Mlio karibu na Tundu Lissu mumkanye aache mara moja kuropoka ropoka!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.

Kwa sasa chawa mko kwenye panicking mode. Lisu ashikilie hapohapo, chawa mmeeanza kunyoosha maelezo baada ya honey moon kuisha.
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Uliwahi kuona kichaa akiona mabaya ya kichaa mwenzie? Kwa mfano kichaa yupo uchi kichaa mwenzie akamwambia avae nguo? Hao wanafanana akili mkuu.
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.

Hamna ushauri wowote Kwa ndugu zenu wenye kumfanana huyu?

F5z0HkaWQAAKRmD.jpeg
 
tundu lisu hawezi kwenda against samia hata siku moja haitotokea kwa maana wote ni wamoja matter of fact tundu lisu yupo kuhakikisha utawala wa samia anafanikiwa kama mnaamini vinginevyo mtakuja kushangaa, wote wana bosi mmoja, ukiona anaenda kinyume kidogo ujue ni kwamba amehisi amesahaulika sasa anawakumbusha hey mbona mnanisahau? wakimkumbuka wakamkatia kimya anadakia hoja nyingine, ukitaka kujua hili angalia hakuna hoja anayoenda nayo mpaka mwisho anadakia tu na kuishia kati kati baada ya kupewa hela, wote ni wamoja wametoka mbali hakuna mpinzani hapo.

mpinzani wa kweli anapewa kesi ya uhaini na kusurubiwa na dola…
 
Ndugu Rutashuba Nyuma bandiko lako linaonesha jinsi ulivyo nyuma kama jina lako!! T.L amewashika pabaya, na kwa sasa ndio tumaini pekee walilo nalo Watanzania!

Kama concern yako ni IDADI ya wamasai kule NGORONGORO, hiyo concern ihamishie Zanzibar kwanza, maana ni eneo dogo lenye limitation ya ardhi, lakini idadi ya Wazanzibar wa mwaka 1959 ni ndogo sana ukilinganisha na idadi ya Wazanzibar wa mwaka 2023
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Tafuta mume wewe unapitwa na vingi!!
Wenzio wake zetu hawana hasira kama wewe.
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Mbona wewe ndiye unaropoka hapa
 
tundu lisu hawezi kwenda against samia hata siku moja haitotokea kwa maana wote ni wamoja matter of fact tundu lisu yupo kuhakikisha utawala wa samia anafanikiwa kama mnaamini vinginevyo mtakuja kushangaa, wote wana bosi mmoja, ukiona anaenda kinyume kidogo ujue ni kwamba amehisi amesahaulika sasa anawakumbusha hey mbona mnanisahau? wakimkumbuka wakamkatia kimya anadakia hoja nyingine, ukitaka kujua hili angalia hakuna hoja anayoenda nayo mpaka mwisho anadakia tu na kuishia kati kati baada ya kupewa hela, wote ni wamoja wametoka mbali hakuna mpinzani hapo.

mpinzania wa kweli anapewa kesi ya uhaini na kusurubiwa na dola…
..
IMG_2941.jpg
 
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.

Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa wapinzani wake wa kisiasa pia hana majibu ya matatizo yaliyopo.

Ukikosoa kwamba mkakati huu haufai njoo na mbadala wake.

Yeye kwa mtazamo wake anajidanganya ataaminika kwa kukejeli jitihada za wenzie kutatua matatizo na hivyo ataaminika kuwa ana majibu sahihi!

Hatuendi hivyo hata chembe.

Ukikosoa lazima utupe mbadala au kaa kimya.

Tutaangaza mambo mawili.

Mara nyingi nimeshauri shida yetu siyo katiba bali sheria zilizotungwa kutimiza azma ya katiba.

Vuguvugu la katiba mpya limeshindwa kabisa kuona hilo.

Matokeo yake nguvu nyingi inapotezwa kwenye jambo ambalo halina mushkeli.

Ukiisoma vizuri katiba yetu hakuna mahali panasema wakurugenzi wa majiji na Halmashauri wasimamie chaguzi zetu. Hilo utalikuta kwenye sheria za uchaguzi. Sasa hapo tatizo ni katiba au sheria za uchaguzi. Katiba iko wazi ya kuwa Tume ya uchaguzi itasimamia chaguzi zetu sasa kosa la katiba liko wapi?

Ukija swala la kuhamishwa kwa wamasai wa Ngorongoro ni kuwa hoja za Tundu Lissu hazina mashiko hata chembe.

Kulinganisha athari za tembo au nyumbu na wamasai ni kutojua kiini cha tatizo.

Idadi ya wanyama haibadiliki sana kutokana na changamoto wanazokutana nazo lakini wamasai wa tarafa ya Ngorongoro wanakabiliana na mambo tofauti.

Idadi ya wamasai ya mwaka 1959 wakati mkoloni anawapatia hiyo tarafa walikuwa takribani elfu 9 tu leo tunaongelea wako zaidi ya laki moja.

Idadi ya nyumbu au wanyama wengine ya mwaka 1959 na sasa hazina tofauti kubwa kwa hiyo hakuna madhara kwa mazingira kutokana na uwepo wao.

Hivyo, Tundu Lissu anapolinganisha athari za wanyamapori na wanadamu anathibitisha hajui analoliongea.

Wamasai wa mwaka 1959 hawakuwa wanajenga kwa simenti na mabati bali walikuwa wanatumia kuni na kusiliba na vinyesi vya ng'ombe ni dhahiri athari za kimazingira ni kubwa kwa makazi ya wamasai wa leo ulilinganisha wakati wa mkoloni.

Kuhusu khoja yake ya ujenzi wa mahoteli anasahau upo mpango wa kuthibiti idadi ya mahoteli ili yasiathiri mazingira na kubwa zaidi Ngorongoro ni hazina na urithi wa dunia siyo wa wamasai na watanzania pekee yetu. Hivyo mbali ya hoja ya mapato ni muhimu watalii waweze kufika, kutembelea na kusitirika wakati wakiwa kwenye maeneo hayo.

CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA.

Yapo makosa yaliyofanyika ya kuwahamishia wamasai Handeni wakati ukiachana na Tarafa ya Ngorongoro yenye misuguano mikali kati ya mwanadamu na mazingira zipo kata mbili ndani ya wilaya ya Ngorongoro ambazo hazina haya.

Tarafa hizo ni za Sonjo na Loliondo. Swali ambalo kamwe serikali haitakaa kuzijibu ni kwanini wahamishiwe Handeni badala ya Sonjo na Loliondo?

Handeni ni ukame na hakuna malisho na pia ipo migogoro ya ardhi. Sasa ukakasi wa kuwahamishia tarafa tajwa unatoka wapi ambako kimazingira ni sawasawa tu na Tarafa ya Ngorongoro.

Huo ndiyo mjadala tungependa tuwe nao siyo tulee matatizo ambayo yanaendelea kukua bila ukomo. Maeneo ya wanyamapori yasipolindwa tutahatarisha hata maisha yetu. Vianzo vya maji, misitu na uoto wa aina zote hutegemea uwepo wa wanyamapori na ongezeko la idadi ya watu, kilimo na makaazi ni tishio ya maisha ya mwanadamu.

Kwa hiyo, tunahitaji kuwalinda wanyamapori ili kuyalinda maisha yetu wenyewe kwani upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya uwepo wetu na wanyamapori.
Unampangia wew kama nani chawa au au umetumwa mwambie alie kutuma ashindwe na alegee ikiwezekana afe kibudu🚮
 
Back
Top Bottom