Ikulu ya Magogoni imewakarimu sana viongozi wa dini na wasanii wakiambatana na CHAWA. Nadhani hiki ni kipindi ambacho kila mwezi hata makundi lazima yawe Ikulu.
Je, huu ni ukarimu? Na ukarimu huu...
Kwanza naunga mkono na miguu hoja ya Makampuni wa pili wa Rais Zanzibar kutoka ACT bwana Masoud Othman.
Wakati sheria ya ugatuaji madaraka inaanzishwa ilikuwa na lengo la Kupeleka mamlaka ya...
Mwenzenu napata taabu kidogo, sijui jinsi gani Mheshimiwa huyu ashawishiwe na kukubali ombi hili. Natamani sana John Pombe Magufuli awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama sio sasa kwa...
Wanabodi,
Kwa wale wafuatiliaji wa siasa za nchi hii, na haswa harakati za kumpata mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, CCM, kumekuwa kukitokea mambo mengi ya kufurahisha...
Kama alivyosema Jokate ni muda muafaka Sasa wanawake kuchagua mwanamke mwenzao sio tuu Kwa sababu ni mwanamke Bali Kwa sababu ana uwezo na ameonesha.
Toka Akiwa VP ,Rais Samia ndio Rais pekee...
MTATIRO AKABIDHIWA MIKOBA SHINYANGA
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, Wakili Julius Mtatiro ameripoti kwenye kituo chake kipya cha kazi ili kuanza majukumu ya Mkuu wa Wilaya ya...
Rais Samia amemtumia Salam za kheri ya kutimiza miaka 11 ya Upapa Baba Mtakatifu Papa Francisco
Rais Samia pia amemshukuru baba Mtakatifu Papa Francisco kwa kumualika Vatican Mwezi uliopita...
Chama Cha Mapinduzi (CCM ) kimeingia katika
historia ya kipekee Tanzania baada ya mara ya kwanza kwa chama hicho kikongwe kushindwa kumuweka hadharani mgombea wake wa urais kwenye uchaguzi mkuu...
Katika Gazeti la MwanaHalisi la leo kuna taarifa yenye kichwa cha habari KIKWETE KUFURU, kwamba wakati wa utawala wa JK kulikuwa na tabia ya kufuja pesa za walipa kodi kwa njia za FEDHEHA.
Katika...
Katika lugha ya picha, hutumika vitu au hata baadhi ya viumbe au wadudu kuelezea mahusiano ya mwanadamu na wanadamu wenzake:
Ndiyo maana huwa kuna misemo kama, 'pete na kidole', kuelezea urafiki...
Kweli wahenga walisema FADHIRA MFADHIRI MBUZI BINADAMU ATAKUUDHI, yaani kujitoa kote kule kwa Lowasa na Rostam kuzunguka nchi nzima kwa fedha zao kumnadi Kikwete kabla ya kikao cha uteuzi na pia...
Aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Palamagamba Kabudi amejibu baadhi ya hoja za watu wanaopendekeza muundo wa serikali mbili na kusema Serikali ya Zanzibar ndiyo iliyoanza...
UJENZI NA UBORESHAJI KIWANJA CHA NDEGE CHA TABORA KUKAMILIKA OKTOBA, 2024
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa Serikali itahakikisha...
Hebu anaglieni miradi mikubwa inayoanza na itakayoanza mda si mrefu..je hizi peas Magu anatoa wapi??
1.Strogersgorge:2100MW rufiji..
see Wazabuni 66 wajitokeza mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge —...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, nipatapo fursa, hupita huku na kule na kubadilishana mawazo na watu mbalimbali wa kada tofauti. Kwa takriban siku 3 zilizopita, nimepata fursa ya kutembelea mikoa ya...
Wanabodi,
Kadri siku zinavyokwenda, ndivyo Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli anavyozidi kuzikonga nyonyo za Watanzania, wanaopenda reality, simplicity, genuinely na down to earth, ndivyo...
Wanabodi,
Kupitia live ya TBC kutokea Lindi kwenye Kongamano la Kumuenzi Baba wa Taifa, Getrude Mongela Amethibitisha yeye ni Mwanamke wa Shoka, Alipaswa hata Kuwa Rais wa JMT, Kwa Jinsi Alivyo...
Wanabodi,
Angalizo
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo, kuna watu humu wana allergy kila rais Magufuli anapopongezwa kila ananapofanya jambo zuri, au jambo jema, wao wanakasirika, hivyo rais...
Ndugu zangu Watanzania,
Nikimuangalia na kumfuatilia Rais na jemedari wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri...
Rais Samia amesema mikoa mingi yenye mazao ya biashara maendeleo yao yanaonekana ukipita barabarani. Rais Samia amesema hali ni tofauti kwa mikoa ya kusini ambako wanalima mazao ya korosho, ufuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.