizo kwa watu wanaohusika kuandaa na...
2 Reactions
2 Replies
662 Views
Kwema Wakuu! Nimeona tujadili Jambo hapa kuhusu baadhi ya kauli za Watu hasa viongozi wa kisiasa wanaposema vitabu vitakatifu, sijajua wanazungumzia vitabu vipi. Na hivyo vitabu...
0 Reactions
1 Replies
506 Views
LIPUMBA MWAMBA SIASA ZA TANZANIA Nisiwachoshe wadau picha inajieleza huyu hapa msomi mahiri na mwamba wa siasa upinzani wa kweli acha hawa wengine wanaropoka ovyoovyo tu. Viva Lipumba, viva Tanzania.
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Nchi hii ina MAAJABU, Tunatarajia kuwa na DARASA la Watu MIL.62 kwa Muda wa Mìaka 3 kusomea KATIBA haya ni MAAJABU MAKUBWA kupata kutokea. KATIBA ILIYOPO hakuna hata MTANZANIA mmoja alienda...
1 Reactions
1 Replies
752 Views
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, leo Septemba 12, 2023 amezungumzia wajibu wa familia na jamii kwenye kudhibiti mmomonyoko wa maadili dhidi...
4 Reactions
60 Replies
3K Views
Wakati akiwa anahitimisha kutoa neno leo katika yake katika mkutano maalum wa vyama vya siasa leo tarehe 13/9/2023 ambapo ni siku ya tatu, Bwana Deus Kibamba alisema; "Mh. Mwenyekiti naomba...
5 Reactions
9 Replies
3K Views
Rais wa Awamu ya 4 na Mwenyekiti wa CCM Alianzisha Mchakato wa kuwapatia WATANZANIA KATIBA MPYA na hoja KUBWA ikiwa ni Kutokana na Mambo mengi Yamebadilika yanahitaji pia Mabadiliko ya Kikatiba...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Kama ilivyokuwa wakati wa mwisho wa utawala wa kikwete ,kugeukwa wabunge na watu wenye nguvu ndani ya CCM maana Kwa sasa wameweka vichwa chini kusubilia teuzi hasa UBUNGE 2025 (wanaogopa kukatwa)...
11 Reactions
91 Replies
6K Views
Kinachopingwa ni CCM kwa uwezo wake dhaifu wa kuendesha Serikali ya nchi yetu na hakuna mtu anayeipinga Serikali. Serikali ni yetu sisi sote bali CCM ni chama chao wao wenye kupenda kuitumia...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama va Siasa na Wadau wa Demokrasia katika ukumbi wa JNICC leo tarehe 11 Septemba, 2023 katika...
11 Reactions
257 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…