Ni kama Dotto Biteko kaanza kupewa heshima zaidi ya uwaziri mkuu kuzidi Majaliwa, hii haiwezi kuleta msuguano?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu.

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa, Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yaani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa

Naona meza yaweza kupinduliwa Majaliwa awe Naibu na Biteko awe waziri mkuu.
 
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa inavyoendelea Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushaweishi zaidi kuliko Majaliwa

Hii haiwezi kuleta mkanganyiko ??


Bitego kasema tatizo kubwa ni kwamba Watanzania tunafikiri personality kuliko kazi. Badala ya kuulizia kazi yake na majukumu ya naibu waziri mkuu unatumia muda kutafuta drama🤔😂 hao ndiyo wabongo
 
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa inavyoendelea Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushaweishi zaidi kuliko Majaliwa

Hii haiwezi kuleta mkanganyiko ??
Kuna mgogoro unatengenezwa makusudically kisa DPW

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya hivi wewe ndio sokoni bingwa wa kuuza bidhaa na Kila mtu anakujua anakuogopa halafu anaingia mpinzani sokoni kukupunguzia soko na yupo peke yake.
Kama wewe una roho ulitaka nini
 
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa

Hii haiwezi kuleta mkanganyiko ??
Wewe inakuhusu nini? Kwani hujui Kwa ni msaidizi wa PM?
 
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa

Hii haiwezi kuleta mkanganyiko ??
Upumbavu.Kwahy?Majaliwa atabaki kuwa Majaliwa na Biteko anabaki kuwa Biteko.

Acheni uzushi
 
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa

Naona meza yaweza kupinduliwa Majaliwa awe Naibu na Biteko awe waziri mkuu
Mbona wewe ni mchambuzi mzuri ,imekuwaje ?!!!

PM ana idadi ya walinzi wa karibu zaidi ya 10....leo Mh.Biteko alikuwa nao 8 tu.....

Mkuu karibu Komoni hapa ubandani kwa mama Lili Majohe

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
🐒🐒🐒
16625309217624.jpg
 
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa

Naona meza yaweza kupinduliwa Majaliwa awe Naibu na Biteko awe waziri mkuu
Majaliwa analindwa na sungusungu
 
Back
Top Bottom