Kwanini tusikiondoe cheo cha Makamu wa Rais tu?

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,666
NAANZA NA MASWALI

1. Je uliwahi kusikia makamu wa Rais amemtumbua mtumishi hata walio kwenye wizara zilizo chini ya ofisi zake?

2. Kwa kuwa makamu wa Rais naye ni sehemu ya urais je uliwahi kusikia wapi kuwa yeye ndie amemshauri Rais kuwa waziri hata wale walio katika wizara za ofisi yake?

3. Kwa kuwa Waziri Mkuu, waziri au Makatibu Wakuu hutoa karipia na kusimamisha wazembe na mafisadi uliwahi kuona wapi makamu wa Rais naye kafanya?

4. Je kazi ya Makamu wa Rais ni kula Bata tu na kuwa minimum tour nje ya nchi ?

5.Je tuondoe cheo Cha makamu wa Rais kwenye mabadiliko ya katiba.

Hapa Tanzania kazi ya makamu wa Rais ni kutembea na mkasi kwenye gari kwenda kutaka utepe kufungu,kuzindua,kuweka mawe ya msingi kwenye miradi badala ya kufanya majukumu ya msingi Rais .

Ziara za makamu wa Rais Tanzania hazina kishindo wanazidiwa pawa za ki-kiamri na ma-RC ,manaibu waziri na hata makatibu wakuu huko mikoani , tangu enzi wa makamu hayati DK Omary All Juma labda yeye alijaribu hata kupigwa mkwara hawa wa sasa ni kichekesho na ndio maana waziri mkuu analemewa kipindi Rais akiwa slow kama Rais Samia Saluhu alivyo huko mikoani ni wizi ,uzembe na utoro tu ndio sababu za kuwa na waziri mkuu msasidizi Ili angalau ziara za kutafutana zionekane .

Kwa kuwa makamu wa Rais wengi wametokea ZANZIBAR hii ilidhaniwa kuwa ndio sababu ya kuwa waoga ,kutojiamni na kujikalia kimya ,kipindi hiki tuko na mbara mwenzetu lakini wapi .

Hapa Tanzania kama unakosa sio jambo la kuogopa kiutwa na makamu wa Rais kama unatakavyo ogopa kuitwa na waziri mkuu,waziri,naibu waziri,katibu au naibu katibu mkuu ,nani anahofu ya kuitwa na VP

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Nyie ndo mnafnya Tuonekane hatujui katiba 🤣🤣🤣🤣
Mpaka tunaambiwa tule msuli wa miaka mitatu.

Mkuu USSR Kweli wewe ni wa kuulizia kazi ya Makamu wa Rais huu ni mtego wallah...

..Mkuu kazi za Makamu wa Rais mbona ziko wazi kabisa soma katiba kuanzia Ibara ya 47.

Screenshot_20230914-200243.png
 
1. Kutumbua na kuteua ni wajibu wa kikatiba, kama VP hatumbui wala hateui basi katiba haijampa wajibu huo na kufanya hivyo kinyume Cha katiba ni kuvunja katiba.

2. Katiba inamtambua VP kama mshauri na msaidizi mkuu wa Rais hivyo hata kama hujawahi kuona wala kusikia akitoa ushauri hadharani tambua huwa anafanya hivyo.

3. Kama nilivyojibu kwa swali la kwanza, swali hili jibu ni lile lile, VP yupo kikatiba hawezi kwenda kinyume nayo.

4. Kazi za VP ni kubwa zaidi kuliko hata aliyonayo Waziri mkuu maana yeye ndio msaidizi na mshauri mkuu wakati Waziri mkuu ni mtekelezaji na msimamizi.

5. Hapana, nafasi ya Umakamu wa Rais haitakiwi kufutwa Kwa sababu ya uzito na umuhimu wake katika kuleta utulivu wa kisiasa. Hebu firkira kusingekuwa na nafasi ya Umakamu wa Rais Kwa kilichotokea machi 17 ingekuwaje?
 
NAANZA NA MASWALI

1.Je uliwahi kusikia makamu wa Rais amemtumbua mtumishi hata walio kwenye wizara zilizo chini ya ofisi zake ?

2. Kwa kuwa makamu wa Rais naye ni sehemu ya urais je uliwahi kusikia wapi kuwa yeye ndie amemshauri Rais kuwa waziri hata wale walio katika wizara za ofisi yake ?

