Pamoja na mapungufu ya awamu zilizopita kiutawala, lakini awamu hii ya tano haikufuata kabisa utawala Bora.
Watu wamekuwa wakifokewa hovyo hadharani, watu wamekuwa wakidhalilishwa hovyo...
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana
1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mama mmoja ambaye ni mjane amefika mbele ya Rais kulilia haki yake, hakika kuna uwezekano hili suala linaenda na mtu
Kesi ya msingi hasa ni mirathi, hili jambo...
Wadau nimestushwa na hichi ninachokiona Iramba hivi sasa!Kwa takriban wiki moja mbunge wa Iramba na naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba anazunguka kwenye kata na vijiji vya Iramba akiwa na...
Matarajio ya upinzani katika kususia uchaguzi wa serikali za mitaa yamekuwa kinyume na uhalisia baada ya mwitikio wa watu kuwa mkubwa katika zoezi zima la kampeni mpaka upigaji kura. Kinyume na...
Haya yanayayofanywa na upinzani katika awamu hii ya Dkt. Magufuli ni dhahiri kuwa Tanzania kadiri muda unavyokwenda tunapoteza kizazi cha wapinzani wenye sifa ya upinzani na matokeo yake wapinzani...
Ninatambua uthubutu na uimara wa serikali ya CCM ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli katika kulinda maslahi ya umma hasa kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha za umma zinazotokana na...
Kadiri siku zinavyokwenda, uzalendo wa baadhi ya watu kwa nchi yao unazidi kupungua tena bila sababu ya msingi. Baadhi ya watu wamefikia hatua kufurahia mali za serikali zinapozuiwa au kukamatwa...
Hakuna ushindi wenye raha kama wa kishindo. Ushindi wa namna hiyo unatoa hakikisho kuwa chochote unachofanya kinapata baraka kutoka kwa watu.
Kila mmoja hawezi kukupongeza kwa kazi nzuri...
Mzee Mwinyi aliwahi kusema “haya yanayofanywa na JPM hatukuweza kufanya kwa miaka 30”. Ni kauli ya moyoni mwake na hakika ni kauli isiyoweza kubezwa na yeyote kwa sababu zifuatazo: ya kwanza, Mzee...
Zikiwa zimepita takribani siku tano tangu kumalizika kwa amani uchaguzi wa serikali za mitaa na matokeo kutangazwa na washindi kusheherekea ushindi wao, sasa muda wa kuliangalia swala la uchaguzi...
(Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Brigedia Jenerali Nicodemus Mwangela Mapema akiwachapa viboko wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Oswe)
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu...
Fuatilia mfululizo wa matukio yanayoendelea kwenye siku ya pili ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Mkoani Mtwara, leo Septemba 16, 2023...
Mbunge wa Nzega Vijijini na Waziiri kipenzi wa Shujaa Maguful enzi za awamu ya 5 Dr. Kigwangalla amesema tatizo la Watanzania hawapendi kuwa na Viongozi wanaosema Ukweli.
Kigwangalla alikuwa...
Binadamu tumeumbwa na unafiki uliopitiliza ndio sababu sijashangaa askari wa Morocco kuwapigia Saluti Mbwa walio kwenye Kikosi Maalum cha Uokoaji Huko Atlas milimani.
Walimkomalia Shujaa kumbe...
Sasa hivi maeneo mengi katika 24 hours robo tatu ya muda huo ni giza hakuna umeme. Na sehemu nyingi mafuta imekuwa bidhaa adimu.
Tunajua kwako nafasi ya unaibu PM waweza kuiona ujiko zaidi...
Tanzania ni Nchi ya Amani na Upendo na ndugu zetu Wakenya wanatamani kuwa kama sisi
Kama kichwa cha thread kinavyojieleza
Tuzidi kuwaombea
Source yangu ni Citizen TV
Mlale Unono 😀 😀
Chama Cha ACT Wazalendo Kupitia Kwa kada wake machachali Ismail Jusa kimeponga Mpango wa kuopa kampuni ya Kifaransa ya Africa Global Logistics uendeshaji wa Bandari ya Malindi.
Jusa amesema Haina...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha jana imemwamuru Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, Isack Joseph maarufu kwa jina la Kadogoo kumlipa shilingi milioni 250 Mkuu wa Mkoa...
Wadau nawasabahi
CCM imekuwa ikiviita Vipindi vya Urais kuwa ni AWAMU.
Kwa kuanzia RAIS NYERERE alikuwa Rais Wa kwanza KUTAWALA ikaitwa AWAMU ya 1na ilikoma Mwaka 1985 .
AWAMU ya Pili ilianza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.