kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,314
- 8,306
Akichangia Mjadala Katika Kipindi cha Minzani Kilichorushwa mubashara na TBC Kilichowajumuisha pia Shehe Salim Aliyekuwa Shehe mkuu Wa Dsm, Hamadi Rashid M/kiti Wa ADC na Mkongwe Steven Wasira.
Askofu Kilaini Amesema Si vyema Viongozi wa Dini Kutumia Mimbari Ukiwa bado umevaa Cheo chako au Joho lako la kichungaji Kuhubiri Siasa hasa Ukiwa Una Tiketi ya Chama fulani.
Lakini ni Wajibu Kamili Kukemea Uvunjivu Wa Maadili,Kutetea Uadilifu kwa wananchi na Hasa hasa Viongozi kwa Maslahi Mapana ya Wote kwenye nchi.
Nalo hilo muende mkalitazame!
Askofu Kilaini Amesema Si vyema Viongozi wa Dini Kutumia Mimbari Ukiwa bado umevaa Cheo chako au Joho lako la kichungaji Kuhubiri Siasa hasa Ukiwa Una Tiketi ya Chama fulani.
Lakini ni Wajibu Kamili Kukemea Uvunjivu Wa Maadili,Kutetea Uadilifu kwa wananchi na Hasa hasa Viongozi kwa Maslahi Mapana ya Wote kwenye nchi.
Nalo hilo muende mkalitazame!