Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Pamoja na mapungufu ya awamu zilizopita kiutawala, lakini awamu hii ya tano haikufuata kabisa utawala Bora. Watu wamekuwa wakifokewa hovyo hadharani, watu wamekuwa wakidhalilishwa hovyo...
20 Reactions
17 Replies
2K Views
Asalam, Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana 1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K) 2. Kwenye...
6 Reactions
123 Replies
7K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mama mmoja ambaye ni mjane amefika mbele ya Rais kulilia haki yake, hakika kuna uwezekano hili suala linaenda na mtu Kesi ya msingi hasa ni mirathi, hili jambo...
2 Reactions
233 Replies
47K Views
Wadau nimestushwa na hichi ninachokiona Iramba hivi sasa!Kwa takriban wiki moja mbunge wa Iramba na naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba anazunguka kwenye kata na vijiji vya Iramba akiwa na...
0 Reactions
59 Replies
7K Views
Matarajio ya upinzani katika kususia uchaguzi wa serikali za mitaa yamekuwa kinyume na uhalisia baada ya mwitikio wa watu kuwa mkubwa katika zoezi zima la kampeni mpaka upigaji kura. Kinyume na...
2 Reactions
61 Replies
6K Views
Haya yanayayofanywa na upinzani katika awamu hii ya Dkt. Magufuli ni dhahiri kuwa Tanzania kadiri muda unavyokwenda tunapoteza kizazi cha wapinzani wenye sifa ya upinzani na matokeo yake wapinzani...
7 Reactions
23 Replies
3K Views
Ninatambua uthubutu na uimara wa serikali ya CCM ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli katika kulinda maslahi ya umma hasa kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha za umma zinazotokana na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kadiri siku zinavyokwenda, uzalendo wa baadhi ya watu kwa nchi yao unazidi kupungua tena bila sababu ya msingi. Baadhi ya watu wamefikia hatua kufurahia mali za serikali zinapozuiwa au kukamatwa...
0 Reactions
3 Replies
989 Views
Hakuna ushindi wenye raha kama wa kishindo. Ushindi wa namna hiyo unatoa hakikisho kuwa chochote unachofanya kinapata baraka kutoka kwa watu. Kila mmoja hawezi kukupongeza kwa kazi nzuri...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mzee Mwinyi aliwahi kusema “haya yanayofanywa na JPM hatukuweza kufanya kwa miaka 30”. Ni kauli ya moyoni mwake na hakika ni kauli isiyoweza kubezwa na yeyote kwa sababu zifuatazo: ya kwanza, Mzee...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Zikiwa zimepita takribani siku tano tangu kumalizika kwa amani uchaguzi wa serikali za mitaa na matokeo kutangazwa na washindi kusheherekea ushindi wao, sasa muda wa kuliangalia swala la uchaguzi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
(Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Brigedia Jenerali Nicodemus Mwangela Mapema akiwachapa viboko wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Oswe) Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Fuatilia mfululizo wa matukio yanayoendelea kwenye siku ya pili ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Mkoani Mtwara, leo Septemba 16, 2023...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Mbunge wa Nzega Vijijini na Waziiri kipenzi wa Shujaa Maguful enzi za awamu ya 5 Dr. Kigwangalla amesema tatizo la Watanzania hawapendi kuwa na Viongozi wanaosema Ukweli. Kigwangalla alikuwa...
1 Reactions
3 Replies
631 Views
Binadamu tumeumbwa na unafiki uliopitiliza ndio sababu sijashangaa askari wa Morocco kuwapigia Saluti Mbwa walio kwenye Kikosi Maalum cha Uokoaji Huko Atlas milimani. Walimkomalia Shujaa kumbe...
2 Reactions
2 Replies
643 Views
Sasa hivi maeneo mengi katika 24 hours robo tatu ya muda huo ni giza hakuna umeme. Na sehemu nyingi mafuta imekuwa bidhaa adimu. Tunajua kwako nafasi ya unaibu PM waweza kuiona ujiko zaidi...
7 Reactions
8 Replies
575 Views
Tanzania ni Nchi ya Amani na Upendo na ndugu zetu Wakenya wanatamani kuwa kama sisi Kama kichwa cha thread kinavyojieleza Tuzidi kuwaombea Source yangu ni Citizen TV Mlale Unono 😀 😀
3 Reactions
9 Replies
988 Views
Chama Cha ACT Wazalendo Kupitia Kwa kada wake machachali Ismail Jusa kimeponga Mpango wa kuopa kampuni ya Kifaransa ya Africa Global Logistics uendeshaji wa Bandari ya Malindi. Jusa amesema Haina...
1 Reactions
49 Replies
5K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha jana imemwamuru Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, Isack Joseph maarufu kwa jina la Kadogoo kumlipa shilingi milioni 250 Mkuu wa Mkoa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau nawasabahi CCM imekuwa ikiviita Vipindi vya Urais kuwa ni AWAMU. Kwa kuanzia RAIS NYERERE alikuwa Rais Wa kwanza KUTAWALA ikaitwa AWAMU ya 1na ilikoma Mwaka 1985 . AWAMU ya Pili ilianza...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Back
Top Bottom