USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
NAANZA NA MASWALI
1. Je uliwahi kusikia makamu wa Rais amemtumbua mtumishi hata walio kwenye wizara zilizo chini ya ofisi zake?
2. Kwa kuwa makamu wa Rais naye ni sehemu ya urais je uliwahi kusikia wapi kuwa yeye ndie amemshauri Rais kuwa waziri hata wale walio katika wizara za ofisi yake?
3. Kwa kuwa Waziri Mkuu, waziri au Makatibu Wakuu hutoa karipia na kusimamisha wazembe na mafisadi uliwahi kuona wapi makamu wa Rais naye kafanya?
4. Je kazi ya Makamu wa Rais ni kula Bata tu na kuwa minimum tour nje ya nchi ?
5.Je tuondoe cheo Cha makamu wa Rais kwenye mabadiliko ya katiba.
Hapa Tanzania kazi ya makamu wa Rais ni kutembea na mkasi kwenye gari kwenda kutaka utepe kufungu,kuzindua,kuweka mawe ya msingi kwenye miradi badala ya kufanya majukumu ya msingi Rais .
Ziara za makamu wa Rais Tanzania hazina kishindo wanazidiwa pawa za ki-kiamri na ma-RC ,manaibu waziri na hata makatibu wakuu huko mikoani , tangu enzi wa makamu hayati DK Omary All Juma labda yeye alijaribu hata kupigwa mkwara hawa wa sasa ni kichekesho na ndio maana waziri mkuu analemewa kipindi Rais akiwa slow kama Rais Samia Saluhu alivyo huko mikoani ni wizi ,uzembe na utoro tu ndio sababu za kuwa na waziri mkuu msasidizi Ili angalau ziara za kutafutana zionekane .
Kwa kuwa makamu wa Rais wengi wametokea ZANZIBAR hii ilidhaniwa kuwa ndio sababu ya kuwa waoga ,kutojiamni na kujikalia kimya ,kipindi hiki tuko na mbara mwenzetu lakini wapi .
Hapa Tanzania kama unakosa sio jambo la kuogopa kiutwa na makamu wa Rais kama unatakavyo ogopa kuitwa na waziri mkuu,waziri,naibu waziri,katibu au naibu katibu mkuu ,nani anahofu ya kuitwa na VP
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
1. Je uliwahi kusikia makamu wa Rais amemtumbua mtumishi hata walio kwenye wizara zilizo chini ya ofisi zake?
2. Kwa kuwa makamu wa Rais naye ni sehemu ya urais je uliwahi kusikia wapi kuwa yeye ndie amemshauri Rais kuwa waziri hata wale walio katika wizara za ofisi yake?
3. Kwa kuwa Waziri Mkuu, waziri au Makatibu Wakuu hutoa karipia na kusimamisha wazembe na mafisadi uliwahi kuona wapi makamu wa Rais naye kafanya?
4. Je kazi ya Makamu wa Rais ni kula Bata tu na kuwa minimum tour nje ya nchi ?
5.Je tuondoe cheo Cha makamu wa Rais kwenye mabadiliko ya katiba.
Hapa Tanzania kazi ya makamu wa Rais ni kutembea na mkasi kwenye gari kwenda kutaka utepe kufungu,kuzindua,kuweka mawe ya msingi kwenye miradi badala ya kufanya majukumu ya msingi Rais .
Ziara za makamu wa Rais Tanzania hazina kishindo wanazidiwa pawa za ki-kiamri na ma-RC ,manaibu waziri na hata makatibu wakuu huko mikoani , tangu enzi wa makamu hayati DK Omary All Juma labda yeye alijaribu hata kupigwa mkwara hawa wa sasa ni kichekesho na ndio maana waziri mkuu analemewa kipindi Rais akiwa slow kama Rais Samia Saluhu alivyo huko mikoani ni wizi ,uzembe na utoro tu ndio sababu za kuwa na waziri mkuu msasidizi Ili angalau ziara za kutafutana zionekane .
Kwa kuwa makamu wa Rais wengi wametokea ZANZIBAR hii ilidhaniwa kuwa ndio sababu ya kuwa waoga ,kutojiamni na kujikalia kimya ,kipindi hiki tuko na mbara mwenzetu lakini wapi .
Hapa Tanzania kama unakosa sio jambo la kuogopa kiutwa na makamu wa Rais kama unatakavyo ogopa kuitwa na waziri mkuu,waziri,naibu waziri,katibu au naibu katibu mkuu ,nani anahofu ya kuitwa na VP
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app