3.Kwa kuwa waziri mkuu, waziri au makatibu wakuu hutoa karipia na kusimamisha wazembe na mafisadi uliwahi kuona wapi makamu wa Rais naye kafanya?

4.Je kazi ya makamu wa Rais ni kula Bata tu na kuwa minimum tour nje ya nchi ?

5.Je tuondoe cheo Cha makamu wa Rais kwenye mabadiliko ya katiba.


Hapa Tanzania kazi ya makamu wa Rais ni kutembea na mkasi kwenye gari kwenda kutaka utepe kufungu,kuzindua,kuweka mawe ya msingi kwenye miradi badala ya kufanya majukumu ya msingi Rais .

Ziara za makamu wa Rais Tanzania hazina kishindo wanazidiwa pawa za ki-kiamri na ma-RC ,manaibu waziri na hata makatibu wakuu huko mikoani , tangu enzi wa makamu hayati DK Omary All Juma labda yeye alijaribu hata kupigwa mkwara hawa wa sasa ni kichekesho na ndio maana waziri mkuu analemewa kipindi Rais akiwa slow kama Rais Samia Saluhu alivyo huko mikoani ni wizi ,uzembe na utoro tu ndio sababu za kuwa na waziri mkuu msasidizi Ili angalau ziara za kutafutana zionekane .

Kwa kuwa makamu wa Rais wengi wametokea ZANZIBAR hii ilidhaniwa kuwa ndio sababu ya kuwa waoga ,kutojiamni na kujikalia kimya ,kipindi hiki tuko na mbara mwenzetu lakini wapi .

Hapa Tanzania kama unakosa sio jambo la kuogopa kiutwa na makamu wa Rais kama unatakavyo ogopa kuitwa na waziri mkuu,waziri,naibu waziri,katibu au naibu katibu mkuu ,nani anahofu ya kuitwa na VP

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
CHEO HICHO NI NGAŹI YA KUUPATA URAIS
 
NAANZA NA MASWALI

1. Je uliwahi kusikia makamu wa Rais amemtumbua mtumishi hata walio kwenye wizara zilizo chini ya ofisi zake?

2. Kwa kuwa makamu wa Rais naye ni sehemu ya urais je uliwahi kusikia wapi kuwa yeye ndie amemshauri Rais kuwa waziri hata wale walio katika wizara za ofisi yake?

3. Kwa kuwa Waziri Mkuu, waziri au Makatibu Wakuu hutoa karipia na kusimamisha wazembe na mafisadi uliwahi kuona wapi makamu wa Rais naye kafanya?

4. Je kazi ya Makamu wa Rais ni kula Bata tu na kuwa minimum tour nje ya nchi ?

5.Je tuondoe cheo Cha makamu wa Rais kwenye mabadiliko ya katiba.

Hapa Tanzania kazi ya makamu wa Rais ni kutembea na mkasi kwenye gari kwenda kutaka utepe kufungu,kuzindua,kuweka mawe ya msingi kwenye miradi badala ya kufanya majukumu ya msingi Rais .

Ziara za makamu wa Rais Tanzania hazina kishindo wanazidiwa pawa za ki-kiamri na ma-RC ,manaibu waziri na hata makatibu wakuu huko mikoani , tangu enzi wa makamu hayati DK Omary All Juma labda yeye alijaribu hata kupigwa mkwara hawa wa sasa ni kichekesho na ndio maana waziri mkuu analemewa kipindi Rais akiwa slow kama Rais Samia Saluhu alivyo huko mikoani ni wizi ,uzembe na utoro tu ndio sababu za kuwa na waziri mkuu msasidizi Ili angalau ziara za kutafutana zionekane .

Kwa kuwa makamu wa Rais wengi wametokea ZANZIBAR hii ilidhaniwa kuwa ndio sababu ya kuwa waoga ,kutojiamni na kujikalia kimya ,kipindi hiki tuko na mbara mwenzetu lakini wapi .

Hapa Tanzania kama unakosa sio jambo la kuogopa kiutwa na makamu wa Rais kama unatakavyo ogopa kuitwa na waziri mkuu,waziri,naibu waziri,katibu au naibu katibu mkuu ,nani anahofu ya kuitwa na VP

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Haya tumekusikia.

Nakushauri fikisha ushauri wako tume ya maridhiano ambayo ipo mbioni kukusanya maoni ya katiba.

