Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha, Mhe. Catherine Magige ameshiriki kwenye Baraza la UWT Wilaya ya Monduli ambapo amechangia vifaa vya ujenzi ikiwemo Mifuko ya Saruji na Mashine ya kuchapisha...
Ndugu zangu siku zote uwa nawauliza mnaotaka tuombee DRC mnataka tuombee nini? Wengi wenu ukimbilia kuombe amani uwa nauliza sababu za kutokuwepo kwa Amani mnazijua?
Leo nataka kuwasaidia...
Hebu fikiri eti akina Mdude, Slaa na Mwabukusi eti wanatoa tamko la maandamano Leo. Kwa tuliojaliwa kuwa na akili tayari huo ni mpasuko mkubwa kwa vyama vya upinzani kwamba wameishiwa pumzi sasa...
Habari mkurugenzi,
Ni matumaini yangu umzima wa afya ukiendelea kuchapa kazi barabara ili kuwaletea wana Geita mjini maendeleo.
Ndugu mkurugenzi husika, kama ada,linapotokea jambo ambalo sisi...
Mbunge wa Jimbo la Ndanda Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara, Mhe. Cecil Mwambe, amewataka wananchi wa Chikunja na Likuredi wajitokeze kwa wingi kumlaki Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan atakapokuwa...
Utulivu wa Serikali za kidemokrasia umekuwa ukitaabishwa sehemu mbalimbali kutokana na uwezo wao mdogo wa kutoa Usalama wa Kiuchumi kwa Raia wao
Kutokana na Serikali nyingi kushindwa kutimiza...
Siku ya Kimataifa ya Demokrasia huadhimishwa Septemba 15 kila mwaka kwa lengo la kuangazia hali ya Demokrasia duniani kote, Kuhimiza harakati za Kidemokrasia na Kukuza Uhuru, Amani na Haki za...
Hii inaharibu kazi yote aliyofanya Mwalimu Nyerere. Wiki chache kabla ya kuadhimisha Nyerere Day, watu wanafanya mashindano ya kurudisha kadi za CCM.
Matatizo yakitokea yanapaswa kujadiliwa. Vipo...
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Mary Chatanda akiambatana na Makamu Mwenyekiti Zainab Shomari wakimuombea kura Mgombea wa CCM Jimbo la Mbarali Mkoani Mbeya Bahati Ndingo katika...
NAANZA NA MASWALI
1. Je uliwahi kusikia makamu wa Rais amemtumbua mtumishi hata walio kwenye wizara zilizo chini ya ofisi zake?
2. Kwa kuwa makamu wa Rais naye ni sehemu ya urais je uliwahi...
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Rehema Sombi amepokea vifaa mbalimbali vya kiofisi vilivyotolewa na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kuunga mkono juhudi za serikali ya...
JF hakuna jibu linakosekana humu ndani watalaam wa mifumo yote ya Serikali wanaijua sasa mimi napenda kusimuliwa juu ya mchakato wa kuzipatia pesa za matumizi ofisi za umma kwa ajili ya activities...
Ni muda muafaka sasa umefika CCM iruhusu ushindani kwa wagombea Urais ndani ya Chama.
Vile vile, kofia ya Urais na ya MwenyeKiti wa CCM Taifa itanganishwe ili iwe rahisi kwa Chama kuisimamia...
DC LUDEWA AZINDUA KITUO CHA AFYA NA ZAHANATI
Na. Damian Kunambi, Njombe.
Mkuu wa wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amezindua kituo cha afya Mundindi kilichogharimu kiasi cha zaidi ya sh. Mil...
MBUNGE AGENS MARWA ACHANGIA UJENZI NYUMBA YA KATIBU UWT MKOA WA MARA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Agnes Marwa amekabidhi mifuko 10 ya Saruji katika ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UWT...
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu.
Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa, Dotto Biteko anaonekana ndie...
Taasisi ya kusajili makampuni ya BRELA inafanya kazi bila weledi. Rushwa, uzembe na dharau kwa wateja vimetawala. Tafadhali mheshimiwa rais shughulika na watendaji wabovu BRELA.
Hi JF Members,
Rejea mada tajwa hapo juu, yahusika.
Kusudi la kuandika article hii, ni kuwaelimisha wanasiasa na jamii kwa ujumla kutokuwafanyia wengine vile ambavyo wao wenyewe hawapendi...
Nishati ndiyo roho ya taifa lo lote. Uchumi na ustawi wa nchi hutegemea upatikanaji wa kutosha na wa bei nafuu wa nishati. Uharibifu wa tabia nchi unatokana kwa kiasi kikubwa na ukataji miti kwa...