Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,900
- 944
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha, Mhe. Catherine Magige ameshiriki kwenye Baraza la UWT Wilaya ya Monduli ambapo amechangia vifaa vya ujenzi ikiwemo Mifuko ya Saruji na Mashine ya kuchapisha (Photocopy Machine), kwaajili ya kukamilisha ukarabati wa Ofisi ya Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Monduli.
Pia, Mhe. Catherine Magige akiwa Wilaya ya Monduli ametoa vitendea kazi vikiwemo Mitungi ya gesi na Miamvuli kwa wakina Mama wafanyabiashara wadogo wadogo katika soko la Monduli Mjini
Vilevile, Mhe. Catherine Magige amezungumza kwa njia ya simu na Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso kuhusu changamoto ya Maji ndani ya Monduli huku Waziri wa Maji akiahidi kuitatua changamoto hiyo na kumpongeza Catherine Magige kwa ufuatiliaji mzuri wa utekelezaji wa miradi ya Maji.
Aidha, Catherine Magige ameshiriki kwenye Baraza Maalum la UWT Wilaya ya Arumeru ambapo ametoa mitungi ya gesi kwa wajumbe wote wa Baraza la UWT Wilaya ya Arumeru pia amechangia vifaa vya ujenzi kwaajili ya ukarabati wa Ofisi ya UWT Wiliyani hapo pia ametoa Mashine ya kuchapisha (Photocopy Machine) kwaajili ya Ofisi hiyo na kutembelea soko la Sanawari ya juu na kukutana na wanawake wajasiriamali na kuwapatia miamvuli kwaajili ya biashara.
Pia, Mhe. Catherine Magige akiwa Wilaya ya Monduli ametoa vitendea kazi vikiwemo Mitungi ya gesi na Miamvuli kwa wakina Mama wafanyabiashara wadogo wadogo katika soko la Monduli Mjini
Vilevile, Mhe. Catherine Magige amezungumza kwa njia ya simu na Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso kuhusu changamoto ya Maji ndani ya Monduli huku Waziri wa Maji akiahidi kuitatua changamoto hiyo na kumpongeza Catherine Magige kwa ufuatiliaji mzuri wa utekelezaji wa miradi ya Maji.
Aidha, Catherine Magige ameshiriki kwenye Baraza Maalum la UWT Wilaya ya Arumeru ambapo ametoa mitungi ya gesi kwa wajumbe wote wa Baraza la UWT Wilaya ya Arumeru pia amechangia vifaa vya ujenzi kwaajili ya ukarabati wa Ofisi ya UWT Wiliyani hapo pia ametoa Mashine ya kuchapisha (Photocopy Machine) kwaajili ya Ofisi hiyo na kutembelea soko la Sanawari ya juu na kukutana na wanawake wajasiriamali na kuwapatia miamvuli kwaajili ya biashara.