USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Kama ilivyokuwa wakati wa mwisho wa utawala wa kikwete ,kugeukwa wabunge na watu wenye nguvu ndani ya CCM maana Kwa sasa wameweka vichwa chini kusubilia teuzi hasa UBUNGE 2025 (wanaogopa kukatwa)
Makovu ya uchaguzi wa 2025 yatakuwa dhahiri huku kukiwa na wakosoaji wa Samia walioenguliwa kwenye kura za maoni kama alivyosema Mzee kinana kuwa kupata kura nyingi sio kigezo watakukata tu .
Madeni mengi ya kitaifa yatakuwa yamepevuka (matured) na deni kuwa Kwa kasi huku fedha za kigeni kukosekana kabisa .
Ukosefu wa ajira na kutokukamilika Kwa upatikanaji wa katiba litaleta msisimuko wa kutowajibika kwa Rais Samia.
Uzembe kazini rushwa kubwa kwenye miradi ya serkali ambayo itakuwa haijakmilika licha ya kutoa pesa itakuwa hatari kwake .
Mawaziri walioenguliwa kwenye baraza tangu mama aingie madarakani watakuwa mwiba wakijiandaa na ndoto zao za kugombea Urais hata nje ya chama huku mwito wa upinzani ujiwaita wajiunge .
Miradi ya kimkakati ya magufuli kama bwawa la umeme na treni litakuwa Bado sana na kuzua maswali huku hasara za ATC kuwa mama ameshindwa hata kusimamia .
Karibu 2025-2030
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Makovu ya uchaguzi wa 2025 yatakuwa dhahiri huku kukiwa na wakosoaji wa Samia walioenguliwa kwenye kura za maoni kama alivyosema Mzee kinana kuwa kupata kura nyingi sio kigezo watakukata tu .
Madeni mengi ya kitaifa yatakuwa yamepevuka (matured) na deni kuwa Kwa kasi huku fedha za kigeni kukosekana kabisa .
Ukosefu wa ajira na kutokukamilika Kwa upatikanaji wa katiba litaleta msisimuko wa kutowajibika kwa Rais Samia.
Uzembe kazini rushwa kubwa kwenye miradi ya serkali ambayo itakuwa haijakmilika licha ya kutoa pesa itakuwa hatari kwake .
Mawaziri walioenguliwa kwenye baraza tangu mama aingie madarakani watakuwa mwiba wakijiandaa na ndoto zao za kugombea Urais hata nje ya chama huku mwito wa upinzani ujiwaita wajiunge .
Miradi ya kimkakati ya magufuli kama bwawa la umeme na treni litakuwa Bado sana na kuzua maswali huku hasara za ATC kuwa mama ameshindwa hata kusimamia .
Karibu 2025-2030
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app