Wengine wamechipuka tu, wakaona dunia ndio hii hapa, wakawa kama kipofu kaona jogoo, kila unachomwambia, kama jogoo? Kama jogoo? Kumbe aliona jogoo macho yakafumba tena, kwa hiyo anachokijua duniani ni jogoo tu.
View: https://youtu.be/xvzea3alrRg?t=1293
Sasa dunia ya leo upeo wa watu kuheshimu watu wenye ulemavu umeongezeka, ndio maana hata neno vipofu halitumiwi kwenye mazungumzo rasmi na ya watu walioelimika. Kiongozi hategemewi kwenye hotuba mbele ya Taifa kutumia mifano ya kuwafanya walemavu wajisikie kama watu washamba, hawajawahi kuiona dunia kwa mapana yake, na wasio na hadhi yeyote, kwa sababu tu ya maumbile yao. Maumbile ambayo wao hawakuyachagua. Rais wetu hakika una exposure kubwa ya kutembea duniani, you know better, and should do better.
Rais Samia tafadhali watake radhi Watanzania wenye ulemavu wa macho.
View: https://youtu.be/xvzea3alrRg?t=1293
Sasa dunia ya leo upeo wa watu kuheshimu watu wenye ulemavu umeongezeka, ndio maana hata neno vipofu halitumiwi kwenye mazungumzo rasmi na ya watu walioelimika. Kiongozi hategemewi kwenye hotuba mbele ya Taifa kutumia mifano ya kuwafanya walemavu wajisikie kama watu washamba, hawajawahi kuiona dunia kwa mapana yake, na wasio na hadhi yeyote, kwa sababu tu ya maumbile yao. Maumbile ambayo wao hawakuyachagua. Rais wetu hakika una exposure kubwa ya kutembea duniani, you know better, and should do better.
Rais Samia tafadhali watake radhi Watanzania wenye ulemavu wa macho.