Kama huwezi mfikishie mbunge wako ushauri wako.
 
1. Kutumbua na kuteua ni wajibu wa kikatiba, kama VP hatumbui wala hateui basi katiba haijampa wajibu huo na kufanya hivyo kinyume Cha katiba ni kuvunja katiba.

2. Katiba inamtambua VP kama mshauri na msaidizi mkuu wa Rais hivyo hata kama hujawahi kuona wala kusikia akitoa ushauri hadharani tambua huwa anafanya hivyo.

3. Kama nilivyojibu kwa swali la kwanza, swali hili jibu ni lile lile, VP yupo kikatiba hawezi kwenda kinyume nayo.

4. Kazi za VP ni kubwa zaidi kuliko hata aliyonayo Waziri mkuu maana yeye ndio msaidizi na mshauri mkuu wakati Waziri mkuu ni mtekelezaji na msimamizi.

5. Hapana, nafasi ya Umakamu wa Rais haitakiwi kufutwa Kwa sababu ya uzito na umuhimu wake katika kuleta utulivu wa kisiasa. Hebu firkira kusingekuwa na nafasi ya Umakamu wa Rais Kwa kilichotokea machi 17 ingekuwaje?

Kiengezwe cheo cha Makamu makamu wa Rais/Naibu naibu wa Rais. Kwenye miiko ya cheo cha Vp kiko kipengele kinacho muelekeza kutenda/kufanyakazi kwa tahadhari kuepuka asimfunike boss wake?
 
NAANZA NA MASWALI

1. Je uliwahi kusikia makamu wa Rais amemtumbua mtumishi hata walio kwenye wizara zilizo chini ya ofisi zake?

2. Kwa kuwa makamu wa Rais naye ni sehemu ya urais je uliwahi kusikia wapi kuwa yeye ndie amemshauri Rais kuwa waziri hata wale walio katika wizara za ofisi yake?

3. Kwa kuwa Waziri Mkuu, waziri au Makatibu Wakuu hutoa karipia na kusimamisha wazembe na mafisadi uliwahi kuona wapi makamu wa Rais naye kafanya?

4. Je kazi ya Makamu wa Rais ni kula Bata tu na kuwa minimum tour nje ya nchi ?

5.Je tuondoe cheo Cha makamu wa Rais kwenye mabadiliko ya katiba.

Hapa Tanzania kazi ya makamu wa Rais ni kutembea na mkasi kwenye gari kwenda kutaka utepe kufungu,kuzindua,kuweka mawe ya msingi kwenye miradi badala ya kufanya majukumu ya msingi Rais .

Ziara za makamu wa Rais Tanzania hazina kishindo wanazidiwa pawa za ki-kiamri na ma-RC ,manaibu waziri na hata makatibu wakuu huko mikoani , tangu enzi wa makamu hayati DK Omary All Juma labda yeye alijaribu hata kupigwa mkwara hawa wa sasa ni kichekesho na ndio maana waziri mkuu analemewa kipindi Rais akiwa slow kama Rais Samia Saluhu alivyo huko mikoani ni wizi ,uzembe na utoro tu ndio sababu za kuwa na waziri mkuu msasidizi Ili angalau ziara za kutafutana zionekane .

Kwa kuwa makamu wa Rais wengi wametokea ZANZIBAR hii ilidhaniwa kuwa ndio sababu ya kuwa waoga ,kutojiamni na kujikalia kimya ,kipindi hiki tuko na mbara mwenzetu lakini wapi .

Hapa Tanzania kama unakosa sio jambo la kuogopa kiutwa na makamu wa Rais kama unatakavyo ogopa kuitwa na waziri mkuu,waziri,naibu waziri,katibu au naibu katibu mkuu ,nani anahofu ya kuitwa na VP

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Mamakamu wa rais, katibu tarafa kazi zao huwa sizielewi.Ilitakiwa tusione utifauti wowote alipo makamu wa rais na alipo rais yaani wakikanyaga sehemu lazima kila kitu kinyooke.
 
Mpango alipoteuliwa tu aliaanza kuupiga mwingi. Naona akapewa maelekezo ghafla akaufyata.

Sasa amebakia kusafiri umbali mrefu kukata utepe ama sherehe kwa magari wakati wenzake wakitumia chopa chapchap.
 
Back
Top Bottom